Jumanne, 3 Mei 2016

HII NDIYO DAWA YA KUZUIA KUCHEPUKA!

By George ,
Waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama mitatu tuu iliyopita mi na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki my wife kwani tangu tuowane nimeshapiga kama mademu kama kumi hivi kwa hesabu ya haraka haraka na ki ukweli si kwamba nakuwa nimewapenda NO!,Ni tamaa tu coz my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu ni mzigo wa haja kidogo basi nataka kuonja ikoje .
Na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.Sasa kiukwel imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda Bank moja kwa shughuli  za kikazi ghafla huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta mitego Fulani mingi ya kuni seduce baadae a kanipa namba zake za simu ki ukwel alikuwa mrembo Duh!uzalendo ukanishinda nikajikuta kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa Nduguzanguni wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
                                                                                            
By  john,
Polesana George,
Hii ndio dawa ya kutochepuka kaka!
1. Honor your spouse by honoring your marriage vow of fidelity.
2. Be aware of infidelity "danger zones."
3. Know yourself and create open lines of communication with your
spouse.
4. Make your marriage a priority.
5. Create a marriage vision.
6. Make time for doing fun
things in the marriage.
7. Having a good sex life and enjoying a sense of romance is an
important part of a good marriage.
8. Make time for meaningful conversation.
Kuna waliojaribu kukupa advice nzuri,wengine..... Now from the horses mouth!! Nami nilikua hivyo hivyo,wewe unasema wa 5 miaka mi 3! Hehe dude you are a saint. Mimi nilifanya hivi: 1. Rekebisha akili yako kutambua kua kufanya mapenzi nje ya ndoa SIO SIFA ni kujishusha thamani. 2.kama wewe mke wangu nampenda kuliko hao wote combined,nikaanza ku spendi  more time wit my baby at 1st nilikua kama nalazimisha baadae imekua ugonjwa.She is INTERESTING BEYOND wht i thot. 3. Epuka marafiki wanaume  malaya,tafuta vishughuli nje ya ajira vya kuku occupy na kufanya life na mke wako interesting.


WASIMAMIZI MSETO WA NDOA KUPEANA NAMBA!

  1. Nimejaribu kuangalia baadhi ya wanandoa mbalimbali na kuona kuna mengi sana yanayotokea hivi sasa
    naomba nieleweke sikutishi uoe ama kuolewa ila vyema kujua ndoa sio lelemama na unapoamua kuingia usitarajie msaada wa mamako ama babako.

    Ataa wanakula kiyoyozi ukahisi wako peponi kumbe mmoja wao anatukana kisisiri huyu polisi vipi anatuchelewesha nikammwage huyu nianze zangu.....sitaki ufanye hivi nasema kwa kukuonya muwe makini sana na ndoa tunazofunga

    Usifunge ndoa kwa ajili ya shangazi ama mjomba ama baba ama mama utalia..wengi wameingia kwenye sumu hii na kuishia kugawana pepo walizocchuma wakiwa duniani baada ya miaka kadhaa..mbaya zaidi hivi sasa unakuta babu na mvi zake ati anaenda mahakamani kuomba bibi ampe talaka laana ilioje...

    So ni kweli ukiwa single unakuwa na furaha ya kujiamulia mambo na kufrahi kwenda unapotaka lakini ukifika kwenye ndoa ndugu ujue kuna serikali ya NDOA..na mawaziri makatibu manaibu na diwani pamoja na wabunge woote ni wewe na mkeo na majukumu yote mwaitaji kuyafanikisha pamoja ili msikae vikao vya kusuluhishana....

    Mwisho nawatakia heri na fanaka kubwaaaa kwa wapendwa wetu walioamua kufunga ndoa Kanisani/MSIKITINI/BOMANI na sehemu mbalimbali maana nimesikia mbeya huko kuna wachungaji wanawawafwata wanandoa nyumbani na kuozesha..si haba hali wamependana...nawatakia harufu njema ya amani upendo na mzidi kuongeza dunia kama wazazi wenu wasivyokuwa wachoyo kuwaleta nyie dunian leo hii mnafunga ndoa......

    WASIMAMIZI

    Siku hizi kumekua na katabia ka kusimamia ndoa wasimamizi mseto!....yaani hili ni balaa jingine!Tafadhali ukiwa unatarajia kusimamia ndoa ya mtu jumamosi ijayo ama ijumaa mkiwa kama wasimamizi mseto jamani punguzeni ukaribu...sie wake zetu tunawaruhusu kwa kuwaheshimu wanandoa lakini naona hivi sasa mtu yuko mbele anajiachia uku akikumbatiwa na msimamizi mseto wakipeana namba fasta kwenye hai tebo baada ya hapo ni chating tu!....."baby ulikua wapi nilitakiwa nikuoe wewe  angalia jinsi ulivyojazia!"

    Hili tusingependa litokee kama si mkeo lishaneni keki mshibe muondoke si mambo ya umependeza oohh unajua angechelewa walahi ningekuwa na wewe toka hapa ulikuwa wapi siku zote!Itafika wakati inabidi wake zetu wakisimamia ndoa tuende na panga kwenye makoti yetu meusi kuleta heshima kwa wasimamizi hilo ni wazo...karibia na utani.

Jumatatu, 2 Mei 2016

NILIAMBIWA KAUKWELI ILA KANAUMA!

Nina kama miezi minne au mitano tukiwa na kaugomvi ka yeye kupigiwa simu, na pia kuna ka pub nje kidogo ya ninapokaa jamaa yangu mmoja aliniambia muda wa mchana humuona shem hapo na jamiaa wakati mimi nikiwa job.huyo jamaa yangu alikuwa akifikiri labda nani najua hilo labda huyo anayekuja kusalimiana na kusindikizana ni ndugu au mtu ninayemjua kumbe lah. sasa na simu ya wife nikaona anakuwa na wasi wasi nayo sana.

Nami ili kujua vizuri nikaona nisifikirie tu vibaya labda ni mtu wa nyumbani au ninayemfahamu kuna jamba labda la maana wanazungumza.nikamuuliza wife akakataa kabisa kutoka wala kwenda sehemu hiyo, hapo mawazo yakanizidi nikasema hivi jamaa yangu anaweza niambia uwongo kweli?mbona wife naye simu yake simuelewi elewi akienda kuoga yuko na simu na mara nyingi huongea na simu akiwa bafuni nikashangaa haikuwa kawaida.

sasa jmosi nikiwa home siku nikaona nisitoke leo nikae home tu nipumzike nikapiga supu pweza na kuanza kumpiga show ya utulivu na wife (watoto niliwawekea katuni ya Tommy and Jery sebuleni )nikapiga nikapiga yeye akafika kileleni akawa akitoa sauti ile ya kileleni huku mwili umekakamaa kalikunja shuka kwa mikono yake hajitambui muda huo nikazidisha mapigo tena akaanza kuongea mwenyewe " Ingiza yote mume wangu,Nisamehe mume wangu sitakusaliti tena yule John alinisumbua sana na shetani akanipitia" baada ya hapo akaanza kuhema kwa nguvu nami nikamwaga tui la nazi na kuinuka kwenda kuoga nikarudi kitandani nikawa natafakari,nikamuona na wife kama naye kakumbuka maneno yake na yeye kuanza kutafakari, huyo john namfahamu ni mtu wa mtaani baada ya siku mbili nikasikia huyo john kahama alikokuwa amepanga na kwenda g.mboto sio tunakaa ubungo external.


Sasa najiuliza huyu mwanamke kweli anafaa kuendelea naye kuwa ndani au nimfukuze kibabe ingawa kwao wamenizoea sana.maana kwa kweli ni jambo la kufedhehesha sana.