Wadau mambo
vipi?
Kuna jambo
limeikoroga akili yangu sana juzi naomba niwashirikishe kidogo. Jumamosi
iliyopita mimi na wife tulienda kula bata maeneo ya Villa Park hapa Mwanza nyakati za jioni baada ya kutoka
kufanya shopping hapo Rock City Mall maeneo ya Ghana. Wakati tumefika maEneo ya Nyegezi
tukielekea mjini wife alinambia nisimame kidogo kuna rafiki yake yupo saloon ambaye
nilikua namfahamu tangu wakiwa chuo Saut
Nyegezi , nae alikua anaelekea hukohuko Rock cCity Mall tumchukue,
akampigia girlfriend simu aje barabarani . Hivyo tukawa watatu kwenyegari mpaka
mizunguko ya huko mall; mimi, wife na
girlfriend ambae alikua family friend kwetu ingawa mimi sina mazoea nae
kiiivile.
Kwa kuwa
ilikua mida ya saa kumi na moja jua lilipoanza kuzama tukaamua kukaa Villa Park
kwa ajili ya kusubiri kusakata rhumba na kwa kuwa wwife huyu alikua ni shaga
yake hasa sikua na option zaidi ya kuwaacha wahe huru uku mimi nikiendelea
kugonga Konyagi yangu kubwa na better lemon
na wao walikua wanakunywa Saint Anna moja wawili, tukakaa karibia na
kaunta ya chini nje. Kwenye saa mbili
kasoro usiku akajitokeza jamaa mmoja kwa sura simjuhi kabisa ,baada ya kutuona
akaja kutusalimia, ambapo wife aliinuka kwa shangwe kubwa na kumlaki kwa hugs
na zile kiss za mashavuni wanazopiganaga wale wanaojifanya wazungu,jamaa
likamkumbatia wife kwa nguvu.Nilipata kawivu kidogo lakini nikajikaza kiume!
Wife
akanitambulisha kuwa "he is a longtime friend,huku nikiendelea kumtazama
kwa mashaka kwani nilihisi zile mbwe mbwe zote za kukumbatiana pale kuwa sio ‘genuine’
lazima kuna kitu au kulikua na kitu fulani zamani,haiwezekani,hamna hapana!kuna
kitu tu!". Jamaa akaita weita na akazungusha mbili za vinywaji, alafu
akaniomba aende akamtambulishe wife kwenye meza yao kwa rafiki zake
,sikupendelea hiyo hali lakini kwa kuwa nilimuona wife ana muhemko fulani wa
bashasha ya kukutana naa “friend wa zamani” nikakubalitu kwa shingo upande ingawa moyoni nilikua nimefura kwa hasira,
sema sikutaka kuonesha, bahati mbaya zaidi meza ya hiyo aliyokua ametokea huyo
jamaa ilijaa wanaume pekee.
Tukabaki
wawili wakati wife anaongea na meza ile, yule girlfriend akasema "shemeji
naomba namba yako hapa mjini huwezi kujua ya kesho na keshokutwa", nami
nikajibu ni kweli kabisa, tukabadilishana namba.Monday yule binti akanipigia
simu nikiwa kazini akaniambia shemeji kuna jambo nataka kukuambia ila
usinitaje, nikajibu poa, akasema, "Yule jamaa wa jana ni ex wa mkeo.
Walikua wapenzi kwa miaka yote mitatu chuoni wakiishi chumba kimoja nje ya chuo
kama mke na Mume".
Na kwamba
kwa kipindi chote cha hiyo 3 yrs alitoa kama mimba 2 hivi za huyo mshikaji, pia
uhusiano wao ulienda hadi mtaani after university life. Walikuja kuachana kila
mtu alipopata kazi yule ndugu akapelekwa Songea. Since then hawajawahi kuonana
hadi hiyo jumapili pale Lock City Mall,Mwanza na kwamba ile njemba limerudishwa
hapa Mwanza na halijaoa bado ila lina mapene sana.
Binti huyu
alinibembeleza sana kuwa nisimtaje kabisa kama yeye ndie source ya hiyo habari.
Huyu binti ni rafiki wa wife tangu chuo ila bahati mbaya ndoa yake ilipata
shida kidogo na kushindikana kutokana na uzinzi wa mwanaume.Niliporudi home
jioni ya monday nikaamua kulianzisha, ambapo wife alidai hakuona busara
kunitambulisha kwamba yule bwana alikua ex wake.
Nikamuuliza
ilikuaje ukafurahi na kushangilia kiasi kile na kushindwa kuficha kabisa hisia
zako? Akabaki anajiuma uma tu na kushindwa kujibu.
Kiukweli
sijaridhika na majibu yale na bado nafanya uchunguzi.
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
JibuFutaBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
JibuFutaMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com