Waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama mitatu tuu iliyopita mi
na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki
my wife kwani tangu tuowane nimeshapiga kama mademu kama kumi hivi kwa hesabu
ya haraka haraka na ki ukweli si kwamba nakuwa nimewapenda NO!,Ni tamaa tu coz
my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu ni mzigo wa haja kidogo
basi nataka kuonja ikoje .
Na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift
huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.Sasa kiukwel
imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja
lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan
mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote
kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa
ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda
Bank moja kwa shughuli za kikazi ghafla
huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta mitego Fulani mingi ya kuni
seduce baadae a kanipa namba zake za simu ki ukwel alikuwa mrembo Duh!uzalendo
ukanishinda nikajikuta kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa Nduguzanguni wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins
gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife
ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
By john,
Polesana George,
Hii ndio dawa ya kutochepuka kaka!
1. Honor your spouse by honoring your marriage vow of
fidelity.
2. Be aware of infidelity "danger zones."
3. Know yourself and create open lines of communication with
your
spouse.
4. Make your marriage a priority.
5. Create a marriage vision.
6. Make time for doing fun
things in the marriage.
7. Having a good sex life and enjoying a sense of romance is
an
important part of a good marriage.
8. Make time for meaningful conversation.
Kuna waliojaribu kukupa advice nzuri,wengine..... Now from
the horses mouth!! Nami nilikua hivyo hivyo,wewe unasema wa 5 miaka mi 3! Hehe
dude you are a saint. Mimi nilifanya hivi: 1. Rekebisha akili yako kutambua kua
kufanya mapenzi nje ya ndoa SIO SIFA ni kujishusha thamani. 2.kama wewe mke
wangu nampenda kuliko hao wote combined,nikaanza ku spendi more time wit my baby at 1st nilikua kama
nalazimisha baadae imekua ugonjwa.She is INTERESTING BEYOND wht i thot. 3.
Epuka marafiki wanaume malaya,tafuta
vishughuli nje ya ajira vya kuku occupy na kufanya life na mke wako
interesting.