Nina kama miezi minne au mitano tukiwa na kaugomvi ka yeye
kupigiwa simu, na pia kuna ka pub nje kidogo ya ninapokaa jamaa yangu
mmoja aliniambia muda wa mchana humuona shem hapo na jamiaa wakati mimi nikiwa
job.huyo jamaa yangu alikuwa akifikiri labda nani najua hilo labda huyo
anayekuja kusalimiana na kusindikizana ni ndugu au mtu ninayemjua kumbe lah.
sasa na simu ya wife nikaona anakuwa na wasi wasi nayo sana.
Nami ili kujua vizuri nikaona nisifikirie tu vibaya labda ni
mtu wa nyumbani au ninayemfahamu kuna jamba labda la maana
wanazungumza.nikamuuliza wife akakataa kabisa kutoka wala kwenda sehemu hiyo,
hapo mawazo yakanizidi nikasema hivi jamaa yangu anaweza niambia uwongo
kweli?mbona wife naye simu yake simuelewi elewi akienda kuoga yuko na simu na
mara nyingi huongea na simu akiwa bafuni nikashangaa haikuwa kawaida.
sasa jmosi nikiwa home siku nikaona nisitoke leo nikae home
tu nipumzike nikapiga supu pweza na kuanza kumpiga show ya utulivu na wife (watoto niliwawekea katuni ya Tommy and Jery sebuleni )nikapiga nikapiga
yeye akafika kileleni akawa akitoa sauti ile ya kileleni huku mwili umekakamaa
kalikunja shuka kwa mikono yake hajitambui muda huo nikazidisha mapigo tena akaanza kuongea mwenyewe
" Ingiza yote mume wangu,Nisamehe mume wangu sitakusaliti tena yule John
alinisumbua sana na shetani akanipitia" baada ya hapo akaanza kuhema kwa
nguvu nami nikamwaga tui la nazi na kuinuka kwenda kuoga nikarudi kitandani nikawa
natafakari,nikamuona na wife kama naye kakumbuka maneno yake na yeye kuanza
kutafakari, huyo john namfahamu ni mtu wa mtaani baada ya siku mbili nikasikia
huyo john kahama alikokuwa amepanga na kwenda g.mboto sio tunakaa ubungo
external.
Sasa najiuliza huyu mwanamke kweli anafaa kuendelea naye
kuwa ndani au nimfukuze kibabe ingawa kwao wamenizoea sana.maana kwa kweli ni
jambo la kufedhehesha sana.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni