Mahali ninaposhi kuna nyumba zipo kama tatu hivi ndani ya ua
mmoja ,sasa jana jioni nilivyorudi kutoka kazini niliitwa na mke wa jirani
kujaribu kusuruhisha ugomvi kati ya mume
na mke ingawa baada ya wao kutoka rikizo ,hatukufanikiwa kwani mwanaume
aligeuka mbogo na pasipohitaji suluhu yoyote na mkewe,
Kisa kilikua hivi ,wakati wakiwa wanatoka likizo kwa wazazi
wa mwanaume waliamua kupitia kwa wazazi wa mwanamke japo kukaa hata siku mbili
yaani ukweni kusalimia, sasa zogozogo lilianza hapa, baada ya kufika kwao
mwanamke, walikaribishwa vizuri na wakaoga, wakala na sasa ikafika zamu ya
kwenda kupumzika. Sasa mwanamke kumbe alikuwa ameshamtaarifu boyfriend wake wa
siku nyingi hapo mtaani kwao kwamba nitakuja siku fulani, siku hiyo wakati wa
kulala, mwanamke alikataa kulala na mumewe ndani ya nyumba yao ( (nyumba ya ba
mkwe), eti akidai (mwanamke) kwamba siyo vizuri kulala pamoja eti yeye na
mumewe kitanda kimoja kwenye nyumba ya baba yake, akihoji je, ikitokea
"mwanaume akahitaji mchezo itakuaje?Kwani mwanamke huwa anapiga sana kelele
wakati wa tendo na wazazi watasikia”!
Basi jamaa (mumewe) ikabidi awe mpolekwa shingo upande akamruhusu mkewe akalale chumba kingine lakini
ndani ya nyumba hiyo, sasa mkewe akatumia mwanya huo, kufungua mlango na kwenda
kwa ex boyfriend wake wa muda mrefu, anaekaa nyumba ya tano kutoka kwao kwa
bahati mbaya mambo yalinoga sana usiku akajisahau mpaka saaa kumi na moja
alfajiri akarudi .
Wakati anarudi akakutana na baba yake nje ( ambaye ni
ustaadhi akijiandaa kwenda swala) nje, ndo baba yake akaanza kumuuliza
anatoka wapi usiku huo na yupo peke yake, mumewe yupo wapi! Kumbe wakati
anamuhoji mkewe, mume alikuwa macho
akupata usingizi alisikia kila kitu maana dirisha la chumba alicholala mumewe
lipo upande wa getini, mke wake alishindwa kutoa jibu lolote huku akiomba radhi kwa baba yake tena kwa
sauti ya kunong'oneza sana.
Kulipopambazuka mume aliamua kupiga kimya akapotezea na alikaribishwa
chai akanywa na baadae akaomba kuondoka ili kuwahi kazi akidai likizo yake
ilikuwa imekwisha.Wakaondoka pamoja na mkewe, sasa kufika nyumbani ndo maswali
yakaanza.
Ndio zogo kubwa likafumuka kwa jirani , na ikabidi mwanaume
ampe nauli mkewe arudi kwao kwanza ili atafakari hatua nzuri za kuchukua dhidi
yake.
Kiufupi, Mwanamke alikomaa bila ya kukubali kosa, alikataa
ila mmewe alipomuuliza swali aliloulizwa na baba yake juzi na jibu ambalo yeye
alimjibu baba yake ndipo mwanamke akaishiwa nguvu,na kuanza kuangua kilio
kikbwa tukadhani kuna msiba!Mumewe alimwambia nguo aliyovaa siku hiyo ya
alfajiri na baba yake alivyokuwa amevaa siku hiyo ya alfajiri.
Sasa ndugu zangu wanaume kazi kwetu kwa wale mliooa tayari
kazi kwenu, sisi wengine tunajifunza kwanza. Jana baada ya kutoka kazini,
nilikuta ugomvi kwa jirani yangu ambaye alikuwa ameenda likizo na mkewe sasa
wakati wanataka kurudi kazini ikabidi wapiti kwao mwanamke kuwasalimia, sasa
zogozogo lilianza hapa, baada ya kufika kwao mwanamke, walikaribishwa vizuri na
wakaoga, wakala na sasa ikafika zamu ya kwenda kupumzika.
Sasa mwanamke kumbe alikuwa ameshamtaarifu boyfriend wake wa
siku nyingi hapo mtaani kwao kwamba nitakuja siku fulani, siku hiyo wakati wa
kulala, mwanamke alikataa kulala na mumewe ndani ya nyumba yao binti (nyumba ya
ba mkwe), eti akidai (mwanamke) kwamba siyo vizuri kulala pamoja eti yeye na
mumewe kitanda kimoja kwenye nyumba ya baba yake, akihoji je, ikitokea
"mwanaume akahitaji mchezo"?
Basi jamaa (mumewe) ikabidi awe mpole amruhusu mkewe akalale
chumba kingine lakini ndani ya nyumba hiyo, sasa mkewe akatumia mwanya huo,
kufungua mlango na kwenda kwa ex boyfriend wake wa muda mrefu, akarudi asubuhi
ya saa 11 alfajiri.
Wakati anarudi akakutana na baba yake nje, ndo baba yake
akaanza kumuuliza anatoka wapi usiku huo yeye peke yake huku akihoji mume wake
alipo! Kumbe wakati anamuhoji mkewe, mumewe alikuwa anasikia maana dirisha la
chumba alicholala mumewe lipo upande wa getini, mke wake alishindwa kutoa
majibu yoyote huku akiomba radhi kwa baba yake tena kwa sauti ya kunong'oneza
sana.
Kumbe mumewe alisikia yote na alipoamka alikaribishwa chai
akanywa na baadae akaomba kuondoka ili kuwahi kazi akidai likizo yake ilikuwa
imekwisha.Wakaondoka pamoja na mkewe, sasa kufika nyumbani ndo maswali yakaanza
na ugomvi mkubwa umetokea jana, na ikabidi mwanaume ampe nauli mkewe arudi kwao
kwanza ili atafakari hatua nzuri za kuchukua dhidi yake.
Kiufupi, Mwanamke hakukubali kosa, alikataa ila mmewe
alipomuuliza swali aliloulizwa na baba yake juzi na jibu ambalo yeye alimjibu
baba yake ndipo mwanamke akaishiwa nguvu, mumewe akamwambia nguo aliyovaa siku
hiyo ya alfajiri na baba yake alivyokuwa amevaa siku hiyo ya alfajiri.
Sasa ndugu zangu wanaume kazi kwetu kwa wale mliooa tayari
kazi kwenu, sisi wengine tunajifunza kwanza.
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
JibuFutaBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
JibuFutaMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com