Habari zenu wapendwa,
Natumaini mpo salama
japo kwa upande wangu sipo salama sana nimechanganyikwa leo mbayaaaa!mpaka
ninavyoandika uzi huu nimeshindwa hata kwenda kazini na hapa moyo wangu unaenda
mbionaombeni msaada kwenu wa kiushauri
na wa kimawazo naweza hata mkanipoteza katika dunia hii kwa presha niliyokua
nayo hapa nilipo ,nimeshindwa hata kuwasha gari !akili zangu nahisi hazipo
timamu kwa sasa!
Ukweli ni kwamba nilikuwa naandika SMS kwa mchepuko wangu
uitwao Roswita au (mama Jane) na kwa bahati mbaya sana wakati natuma nikakosea
namba na kutuma katika namba ya mama mkwe wangu na meseji ikawa sent and
delivered.Kwenye simu yangu nimesevu jina lala Mama Jane sasa kwa kuwa jina
lipo karibu na jina la “mama mkwe” nikajisahau na kubonyeza sent alafu OK kwa
bahati mbaya!Nikajikuta tayari meseji ipo kwenye sent item na mara baada tu ya
kituma ghafla mama mkwe akanipigia zidi ya missed call ishirini hivi ila kwa kuogopa na aibu nimeona nisipokee na
nimezima simu kabisa.
Na kwa dalili ninazoziona ni lazima tu atakuwa
ameshamtaarifu na pengine hata kum-foward ile SMS mke wangu Magie maana nampigia
simu hapokei ila amenitumia meseji inasema “sasa ndo umefanya nini mume wangu!”
sasa sijui leo kama patakucha akiludi baadae maana ndo ameshakwenda kuwajibika tayari
kazini.
Meseji yenyewe niliyoituma ni hii " Mambo vipi Roswita
Bonita ! Hujambo? Umeamka salama? Vipi si tayari umeshamaliza period yako na
leo naweza kuja ukanipa mambo love?unipe na ile tamu tamu honie!Zingine
nizibakize kwa dada yako “baby wife” wangu maalum kwa siku ya Valentina Jumapili hii kwani ni haki yake ya kindoa.
Utaninunulia Wine gani leo ili nikuchangamshe vizuri kama unavyopenda?Honie
usisahau na yale mafuta basi!Baby uvae ile bikini ya purple na mechisha na ile
bra yake! Halafu ulisema unataka hela sijui ya kununua nguo ila kwakuwa ili li
mke langu nalo eti linataka hela sasa ngoja kwanza nilidanganye kuwa sina na lisubiri
hadi nipate ila wewe mke mdogo nakutumia
sasa hivi sawa? Si ulitaka Tsh laki 1? Sasa nakutumia Tsh Laki 2 na nusu hizo
zingine utajua utanunua nini au utaitumiaje sawa baby?
Nijibu na tambua sitokuacha
kamwe mwaaaaaah Loswita ".
Hiyo ndo meseji niliyotuma najua kimeshanuka sijui
nikimbilie wapi?Nilipiga simu kwa jamaa yangu yupo Telecom company ikiwezekana
aisimamishe iyo meseji hewani nimpe hata laki tano imeshindikana kabisa!mnijibu
haraka basi ili niweze jipanga kuzipangua hoja kama hali ikiwa mbaya kweli.
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
JibuFutaBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
JibuFutaMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com