Siku hizi
limezuka wimbi kubwa la wanaume wengi kulea watoto ambao sio wao bila ya wao
wenyewe kugundua yaani wanakuwa ni watoto wa goli la mkono , mara nyingi
mwanamke humsingizia mtoto mwanaume yule mwenye malengo nae(kwa kiswahili cha
mtaani tunaita mwanaume wa display au wa
shooting video ) au mwenye uwezo wa kulea mtoto yule, mara nyingi mimba za
kwanza za ubinti huwa ni za kusingizia.
Nije kwenye yaliyonikuta
mwenzenu miaka nane iliyopita nikiwa nimeajiriwa kwa mara ya kwanza kazi nzuri
serikalini Agency mshahara mnono ata ata pombe sijaanza kuonja nilipata mpenzi
mwanachuo akiwa chuo cha ualimu kabinti kazuri katamu yaani nilikapenda sana huku nikijua ananipenda mara
kwa mara alipokuwa anafunga alikuwa anakuja kwangu maana hata wazazi wake walijua
uhusiano na mapenzi yaani ilikua mahaba niangamize!
Kuna kipindi
alinilazimisha kuja kwamba huku akisisItiza kuwa amenimisi big time nikamkatalia lakini akalazimisha kuja kumbe
alikuwa tayari alikua na mambo yake ,akafika na kulala siku ya kwanza ya pili
uku machale yakinicheza kwanini amelazimisha kuja kwa nguvu,kwaiyo mzigo sikula
nikavunga kuwa naharisha tumbo .Mungu saidia siku ya tatu nae akaugua ghafla
full kutapika halafu akawa analazimisha kuondoka nikamkomalia kumpeleke kwa
nguvu hospitali nikamnong’oneza daktari aliyekua mshikaji wangu tulikua na
mazoea ya kugonga “vyombo” bar moja jilani
kuwa ampime vipimo lakini sanasana
mkojo kucheki kwani nahisi ana “jipu” la mimba, majibu kutoka ana mimba
kuumuliza akaanza kulia na kunieleza kuwa alichepuka na mwanachuo mwenzake mara
akawa amebeba akaona anisingizie maana ananipendasana ,hahaaaaaaaa nilimtimua
kama mbwa,ndio ikawa mwisho wa mimi na yeye.
Hivyo basi nawashauri
wadogo zangu wa kiume kuwa ukiwa na mchumba ukaona analazimisha kuja kwako
jiulize maswali mengi kwani wakati mwingine YES maana yake NO! ujue inawezekana
kanasa huko anataka kukushikiza wewe kwasababu wewe ndo “husband material”cha
muhimu akija mlie “taimingi” mpeleke hospitali au nunua kipimo na hakikisha
mkojo anakojoa ukiwepo ili asikuwekee maji kwamba ni mkojo utapigwa mchanga wa
macho Jombaa!
Kulea mtoto
wa mwanaume mwingine inauma.
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
JibuFutaBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com