Najua
wanawake siku hizi wana uhuru kuliko zamani lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa
hata zamani wadada walikuwa wanajipa good timevilevile kama sasa ingawa
teknolojia zinatofautiana.
Tatizo lenu wadada
sikuhizi hamna siri!
We angalia kila
kitu kuhadithia mashosti. Kila utakayetoka naye unaonyesha watu. Kila
utakachopewa kila utakapopelekwa (i.e hotels,beach,outdoors) tutaona picha
istagram,face book ,wengine ujisahau na kuanza kusifia mpaka gemu alilolopewa na
fulani lol! bidada mmemzidi!
Sio tu utasababisha
sasa kama ni bwanako akija kama ni kazini au hostel watu waanze kumwinda
sasa!hahahaaaa pole utalia na wenzako watakula samba na wewe kimya kimya tena
bila wivu!si umewaoneshea “windo” la Nyati aliyenona!
Kwani umezaliwa
nao tumbo moja?. Ukipewa hela kila wakati wewe kutulushia mapicha sijui mara Splash
Mlimani City ,mara Wool Worth Posta, mara Nairobi five star kwani nasisi hatutamani kwenda
uko?shauliyako bwanako huyohuyo nae tutaenda lalanae uko!
Wengine
mnapelekwa guest tu lakini tutaona picha ya dinner na breakfast za kizaramo.
Mbona wenzenu wanapelekwa 4 stars wamekausha!
JIFUNZENI
USIRI.
Acha love,sex
life yako iwe private. Ukiji praudi sana na kutooneshea mmeo akija tu lazima
tujibinue makaliona kufungua vifungo viwili vya baluzi kifuani ooh! joto!habari
ndo iyo!mumeo mume wetu sote!hahaahahaaa!
Usihadithie mashosti,kwani kila shosti
unaemuhadithia lazima atatamani nae kimya kimya !yaani moyoni ataumia wewe hutajua
ila kosa moja magori mia!akikutana nae bwanako Mlimani City imekula kwako kwani
ni full kujirahisisha tena siku hiyohiyo ataanza shemeji nina kiu ya bia
nipeleke Calabash napenda sana live bendi!Wakifika uko shostito atajimwaga full
kuachia mapaja wazi kwa shemeji ili bia ikikolea shemeji ajiongeze mwenyewe
ikigoma hiyo utasikia nawewe unajifanya umepata mwanamke wakati hana lolote si ni m#laya mwenzetu tu yule!Habari
zake zote ninazoe niulize mie tena ukimshusha saloon huwa tunakuonea huruma!.
Ukipitia,ukalala hotelini wakati unajua
unaishi kwenu au hostel, au unajua unataka kuonekana mtu wa dini, achana na
hiyo camera.
Usije
shangaa kesho unaachika fasta baada ya mashosti kumjaza chifu maneno kuwa mwezi
uliopita mimba uliyotoa haikua yake bali
ya mwalimu wa chuo alikunyofoa sup au dereva wa bodaboda wako!
Hupungukiwi
kitu. Zoea kusema sina mtu sanasan nyie wadada wa chuo mlio na pressure za kushow off
mabwana. Itawasaidiasana.
**you wanna
be "that" good lady at 30? Don't get caught at 20.
Afu wanawake
tunajuaga kurushana roho jamani. Kuna mtu anaweza akakusimulia mambo yake kwa
mfano, boyfriend wake anavyo mtreat kumbe muongo mkubwa.
Hii
ilishawahi kutokea kwenye bufee ya
kampuni moja kubwa hapa Dar es Salaam wakati wa mlo binti alianza kuwarusha
roho wenzake yupo kwenye foleni ya chaklula kuwa oooh baby niletee take away
huku bufee la leo halihamasishi pitia Steers niletee beef berge mbili ……
Sasa kwakua
mimi niliohisi anadanganya na namba yake ya simu nilikua ninayo nikamtwangia
simu hapohapo kwneye foleni kwanini simu isilie sikioni kwake uku anaongea!watu
wote walishikwa na butwaa na kuanza kucheka !
“Mmmmh Jack muda
wote unaongea na dear kumbe uongo!”
Ndo wale wanaojinunulia hadi zawadi afu
anadanganya wenzie kanunuliwa na baby. Aonekane tu yeye ndo anapendwa sana,
yeye ndo anaenjoy mapenzi sana mmh, akili kumkichwa. Unaanzaje kusimulia
ulivyolala na mtu mmh? What for?
Uzuri wa
haya maisha kila generation huona wazazi wao ni washamba na kwahiyo kamwe ma
teenager wamiaka 20 ijayo hawatafanya upuuzi wowote tunaushuhudia hivi sasa God
forbid
Nope kuna
kukua kimwili, kiroho na kiakili ujue. So watakua tu kiakili siku moja
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
JibuFutaBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com