Jumatano, 19 Oktoba 2016

NDOA ZA SIKU HIZI UTASIKIA...WAMEACHANA!

Vijana wengi wanatamani kuoa na wasichana wengi wanatamani kuolewa. Mimi ni miongoni mwa vijana wanaojiandaa kuoa na hivyo niko katika kipindi cha kuyatafakari maisha ya ndoa.

Jambo moja ambalo limenishangaza ni wimbi la kuachana wanandoa. Asilimia kubwa ya marafiki na jamaa zangu walionitangulia kwenye ndoa hawako pamoja leo hii. Siyo wadada wala wakaka ukija kusikia eti walishaachana. Tena wapo waliokuwa wanapendana sana kiasi kwamba niliamini ni kifo tu kingewatenganisha lakini leo hii nasikitika kusikia wameachana.

Tatizo ni nini wakuu? Zamani watu walikuwa wanaachana lakini siyo sana kama siku hizi make ilikuwa ni aibu kuachika na baadhi ya makabila mtoto wa kike alikuwa anaambiwa akiachika asirudi tena kwao, kwa lengo la kumfanya aiheshimu ndoa yake na awe mvumilivu.

Baadhi ya watu wazima wameniambia kuna tatizo la feminism, wanawake wengi hasa wenye vipato wanapenda kushindana na wanaume hawajishushi kama wanawake wazamani ambao hata wakipigwa walikuwa wanavumilia tu.

Pia michepuko ya wanaume ni tangu zamani lakini siku hizi mwanaume akichepuka na mwanamke naye anataka kuchepuka ili alipize mwishoe ni kuachana tu.

Kingine watu wamepungukiwa na uvumilivu, juzi nimepigana sana kuokoa ndoa ya mdogo wangu ambaye alitaka kumuacha mkewe waliyezaa naye watoto wawili ili aoe kabinti ka Chuo Kikuu bila sababu zinazoeleweka lakini mwishoe nikabaini huyu amemchoka shemeji tu. Wanawake nao mwanaume akichoka mathalani hana hela tena au kaishiwa nguvu za kiume wanaanza visa mwishoe wanakimbia.

Nini sababu nyingine zinachangia? Karibu mtoe maoni tuwaandae vijana kabla hawajaingia kwenye ndoa takatifu.


Joyce:
Binafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo

Aron :Binafisi nikweli ndoa za zamani zili dumu nikisema mazingira ya kipindi iko yali luhusu,unakuta mwanamke tangu aolewe anashikwa kiuno na mmewe pekee ila nambie saivi hali ilivo.kwa wanaume sasa ndio usiseme.Kipindi iki ndoa zina changamoto kupita kiasi.

Kiukweli tuache kufalijiana ndoa za kweli ndio zinaishia.

Wanao sema ndoa raha waulize wamepitia matatizo mangapi bado wakaiona ndoa ni raha.

Kwa ufupi naamini miaka ijayo mtu mwenye akili timamu(ukiacha hawa wanao funga ndoa kuepuka dhambi ya zinaa) atakae kua kwenye ndoa atashangaza sana.



1.    NDOA za siku hiz tunavumiliana tuu tukichokana Tuna Achana Ndoa zilukuwa zile za Ma Babu zetu na Bibi zetu sio hiz za kuoa au kuolewa kama fashion tuu
Ndoa ni tendo la kiimani hivyo wanandoa inawapasa kumtanguliza Mungu mbele ili aweze kuilinda ndoa yao. Vijana wa siku hizi wakimaliza kuoana hawamuhusishi tena Mungu wao,, Hawaendi Misikitini wala Makanisani. Hawasali pamaoja! Sala ndio nguzo pekee ya ndoa! Muwekeni Mungu wenu mbele nanyi mtaishi miaka mingi kwa raha daima!


Pia vijana waache kuhusisha maisha ya ndoa na mambo ya social networks.. Social networks ndio chanzo kikubwa cha kuvuruga ndoa nyingi! Wana ndoa wanapotaka kuiga mambo ya watu wengine wanayoyaona kwenye social network ndio tatizo linapoanzia hapo. Mdada anaona mwenzake kila siku katolewa outing na mumewe naye anataka mumewe amfanyie vivyo hivyo bila kujali mpangilio wao wa kimaisha yeye na mwenza wake!

Jumanne, 18 Oktoba 2016

UNAIJUA DAWA YA MIGOGORO YA NDOA?KWA WANAUME TU!

Kwa wanaume ambao wapo kwenye ndoa na kila siku ugomvi ndani ya nyumba hauishi nimegundua dawa ambayo itarudisha amani na upendo ndani ya nyumba.

Ofcoz huitaji kwenda kwa waganga wala wapiga ramli cha msingi ni kuongeza mke wa pili, nakuhakikishia mke wa kwanza ataonyesha upendo ambao hujawai ona huku akikupa kauli nzuri nzuri ambazo hazikeri, lakini hujue hayo ni mashindano kila mmoja atafanya hivyo ili kuhakikisha unampenda yeye tu hivyo mitafaruku katika nyumba kutokuwepo.


Kama utabisha nenda Usukumani, Newala, Kigoma, Umasaini, Zanzibar, Tanga nk, utagundua kuwa kote huko wenye wake wawili wanaishi maisha ya amani zaidi kuliko mwenye mke mmoja.

TAFITI YA WAKE ZA WATU WANAOCHEPUKA!

Habari ya asubuhi wapendwa,
Kwanza kabisa naomba kutoa angalizo kuwa utafiti huu nilioufanya kwa takribani miezi miwili ilopita ni utafiti huru na usichukuliwe kwa mlengo wowote huo; dhamira ya tafiti hii ni kuifanya jamii iamke juu ya kuimalisha kwa mahusiano yaliyomo ndani ya familia zetu.
Kama kichwa cha habari kisemavyo; dhamira ya tafiti hii ilikuwa na lengo la kuibua na kuona kwa nini kwa takribani miaka ya hivi karibuni kumetokea ongezeko kubwa la watu waliopo kwenye ndoa kulalamika na hata kufikia kutoka nje ya ndoa na kuanzisha mahusiano mengine mbali na yale anayoendeleana nayo.
Mtafiti katika tafiti hii ametumia respondents halisi ili kupata picha kabili, na ifahamike kuwa utafiti huu umefanyika katika mikoa 5; Dar, Arusha, Mwanza, Iringa na Mbeya. Jumla ya respondents 50 kwa maana ya kuwa 10 kutoka kila mkoa walihusishwa kwa utafiti huu.
Kama nilivyotangulia kusema; utafiti huu ni halisi na sio wa kutunga au kubashiri, mtafiti aliweza kutumia main respondent mmoja (mwanaume) ambae ndio alitumika kuhusika moja kwa moja kwenye kufanya utafiti huu.
Utafiti huu ulihusika kwa main respondent (mwanaume) kujaribu kuwatongoza wanawake 10 kutoka kila mkoa, na endapo kama amefanikiwa basi alitakiwa kumalizia zoezi la kulala na wanawake hao kwa nyakati tofauti.
Uchanguzi wa sample size ulifanyika "kiholela" bila kujali aina ya mwanamke atakaekutana nae ambaye ni lazima awe mke wa mtu.
Tafiti inaonesha kuwa kila wanandoa wanawake 10, sita kati yao walikuwa wanakubali kutoka na kulala na respondent hiyo, tafiti ilienda mbali zaidi na kuangalia kwa nini wanawake waliopo kwenye ndoa wamekuwa ni rahisi zaidi kutoka nje ya ndoa ni kuwa; wengi wao asilimia 52 wamedai kuwa wanaume wao hawawaridhishi katika kuwapa haki yao ya ndoa; asilimia 12 wamesema kuwa wamegundua wanaume wao kuwacheat na wao kupelekea kurevenge, asilimia 16 wamesema kuwa waume zao wapo busy kiasi kwamba wanakosa haki ya ndoa, asilimia 14 wamesema kuwa waume zao wapo mbali na familia kwa kipindi kirefu hari inayopelekea wao kutoka nje ya ndoa na asilimia 6 wamesema wao ni tabia yao wanajisikia kuwa na mwanaume wengine mbali na mme wa ndoa.
Mtafiti aliona ni vyema kutoa angalizo kwa wanandoa, wote waume na wanawake kutokana na sababu mbalimbali zilizoelezwa na wahojiwa (respondents).

Nawatakia wakati mwema nyote

AINA 10 ZA HUSBAND WANAO KERA NYUMBA ZAO!

Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia ndoa leo nimeona nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao;

(1) Wanaojiona kama Wafalme (King Husband);

Hii ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea.

(2) Wanaume wanaojihisi bado hawajaoa (Bachelor Husband);

Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya mambo ambayo mke hata hayajui, mke anaweza kustukizia tu mume kanunua gari bila kumshirikisha na mume haonyeshi hata kujali kuweza kumshirikisha. Hajali kama ana mke na mda mwingi huutumia akiwa na marafiki kufanya mambo yasiyo na msingi ambayo hayana mnanufaa yoyote katika ndoa yake.

(3) Wanaume wenye gubu (Acidic Husband);

Hawa hukasirika kila mara tena bila kua na sababu ya msingi, mambo hayaishi, kosa la mwaka juzi anaweza kukukasirikia leo. Wamemuudhi kazini hataki kusemeshwa na mnanuniwa nyinyi, mwanamke akiomba hela ya chakula ni shida ni kununa kutwa nzima, wanahasira na nirahisi kumpiga mke.

(4) Mume wa kila mtu (General Husband);

Hawa wanajifanya wasamaria wema, wanajali kila mwanamke, wanajali marafiki wakike wa mke na wakwao kuliko wanavyowajali wake zao. Mke anaweza kuwa na shida akasema hana hela lakini rafiki akampa. Wana marafiki wengi wakike na mara nyingi huwa hawaachani kabisa na ma X wao, wakiwalalamikia wanawasaidia kuliko hata wanavyowasidia wake zao wakati wakiwa na shida.

(5) Wanaume wanaojifanya wagumu (Dry Husband);

Hawa wanajifanya wagumu sana, hawana yale mambo ya kimahaba na wao hujua kuwa ndoa ni kuleta chakula tu na kushughulika kitandani. Hakuna kuongea na hawajali hata hisia za mke, mke akiongea kwao wala hawajali wanajifanya ni vidume sana na wanaona mambo kama vizawadi, kupiga simu, kutuma sms, kusema nakupenda, kununua maua ni mambo ya kike, yaani hawaonyeshi juhudi yoyote kuwafurahisha wekea zao.

(6) Wanaume wanaopenda kutumia wake zao (Panadol Husband);

Hawa huwa wanaume pale tu wanapokuwa na shida, wanakuwa na wake wazuri wanaowajali lakini wao wala hawajali. Wanapomhitaji mwanamke, wanapotaka mwanamke awafanyie kitu flani basi huja na maneno mazuri na hata kuleta vizawadi, wanajua udhauifu wa wake zao na huutumia kuwalaghai kuwatimizia mahitaji yao lakini wanapotimiziwa tu basi husahau hata kama wanawake, hawajali tena.

(7) Wanaume ambao hawataki kukua (Baby Husband);

Bado wanatabia za kitoto, hawawezi kufanya maamuzi yao wenyewe mpaka kuuliza kwa ndugu zao, mtu kaoa lakini kila siku humpigia simu Mama yake kuuliza hiki na kile. Yaani wakiongea kitu na mke nilazima aulize ndugu kwanza ndiyo kipitishwe na mke akifanya kosaakidogo kazi nikulinganisha mke na ndugu zake, mbona flani alifanya hivi, flani anaweza fanya zaidi na mambo kama hayo. Kwa kifupi hawawezi kufanya maamuzi na mkewe, ndugu zake hasa Mama yake anakuwa kama shemeu ya ndoa.

(8) Mume Mtalii (Visiting Husband);

Hawa wanakuja nyumbani kama wageni vile, mume ataihudumia familia yake kwa kila kitu lakini hawezi kuipa muda wake. Akirudi mke na watoto wamelala ni kugonga na hana sababu za msingi za kuchelewa, hata mwisho wawiki hupenda kutumia na marafiki au ndugu lakini si na mke. Hakuna kitu cha pamoja ambacho anafanya na mkewe au watoto wake, kila akiingia tu anakua na safari ya kutoka yaani hata atoke akakae nnje tu lakini si kukaa na mke au watoto.

(9) Wanaume wanaofuatilia kila kitu (Stalking Husband);

Hii ni aina ya wanaume ambao hufuatilia kila kitu, huchunguza kila kitu mwanamke anachofanya na hawampi pumzi. Akienda sehemu atachunguza anaenda na nani na alikutana na nani, huwa na wivu wa ajabu ajabu na kila saa huhisi wake zao ni wasaliti. Kila mtu mwanamke anayeongea naye wa jinsia tofauti huhisi ni mchepuko na hata marafiki wa mke wakike pia huhisi wanamkuwadia, kwakifupi hampi pumzi mwanamke.

(10) Mwanaume mbahili (Miserly Husband);

Huyu anaweza kuwa na hela lakini mbahili ajabu. Akimpa mwanamke hela atafuatilia matumizi yake mpaka senti ya mwisho, anafuatilia mpaka mambo ya jikoni. Sukari ikiisha anataka ajue iliisha ishaje na kila mara huhisi mke anamuibia hela labda akajenge kwao, huwa msumbufu sana na mgumu kutoa hela. Mwanamke akifikiria mchakato wa kuomba hela kwa mume hukata tamaa na wakati mwingine kuamua tu kukaa kimya na matatizo yake.


Hiyo ni baadhi tu ya aina ya wanaume ambao wanawake wengi wasingependa kuwa nao. Kama mwanaume upo hivyo jua mke wako hafurahii na anavumilia tu. Ndoa ni furaha amua kubadilika na usimfanye mke wako kuishi na wewe kwa kujilazimisha. Kama ni mume jiulize uko namba ngapi hapo na kama ni mke mezea namba ya mumeo.

WADADA ACHENI HIZO!

Hii tabia ya watoto wa kike kuvaa kanga moko na juu blauzi bila bra ndani  yaani ni balaaa mnatuumiza jamani!
Yani unakuta bidada  kajiachia njiani na kanga moko ndani hana chu**pi tu kalio tentemete!linatikisika kufuata miondoko ya bidada! siku hizi mnatembea kwa madaha na kujishebedua na unajua kabisa niko nyuma yako mkanda nje naelekea ofisini, ndo kwa makusudi unaregeza kanga halafu unaifungua hili uikaze eti, huku mjomba nimeshasoma ramani  yote kuanzia milima mpaka mabonde,masihara hayo!
Mna mpango madhubuti wa  kutupima mihemko yetu sisi wanaume marijari na wenye familia zetu tena hasa pale mnapojifanya mnaenda dukani , sokoni au saluni.
Mnatutesa jamani!unakuta mtu nimeokoka vizuri tu mnaanza majaribu! majaribu!
Hii tabia imeongezeka sana bila kujali maslahi ya watu na ndoa zao!
Mtuache sisi wengine ni waume za watu na tunaheshimu sana ndoa zetu hata kama zina migogoro!
Mtuache tuishi kwa amani hii migogoro ya ndoa ipo tumeizoea!
Mihamala imekata!

Mkome!

Jumanne, 2 Agosti 2016

NIMEJARIBU KUMTONGOZA MCHUMBA WANGU KWA NAMBA NYINGINE AMEKUBALI

Leo  kiukweli nimechanganyikiwa.
Mwakajana  nilimpenda binti mmoja, nikamchumbia nikapeleka posa na mahali nikatoa nusu.
Sasa leo nimenunua laini mpya ya Halotel nikaanza kumjaribu mchumba wangu kumtongoza kwa SMS,tongoza nay eye tu kuanzia asubuhi nikamdanganya nilionanan nae kwenye seminer za afya(kumbuka mchumba wangu ni Nurse). Huwezi amini, amekubali kuja geto kesho kwa vile nimemuahidi endapo atakuja nimgegede nitampa elfu 50, kakubali.Ameanza na kunitumia picha za utupu ila akikata kichwa kwa ku fanya cropping kwenye simu.
Basi nikampigia kwa namba yangu halisi nikamuomba kesho tukutane amekataa kwa kusingiiza kehso watakua busy thieta na operation za wagonhwa. So, nimesikitika sana na ndugu zangu.

Hebu tubadilishaneni uzoefu tafadhali!

DUME ZIMA HANDSOME HILIZI YA NINI

Ni Jumatano mchana, lunch time hours, nimekaa kwenye restaurant moja mjini nikila chakula, ghafla kaingia mkaka mtanashati sana, kapendeza haswa kifua cha haja na mabega yaliyokaa vyema ,ana jeans na viatu vya bei mbaya, ana bracelet ya dhahabu, cheni kubwa ya dhahabu na pete nzito. Alipoingia tu mgahawa mzima ukajaa harufu ya nzuri ya Sex Gravity for Men nzurii inanukia.
Akatembea taratibu na kuja kwenye meza niliyokuwa nimekaa, akaomba akae nami nami nikamkaribisha.
Nilipomaliza kula akaniomba ninywe japo glass ya wine ili tuweze kuongea kidogo na kufahamiana.
Mazungumzo yalinoga, tukabadilishana namba za simu na kuagana.
Ijumaa mchana tukakutana tena kwa ajili ya lunch, tukawa marafiki wazoefu, kucheka, kugonga na utani kiasi, tukakubaliana jumamosi tutoke usiku kwa ajili ya candle light dinner.
Dinner ilikuwa nzuri sana na ilisindikizwa na muziki mwororo, it was so good really, baada ya dinner tukaanza kupata ndovu (huwa sina muda wa ku fake na savanna au Heineken, mi yangu ni ndovu tu) Usiku mzito, akili zimeongezeka kutokana na wine ilishuka chini! tukaona ni muda muafaka kwenda kupumzika.
Katikati ya mchezo nikaanza kuhisi kuna kitu kinanikwaruzakwaruza, baada ya chezo kwisha tukalala kama wafu, nilipoamka nikakuta jamaa kalala ile mbaya, kiunoni ana hirizi halafu una bag kubwa kuliko kufuli la geti. Nilikasirikaje? Alipoamka nikamuuliza hii ni ya nini? Eti inamlinda yeye na mali zake. Nikamuuliza aliyekupa yeye ana mali nyingi kiasi gani?
Akasema hana mali, lakini anaiamini sana.

Kuanzia siku hiyo sitaki hata kumuona, asije akanitoa kafara mtoto wa watu kwa ajili ya uchu wake wa utajiri.

KUMBE WAKE ZA WATU NAO WANAJIUZA?

Weekend iliyopita nilitoka na jamaa yangu aliyenitembelea, tukaenda sehemu moja iko busy sana jina nalihifadhi. Kuna live band, club, vyakula na vinywaji almost kila variety.

Kina dada hujichanganya sana kwenye eneo hilo. Jamaa yangu huyo ni mpenzi wa mambo yetu yale, hivyo kadri alivyokuwa akipata moja baridi ndivyo ari ya kupata kimwana mmojawapo ilivyokuwa inaongezeka.

Baadaye aliamua kumwita mhudumu amwitie kimwana aliyekuwa amevutiwa naye.

Walikwenda pembeni kidogo kujadili, baadaye jamaa yangu huyo akarudi akaniambia amekubaliana kwenda kumgegeda huyo kimwana lakini akaomba kwa vile sio mwenyeji nimpeleke lodge.

Nikampa ufunguo ili watangulie kwenye gari, baadaye nilikwenda na kuwakuta wamo ndani ya gari tayari, nilimsalimia huyo kimwana, sauti yake ikawa sio ngeni masikioni mwangu. Nilipogeuka sikuamini macho yangu kuwa ni mke wa jirani yetu mtaani. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumwambia jamaa yangu aje aendeshe gari mwenyewe, Nikatoa udhuru. Jamaa yangu alinipa mrejesho kapewa mambo si kawaida.


Sasa ninachojiuliza ni kuwa kumbe hata wake za watu wanajiuza?

BINAMU ANAPOANZA KUKUITA BABY!

 Wadau kuna mdada mmoja mrembo ambaye ni mtoto wa mjomba, ni mwezi mmoja sasa tangu tumefahamiana.Mwanzoni tulipokutana, alikuwa ananiita kaka, Mara akaanza kujiita mke mdogo, lakini sasa siku zinavyozidi kwenda ananiita baby. Nisipowasiliana naye siku mbili tu analalamika nimemtenga, siku akiwa off anataka niende kwake nikamtembelee.

Nakumbuka alilalamika sana kwanini sijamnunulia nguo za sikukuu ya EID, akadai nampendelea sana mke mkubwa tu, yaani mke wangu wa ndoa.Jamani hivi maisha ya ubinamu ndio yako hivi?

Denis:Kuna usemi unasema "Binamu nyama ya hamu". Labda binamu anataka kuprove kama ni kweli au ni usemi tu.

Clara :Ma Cousin ni  changamoto kweli kweli, mpotezee tu!

Benard: Mkuu, heshimu ndoa yako.. heshimu mke uliyemtukuza kuwa mama watoto wako.. "Utanusurika ukijinusuru!!"
Huyo binamu mnunulie zawadi akitakacho halafu mpe wife (mkeo) ampe kama zawadi... ila hizi tabia za baadhi za uswahilini huharibu nyumba nyingi na kusamabaratisha familya!!
usifunguwe mlango wa nuksi....



NILIDHANI LESO KUMBE BIKINI

Yaani ni tukio la haibu kunitokea katika maisha huwa nacheka pekeyangu kila  nikikumbuka!
 Ilikuwa hivi, kuna binti mmoja Ofisi ya jirani majengo yanatizamana na ofisi yetu  alikuwa hataki kunipa mchezo, nikachoka kuvumilia na 'njoo kesho zake',kwani hela yangu alikua ameshakula sana shida zake nyingi ndogo ndogo kama kumnunulia mafuta ya gari mara gesi nyumbani imeisha mimi ndio nilikua kimbilio lake, siku hiyo ya tukio tukakutana kwenye shopping Mlimani City yeye akielekea kwenye parking ya gari namimi ndo kwanza nilikua nataka kushuka ili nianze shopping,nikamwita akaja mpaka mlangoni mwa gari nikaendelea kuimbisha wapi akadai hana nafasi.
Mda huo wote alikua amekaa kwenye siti ya mbele uku mkono wangu mmoja ukiendeleea kumpapasa kwenye kyupi yake nikahisi imeanza kupata kaunyevu unyevu!
Huku akiendelea kusema staki!staki! nikajiongeza kichwani kwani staki staki za msichana wakatgi mwingine maana yake  ninataka! ninataka!
Nikamwinua na kumchojoa  kyupi ili isipotee nikaweka kwenye mfuko wa koti ,nikapakaa mate tukaendelea na mgegedo weeeh  huku akianza kupaza sauti za mautama!

 Tulipomaliza akashusha sketi na kushuka haraka akakimbilia kwenye gari lake na kuwasha na kuondoka kwani tuliona kwa mbali walinzi wanataka kuja wameshashtukia mchezo .Kuwahi home nafika wife huyoo yupo na wageni sebuleni jasho likawa linanitoka usoni kwa sababu ya joto la Dar es Salaam tukasalimiana na nikaketi kwenye sofa ! bila kujua nina chupi mfukoni nikazamisha mkono mfukoni kutoa mkono bikini nyekundu  iyoo usoni inafuta jasho!balaaaaaa!namimi nilikua nakazia  point ya taarifa ya habari kuhusu vuguvugu la maandamano ya kisiasa , wageni wote wakabaki midomo wazi sebuleni !Nilitamani nizimie!

BONGE LA PARTY BAADA YA MKE WAKE KUFUKUZWA KAZI

Huyu mkeni mrembo  nilimuoa akiwa hana kitu, kwa bahati alitafutiwa kazi na ndugu yake kwenye kampuni moja ya simu akawa analipwa kama milioni 3 kwa mwezi fasheni na yeye yeye na fasheni vipodozi kila aina,handbag na nywele za laki tatu ndio mshahara wake ukawa unaishia huko mimi mshahara wangu hauzidi laki sita,nilifanyishwa vituko vyote ndani ya nyumba ,manyanyaso yote ,hapiki hafui,hafanyi chochote ndoa ikawa inaelekea kuvunjika.
                                                           
Nikaenda mahakamani kuprocess talaka wakasema mpaka nianzie baraza la usuluhishi la kata au kanisani,nikaamua kwenda kanisa tulilofungia ndoa tukaitwa kwa Baba Paroko for hearing sijui mediation sijui arbitration sijui mie nikatinga kwa bajaj ya kukodi nimepaukaaa yeye akaja na RAV4 .

Baba Paroko alivyotusikiliza akaaniita pembeni akasema kijana hapa nadhani hata tukiomba na kukariri mistari yote ya biblia plus mapambio yote ndoa yako haitarudi kama mwanzo pambana utafute hela tu.
Nilisali sana nikasugua goti nikamuomba Mungu baada ya miezi mitatu hivi mambo yangu yakakaa sawa mshahara ukawa mara mbili plus marupurupu.

Siku moja mara ghafla  simu yangu inaita ni mke wangu sikuhamini kwani huwa hanipigii mpk jioni tunakutana nyumbani nilishangaa mke wangu kunipigia mchana ,ooooh mume wangu tumeachishwa kazi kampuni imeuzwa,hureeeeee niliruka ruka kwa furaha sana nikapigia simu washikaji tukaenda kunywa bia na nyama choma mpaka saa sita usiku kabla polisi na makonda hawajatuvamia nilijua ile kazi ndio inaniharibia ndoa na aliipata kibahati hawezi tena kupata kazi kama ile.


Hela yote ya NSSF akajaribu kufanya kila biashara biashara zikabuma mtaji ukakata alijifanya hajui kupika sasa anapika kuliko hata wapishi wa Kempinski, alijifanya sijui hawezi kufua sasa anafua kuliko dobi ,kitandani alijifanya mvivu sasa yuko vizuri kuliko wacheza shoo wa fally ipupa, RAV4 imepaki tu muda wote ananilelea watoto kwa nini nisimshukuru Mungu

MKE WA JIRANI

Hiki ni kisa cha muda kidogo, wakati huo nilikua bachela nimeshamaliza chuo naishi kwa kaka yangu Kigamboni Dar es salaam. Jirani yetu kulikuwa na binti ambaye alikuwa ni mke wa mtu, yule mwanamke alikuwa kicheche sana. Na mume wake alikuwa ni dereva wa gari, hivyo muda wake akitoka saa 11 asubuh kurudi saa 6 usiku. Alikuwa na mazoea sana yakuja hapo nyumbani kwa brother kupiga story na shemeji  yaani wife wa bro.
Siku moja nimekaa ilikuwa Jumapili bro na shemeji walikua wameenda  kanisani, akajipitisha nikamuita nikarusha mistari, akasema ngoja kama nusu saa hivi nitakujibu. Mwanaume nikatulia aijapita dk kumi huyo, akasema nimekubari lkn uwe mwangalifu siunajua mi mke Mtu? Nikamwambia usijali nitakuwa mwangalifu.
Siku hiyo hiyo majira saa 12 jioni nikamshitua binti akasema tukafanyie wapi, nikamjaribu kwako hapo si pako poa, akasema ni wewe tu. Maana alikuwa anakaa peke yake na mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka 2. Basi mi mtu mzima nikajitupa kwenye mjengo, nikampa mtoto 200 ya pipi akasepa kwenda kucheza na wenzake, nikabaki na mama yake ndani. Akanivutia fasta chumbani kwake tukaanza kusuguana ngozi, dah! Gemu lilikuwa hatari nilipiga viwili lakini vya hatari. Binti alisifia akasema mume wake toka amekuwa nae hajawahi kumkuna kiasi hicho, amekuwa hakimpa kimoja tu tena cha dk 5 kachoka na harudii tena mpaka baada wiki. Mi nikajiona kidume cha mbegu.
Binti akanikabidhi moyo wake ikawa kama mazoe, binti akanipenda sana kila muda anataka akunwe. Kama mwezi ulipita tunakunjana tu, mpaka shemeji  alishitukia hilo dili lkn alikuwa ameishachelewa mapenzi yameishanoga kwa mke wa mtu. Akienda Kariakoo ananinulia shati safi analeta baaada ya kubana matumizi ya nyumbani kwake , pesa ya vocha napewa, ilikuwa raha kweli.
Siku moja, majira ya saa kumi jioni akaniita kwenda kumkuna kama kawaida yetu, Mara nyingi anapokuwa na mm anavaa kanga peke yake bila hata chupi. Nimefika nikamkuta yuko kwenye kanga Kama kawaida yake akamtoa mtoto akacheze. Tumeingia chumbani tumeanza kushikana pale akashusha kanga akawa utupu, sasa Mimi roho yangu siku hiyo ikawa nzito sana, nikawa mzito kuvua nguo, nilivua kwa shigo upande. Wakati naigiza dudu washa ndani mlango wa nje ukafunguliwa alikuwa ameegesha tu. Huku ndani tulianza kuhaha, ila yeye akanitoa hofu kwamba kuna binti alimwambia aje hamsuke yawezekana ni yeye, akavaa nguo zake kaenda. Kufika sebuleni kumbe ni shemeji yake Kaka yake mkubwa na mume wake. Balaa kubwa hilo, kaanza kutetemeka, akaja chumbani akaniambia Leo tumekwisha maana atajua ndani kuna mume kwa sababu viatu nilikuwa nimeacha sebule ni. Huku ndani nilitafuta pa kutokea sikupaona, niliingia uvunguni Mwa kitanda nikatulie huko natetemeka kweli. Na shemeji yake ni mtu wa Tarime yaana kurya man panga njenje, Nikasema Leo nikitoka salama sirudii tena kutembea na mke wa mtu.

Sasa yeye akabaki sebuleni na shemeji yake, shemeji anamuuliza kwani viatu hivi vya nani? Ndani humu kuna nani? Maana mume wako yuko kazini sasa aliyomo humu ndani ni nani? Kadri ya maswali yalivyozidi mi natetemeka tu. Gafla wanabishana akaingia yule binti ambaye alimwambia aje hamsuke, Binti yule alikuwa ni mzuri sana na shemeji yake aliishawahi kumtongoza binti akakataa. Shemeji yake alipomuona yule binti akatilia kama barafu. Binti akaingia ndani wakakaa, sasa yule shemeji yake mke wa mdogo wake ndio akapata njia ya kusolve tatizo fasta, akamkonyeza yule binti aliyeingia ndani kwa sababu yule binti alikuwa anajua mi ndie nakula mzigo na alipoingia akakuta viatu vile akajua nimo ndani. Ikabidi sasa mke wa shemeji yake afunguke, akamwambia shemeji ni kweli humu ndani kuna mtu alikuwa anamsubiri huyu binti. Nilikuwa nakukatalia kwamba humu hakuna mtu kwa sababu ningekubari ungesema ni wangu tu. Kosa langu shemeji nikuruhusu hawa watu wakutane hapa, nisamehee shemeji yangu. kwa sababu jamaa alikuwa amemzimikia yule demu alipoteza network akasema hamna shida, lakn umefanya vibaya kumficha chumbani. Yule mke kanifuata ndani akasema mambo yako poa, nikatoka kwa kupotezea nikamkubatia yule binti, binti alijua hili ni gemu akusita kunikumbatia na yeye. Jamaa kuona hivyo akamwita shemeji yake nje akamwambia Mimi huyu binti nampenda sana, Sasa jamaa kamchukua unanisaidiaje? Mi taratibu nikatoka na yule binti nimemkumbatia lile jamaa likabaki likiachama mdomo tukatokomea. Toka siku.hiyo mke wa mtu marufuku.

SIMU YA MKE WANGU

  1. Ni hivi mimi nipo Dsm na mke wangu yupo korogwe Tanga.

    Tulikuwa tunaishi wote hapa Dsm kabla hajapata kazi kisha akapata kazi na kuelekea huko.

    Kabla hajaelekea huko Tanga hapa jirani kuna baba mmoja ni mlokole anavojiweka mwenywewe na ana mke na watoto wakubwa wa kwanza yupo chuo.

    Tulivyoishi
    Huyu jamaa akawa yupo jiran na mke wangu, yan kumpigia simu na kushauriana mambo kadha wa kadha hasa ya kanisa kwa vile nilimwamini mke wangu sikuwa na wasi wasi...na kikubwa zaidi akawa anampigia wakati wowote akiwa na suala hasa kikanisa...
    ikafika stage wife akaondoka akaenda kikazi tanga...
    akiwa tanga nilinunua smart phone na kumpelekea....
    kwenye ile smart phone nikaweka program ya kunitumia taarifa zake ikiwemo msg na calls zote ziingiazo na kutoka kwenye ile simu...


    Ilivyoanza

    Huyu jamaa alikuwa anajifanya mpole na kuhitaj kuwa karibu na kumchukulia kama family friends....yan familia yangu ikiwa na shida gari lake linatumika na familia yake ikiwa na shida kama wakilihitaj gari linatumika.

    Tukiwa pamoja na huyu jamaa namheshimu sana as family friend na naye akawa anaonyesha heshima ya juu sana nikamuona ni mtu mwema kwa kizazi na maisha ya watu leo kumbe anakuja kunitenda kwa kutembea na mke wangu na kuniachia kovu ambalo sijawahi kuhisi maumivu yake.

    Ni bora utendwe na mtu alie mbali nawe kuliko yule uliemwamini na kumheshim sana halafu anakuja kumvua mkeo chupi, hiki ndo nikikumbuka nalia kidume mimi.

    Hapa nitaeleza dalili za mwanzo kati na hadi mwisho wa kuja kukamatwa kwa huyu alieniliza kidume mimi.

    Lengo la hii thread nitaomba ushauri wenu nitarudije normal na pia nimfanyeje hawa wezi wote mke na mme.

    Nilivyompa ile simu ikiwa tayari ina hiyo application nikalala asubuhi yake nikaondoka kurudi DSM
    ile nipo kwenye dar express mida ya saa tano nikaletewa notification kwamba kuna mu anangea na wife.

    Kucheki namba ni jirani yangu, nikapotezea nikaendelea na mambo mengine mida ya saa saba mchana notification simu inatumika kucheki ni jamaa jirani, saa kumi notification kucheki ni jamaa saa kumi na mbili notification kucheki ni jamaa saa moja na saa mbili notification kucheki ni jamaa tu.

    Machale yakanikuna kuwa kuna kitu hapa.

    Asubuhi yake mapema jamaa kampigia tena ilipofika saa 4 wife alienda church kwa hiyo alikuwa amezima simu jamaa kamwandikia messge mbona hupatikan nimekumiss sana.
    Hapo alarm ya kichwa ikapiga kwamba kuna jambo sio dogo hapa.

    Ile wife ametoka kanisani akawasha simu basi muda huo huo nikaletewa notification kwamba jamaa anaongea na wife.

    Walivomaliza kuongea wife akanipigia simu akanipa hai tukaagana akakata simu.

    Baada ya kukata simu wakapigiana tena na tena yani jamaa anampigia wife kila baada ya saa moja au mbili.

                                                         *Baelezee*


    Tulivyoishi
    Huyu jamaa akawa yupo jiran na mke wangu, yan kumpigia simu na kushauriana mambo kadha wa kadha hasa ya kanisa kwa vile nilimwamin mke wangu sikuwa na wasi wasi...na kikubwa zaidi akawa anqmpigia wakat wowote akiwa na suala hasa kikanisa...
    ikafika stage wife akaondoka akaenda kikazi tanga...
    akiwa tanga nilinunua smart phone na kumpelekea....
    kwenye ile smart phone nikaweka program ya kunitumia taarifa zake ikiwemo msg na calls zote ziingiazo na kutoka kwenye ile simu...

    hapa mwanaume nimeamua kuweka ukweli wangu kama yamenikuta yaweza kukuta na ww naomba mzahamzaha sipendezwi wakuu

    *************

    basi vile nilivokuwa napata zile notifications mara kwa mara za meseji na calls kwa jamaa kwenda kwa mke wangu nikashindwa kuvumilia ikanibidi niende korogwe kwa wife...nikampigia simu kwamba nakuja tanga, wakati nakata simu ikaingia notification kwamba jamaa anaongea na wife kumbe wakatumia wakati huu kuambizana kwamba nipo njiani naekekea tanga, hivo zile notification za mawasiliano yao zikapungua kuja kwangu....

    Nimefika tanga nikamkuta wife yupo normal tu na simu yake ipo loose tu juu ya meza....basi akanipokea pale kwa bashasha yani full tabasamu (dont trust a woman) akaandaa chakula tukala tukalala....
    usiku mida ya saa 3 usiku ikaingia txt kwenye simu yangu nikaichukua ile msg nikaisoma ilikuwa ya kikazi nilivomaliza kuisoma nikairudisha simu kwenye dressing table...hapo nikaona wife amenyanyua kichwa akaniuliza msg ya nan nikamjib ya kazini akanyanyuka kuichukua simu yangu nikaidaka na kukataa aiguse sababu kubwa nina hasira za kimia kimia moyoni kwamba najua nn kinaendelea ila najipa muda. .akanituhumu pale kwamba msg ya mwaamke ndo maana nakatalia aione.

    akanijibu jibu moja kwamba mm sio mwaminifu ndo maana nakatalia simu akadai kwamba mbona yeye simu yake ipo free na kama nataka nikae nayo hata siku nzima hamna kibaya kitakachoingia (hili jibu hutolewaga na wasichana na nilitumia kuliamini sana kumbe sio) kuweni makini utakaa na simu ya mkeo au mchumba na still akakucheat....basi tukakwaruzana pale kidogo kisha tukalala.


    asubuh nikaamka nikarejea dsm
    hii siku nzima ilipita sikupata notification ya mawasiano yao.
    kesho kutwa yake nikaendelea kupata notification za mara kwa mara kwamba wanaongea na msg za hapa na pale yaani wanaongea hadi saa 4 usiku sometime.
    nikashndwa uzalendo nikaanza michakato kila anapomaliza kuongea nampigia simu namuuliza ulikuwa unaongea na nani akawa anataja ndugu zake na anakupa hata sababu walichokuwa wanajadili.....nikawa namkubalia kwa shingo upande kwan notification za txt zote na calls zote anazopata nazipata..
    ipo siku tena nikaamuliza akawa mkali sana kwamba iweje anipe taarifa za kila anaempigia je mbona mm simpi.
    nakumbuka ilikuwa jumatano nikaletewa txt as notification toka kwa jamaa anamtaka wakutane ijumaa wasex.....jamani jamani jamaniiiiiii inauma asikuambie mtu.....nilivuja jasho sijapata kuona nikakabwa na kitu kooni nikavumilia.
    wife akamjibu sawa karibu hata mm nimemiss mambo yako...

    .hiii jumatano sikulala kabisaa kwan walizidisha muda wa kuongea walichati sana msg za kawaida na kijinga......kipindi hiki wanaendelea wife alikuwa ananipigia sim kama kawaida tunaongea ila alinote sipo sawa akaniuliza kuna nn nikamjib hamna shida...niliamua kuondoka dar saa 11 jioni alhamisi kwenda korogwe ili kuliwah siku ya tukio yani ijumaa wanapokutana.
    nimefika korogwe ilikuwa kama saa 3 usiku niliwaza sana kabla sijaenda nyumbani kwa wife
    niliwaza nijifiche ili kesho niwakamate
    niliwaza je nikiwakamata kesho nn kitatokea
    niliona jibu lepesi ni kuwaua wote
    *******************************

    hiyo alihamisi jioni nikakodi chumba korogwe nilale...ila usiku saa 4 hivi nikahisi sipo sawa kabisaa kila kitu nakiona kichungu..
    nikawaza bunduki sina, panga sina, je hawa hiyo kesho nitawauaje? je wakishaingia gest mi nae nikaingia afu nikakute wamemaliza kufunga mlango itakuaje? je zikianza purukushani za kutaka kubomoa mlango na mhudumu akawaomba watu msaada kwa kupiga kelele si watanishika na jamaa atakimbia..
    m
    niliwaza sana pale gest nikiwa kitandani, wazo likanijia kwamba sitapata hata tone la usingizi pale ni bora nimfuate wife nianze nae kwanza kupata ukweli...ile saa tano usiku nikapata tena notification wanaongea hasira zikazidi nikaamka kumfuata nyumbani kwake hapo korogwe saa 6 usiku nagonga kwa wife na inaonekana alikuwa hajalala..

                                                  Nilipofika kwa wife

    kwanza alishangaa iweje umekuja usiku hivi...nikamwambia nilikumiss na ni suprise yangu kwako.....nikajikaza sana kidume nisioneshe hasira.

                                                     Matukio
    Nilipofika ndani nikakaa kitandani nikavua viatu na soksi nikapanda kitandani sikuvua suruali wala shati coz nilijua hapatalalika,
    cha kwanza wife akaonyesha kuhamaki kidigo afu akapotezea
    simu yake ilikuwa juu ya dressing table tena kwenye chaji kabla hajaenda kuniandalia maji ya kuoga bafuni nikaona anaichomoa kwenye chaji na kuihamishia kwenye begi la nguo juu lilikuwa mwisho wa kitanda upande wa pili....
    nikaamuliza mbona unatoa simu chaji akajibu imejaa..
    nikamuuliza mbona unaihamisha akajib nimeweka vibrate kwa hiyo hapo inaweza vibrate ikakudisturble na pia ikadondoka.
    nikamwambia wakat unaenda kuniandalia maji naomba niicheze chezee hapa hizo games zake.
    akanipa ila hana aman akaelekea bafuni.

    Kwenye Simu cha kwanza nilicheki txt zote zimefutwa japo mm ninazo kwenye simu yangu.
    cha pili calls zote zinafutwa akishamaliza kuongea nae hivo kwenye simu yake hakuna evidence yoyote japo mm ninazo kwenye simu. 

Jumatatu, 1 Agosti 2016

TUNZA SIRI ZA MWENZANKO BASI

  1. Weekend hii bhana nilienda kumtembelea best angu mmoja hivi sasa katika tembeatembea tukakutana na mbaba mmoja hivi jirani ake, baada ya salamu akapita zake best akaniambia namuonea huruma kweli huyu baba siku atakapogundua tabia ya mkewe sijui itakuaje,

    Ni hivi huyu mke wa huyu jamaa ana tabia ya kusimulia madhaifu ya Mme wake kwa mashoga zake anadai kuna siku moja huyo mwanamke alikuwa anawasimulia;

    ''Yaani huyu mwanaume natamani nimuache hata leo kitandani hawezi chochote yani kinachonifanya niendelee kuishi naye ni kwa vile ananijali na ananipa kila nachotaka lakini kwenye swala la 6/6 ni sawa na ananichafua tu. Ila nina mtu ambae ananifikisha ninavyotaka''.

    Wakati anaawaambia hayo mara akapigiwa simu na mume wake basi akawaambia ''ngoja niende huyu ----- ananiita naona anaongea kwa ukali kweli sijui kapatwa na nini''.

    Anavyodai alivyofika kwake huko kamkuta mmewe kafura hatari kabla hajakaa kapokelewa na kibao hajakaa sawa kingine ''nini mume wangu mbona unanipiga nimefanya nini?''. Mume wake kwa hasira, ''nimekusikia yote uliyokuwa unawaambia mashoga zako''.

    Mwanamke akaachia kicheko akamwambia, ''Mume wangu hicho ndo kinakufanya unipige me pale nilikuwa najaribu kukulinda mme wangu kuna shoga angu mmoja nasikia anakutaka na anasema atafanya chochote il aweze kukupata, kwa hiyo nilifanya vile ili kumkatisha tamaa si unajua ninavokupenda Mme wangu''.

    Basi mwanaume akanywea akasema, ''basi samahani mke wang nilifikri una mtu mwingine zaidi angu'' mwanamke tena akamjibu ''ninavokupenda mme wangu njoo unipe haki Yang kwanza''.

    Basi walivyomaliza mchezo wao mwanaume akapitiwa usingizi, yule mwanamke kaenda kuwasimulia mashoga zake kila kilichoendelea alivyomaliza akawaambia ngoja nirudi asije akaamka akanikosa.

    Wakati anaudi kwake shoga ake mmoja akachukua simu akampigia simu akamwambia tunajua kila mlichokifanya mkeo kaja kutuambia mwanaume alichojibu huyu mwanamke vipi anatoka nje harakaharaka anakutana na kutana na mkewe mlangoni katoka kuoga kamuuliza unatoka wapi alichojibu ''mme Wangu si unaona nimetoka bafuni kuoga baada ya shuhuli pevu ulionipa?".

    Basi mwanaume hakuwa na la kufanya zaidi ya kufikiria kuna watu wanataka kuwachonganisha.

    Mimi kwa upande Wangu sikufurahishwa na tabia ya huyu mwanamke, hamtendei mwenzie haki hata kama ana mapungufu hakupaswa kumuacha mwenzie uchi hivi. Sijui ingekuwa ni wewe ungefanyaje?

WANAUME PLEASE MKOME!

  1. Moyo waliopewa WANAWAKE akipewa Mwanaume hata kwa Siku moja  tu LAZIMA AFARIKI!
    Ule uwezo wa kuvumilia Maumivu ya Kuzaa ndio huwa unawafanya wavumilie mambo wanayotendewa na Wanaume kiasi ambacho hadi wewe Mwanaume unajiuliza,HADI HILI

    AMENISAMEHE,INAWEZEKANAJE!
    Kama kuna jambo Wanaume huwa wanakosea basi ni kudhani kwamba Wanawake ni Wajinga...Hawajawahi kuwa Wajinga ila

    Wameumbwa na Moyo wa Uvumilivu uliopitiliza..Na Mungu aliwatengeneza hivyo makusudi...Ni sawa na Mwanamke anavyoweza kumvumilia Mwanaume ambaye kwa Miaka 10

    anamgusagusa tu na kibamia chako bila kumfikisha kileleni lakini Mwanamke yupo tu..Uvumilivu ulioje!Mwanamke anayeweza kukaa na Mwanaume mlevi anayempiga ngumi kila akirudi ila yeye yupo tu..Sio kwamba

    ni Mjinga,LA HASHA!Ni katika ule Uvumilivu tu..
    Kasheshe ni pale Mwanamke huyu ANAPOCHOKA...Anaweza akavumilia miaka 10...Unampiga...Anakufumania..Humfikishi

    Kileleni..Ila Siku Akichoka akasema KWAHERI,Ule Moyo wa Uvumilivu huwa UNAGEUKA na kuwa JIWE GUMU na hata uimbe mashairi ya "Bado ananijia ndotoni ila nikiamka simuoni bado ananijia nikilala Haki ya Mungu sio masihara"

    HATARUDI na utabakia kiwete wa mahaba yake daima...Kabla hajafikia Stage ya KUKUCHOKA,chondechonde kumbuka nayeye ana Moyo,MPE ANACHOSTAHILI!
    Usichanganye Uvumilivu wake ukadhani ni Ujinga,ITA KU COST JOMBA!

NI KWELI WANAWAKE HAWAOGOPI UKIMWI?

Hivi ukimchukua Demu mkaenda rum mkaanza romance anatulia ukamchojoa kyupii anatulia ukaingiza mshedede anatulia mgegedo unaanza taratibu huku akianza miguno yao ya siku zote mara kidhungu kidogo mara kiswahili!anatanua miguu tu mkimaliza anaanza bebi kwanini umekojolea ndani? Mmmmmh! naogopa mimba baby!.......huwa haseme anaogopa ukimwi!

Inamana wanawake hawaogopi ukimwi?

WANAUME UKWELI NDO HUU

  1. Wanaume huwa tunatamani sana kupata mke bora a.k.a wife material lakini cha ajabu tukiwapata
    tunawatafutia visa vya ajabu visivyoeleweka wakati
    tuliwatafuta wenyewe...
    Ukiona Mwanamke ana wivu na wewe,anakufuatilia
    mambo yako,uko wapi,umekula,umekula nini,umekula saa ngapi,kwanini hujalala,kwanini
    umepiga picha na mdada asiyemjua,kwanini
    hujamtafuta nusu saa,kwanini uko Online Whatsapp
    lakini haumtext, TUNAANZA KULALAMIKA,"Oh huyu
    Mwanamke ana wivu sana mi siwezi"
    Mwanamke mwenye Wivu SHES IN LOVE...SHES LOYAL..SHES FAITHFUL
    Hawa makurumbembe tunaowapenda kisa
    hawatusumbui wote WEZI NA WAONGO TU,they are
    after something,Kwao Mapenzi ni rahisi kama kuagiza
    Saint Anna
    Wanawake FAITHFUL hapa Tanzania wako 3 kati ya mia tano,kama umempata kukutana nae jua una bahati
    usimwache,mshikilie mpende sana mtunze,usimtibue...Akiondoka
    huyo utapata Bata la Uswahilini,hata uuchune SIKU 2
    na yeye hakutafuti,utabakia na Majuto while Shes
    Gone na amempata aliyeona thamani yake...
    WANAUME HATA HATUELEWEKI TUNATAKA NINI SOMETIMES,Hata mnune mpige mawe UKWELI NDIO
    HUU! 

CHUPI NA SHANGA ZALETA KIZAA ZAA!

Ni hivi mimi naishi nyumba ya kupanga na my wife wangu na kuna wapangaji wengine katika nyumba hiyo,kama unavyozielewa nyumba za uswahilini  sasa kuna binti single kahamia katika chumba kimoja katika hii nyumba,basi baada ya kuzoeana naye mke wangu anasema hamuamini ingawa nimemuhakikishia kuwa sijafanya naye mapenzi wala sifikirii,basi mke wangu akaanza kumletea vituko huyu binti mpaka wakagombana na hapa niandikapo ni kuwa hawaelewani.

Sasa tatizo leo hii yule binti kaingia maliwatoni na kuacha chupi yake akining'inia nyuma ya mlango,na shanga mbili!

Basi mke wangu naye akaenda kuniwekea maji maliwatoni ili nikakoge,basi nilipoingia nikaiona ile chupi nyuma ya mlango na zile shanga nikashtuka kidogo nikaanza kujimwagia maji baridi.

Lakini nikiwa naendelea kukoga ile chupi ikaanguka kwenye yale maji ambayo ni machafu,basi nikaona ngoja niisuuze ili niirudishe tena nyuma ya mlango na nimtaarifu mwenye chu pi kwa kilichotokea,basi nikiwa naisuuza ile chu pi mke wangu akaingia maliwatoni na kunikuta nikiisuuza ile chupi ya mpangaji mwenzetu,basi likaanza bonge la zogo na kuniambia kuwa kumbe yule mpangaji mwenzangu nina uhusiano naye yaani mpaka chupi namfulia na shanga ananioneshea!basi yeye kaamua kurudi kwao.

Yule mpangaji mwenzetu ikabidi nimuambie jinsi ilivyokuwa ili amuaminishe mke wangu kuwa hakunipa nimfulie ile chupi yake,lakini yule binti mpangaji mwenzetu kagoma kuongea na mke wangu kwa madai kuwa mke wangu anaringa sana.

Jamani nimechanganyikiwa sijazoea kulala peke yangu. 

WANAWAKE CHUKUENI UJANJA HUU

Kuna Sampuli Flani ya Wanaume akikupenda
Utafurahi,Utaenjoy Penzi kwa kipindi chote,kila
unachotaka unapata,atakupa hili mara kile shopping za kumwaga eeh !masofa! i phone 6 galaxy za kumwaga,Kasheshe siku ya kuachana ikifika ni balaa...
Kwanza Anakuandikia bonge la SMS la Mkwara
"Hey,Kesho Sa4 asubuhi ntamtuma Dereva hapo kwako,atakuja na Kenta ya blue naomba Lile
Kabati nililokununulia ulisafishe vizuri,na zile Cheni 2
nilizokuletea toka Dubai umpe,Funguo za Gari
umkabidhi atakuja kuipaki home,na Makochi seti zote
2 ya sebuleni na kule room kwako umpe.Nilikwambia
na iPhone 6s niliyokununulia kwenye Bday yako uondoe details zako unletee hujafanya hivyo,Please
mpe ushirikiano ukizingua nikitimba hapo
patachimbika"
Anatamani angekuwa na uwezo wa kudai refund
hadi ya Bili zote za Outing zote alizokupeleka wakati
anabembeleza umpe papuchi. UKITAKA KUMKOMESHA WE MJIBU HIVIII;
"Kwanza Kesho Sipo home naenda Kigamboni with my
Girls,na kuhusu Kabati,Sofa,iPhone6 na Gari
USIJISUMBUE wala hutavipata...Yaani Umenitumia
Weeee halafu leo uje uninyang'anye kirahisi tu nilale
kwenye mkeka??THUBUTU...Unajua thamani ya Papuchi yangu ni bei gani??Tukipiga Mahesabu
utajikuta Nakudai Gubegube Wee...Siku ya 1 nakupa
zigo UKAPIGA VINANE kwa sifa nikakuangalia tu,Siku
ya 2 UKAPIGA TENA VINANE na kusimamia kucha
kama umeilipia VAT,ulidhani bure zile??Kwa haraka
haraka kwa Mwaka tuliokaa umenipiga kama Vikojozo 2300 na kila kikojozo ni Elfu 10,Piga Hesabu zako uone
kama unanidai Mwanaume Usie na Haya,wenzio
wanahonga we unadai ulivyohonga bila aibu...hehee shutuuu!HAVE A
GOOD DAY"
Hatokujibu Milele!!Wanaume tafuteni hela,ni aibu
kudai zawadi ulizompa wakati Mapenzi yakiwa Hoti Hoti,Huo ni Uandazi Uliopitiliza!Ukishamlaza Chini kwa
kumnyang'anya Kitanda UNAFAIDIKA NINI??

UNA JINASUAJE HAPA?



  1. Hivi ikitokea bifu kati ya mke wako na mchepuko, halafu mchepuko kwa makusudi ukaanza kumwambia mkeo kuwa huyo mme tunachangia, lakini mkeo kwa madaha akaanza kuurusha mchepuko kwa kuuambia kuwa mme wangu amekosa wanawake kabisa mpaka atembee na wewe?Mwanamke gani hata shepu ya kutembea na mme wangu huna!

    Balaa lake sasa mchepuko ukaanza kuelezea mgegedo wako a-z ili kumwonyesha mkeo anakujua nje ndani, na maelezo ya mgegedo au kovu la kwenye kichwa au kibamia chako kwa jinsi mchepuko ulivyoeleza, mkeo anajiridhisha kuwa mbona ndio mgegedo wa mme wangu uko hivyo kweli!Hapohapo mchepuko unamwambia mkeo mkapime afya kwani yeye tayari!

    Utajinusuru vipi mkuu kama ingelikuwa ni wewe? 

MKE WA MTU SUMU AU SUKARI?

  1. Kama mjuavyo mitaani kwetu mara nyingi watu mnakuwa mnajuana, Yule fulani anatoka na fulani, sasa basi kuna jamaa yetu bwana alikuwa anamgonga mke wa mtukwa mda mrefu sana na watu kitaani tulikuwa tunajua, mshikaji alikuwa na age kama ya miaka 28 hivi na huyo demu alikuwa same age na jamaa.

    Basi bwana mshikaji akawa anajigongea kama kaoa vile, mahaba yakanoga nakama mjuavyo mahaba yakinoga lazima mtajisahau, yakanoga ile mbaya kiasi kwamba mshikaji akawa anapikiwa msosi home kwa dem anapelekewa geto kwa mchizi.

    Yakaendelea kunoga zaidi na zaidi mchizi alikuwa anamtoto alizaa na dem mwingine akawaanampeleka kushinda na yule dem siku nzima.

    Wakati yanafanyika haya yote mume wa yule dem alikuwa anaona na anajua ila aliuchuna kama hajui lolote ila ukweli ni kwamba alikuwa anajua kila kitu.

    Kama mjuavyo washikaji sometimes mkikaa nyumbani huwa mnapiga story zinazowahusu, kuna siku bwana niliimuuliza mchizi kuhusu mahusiano yake na yule dem (mke wa mtu) mume wake anayachukuliaje ukizingatia jamaa anajua kila kitu.

    Jamaa alichonijibu akasema jamaa (mume wa mtu) haongei kitu kwa mkewe kwasababu mkewe kamtengeneza vyakutosha, (muvi hili lilianza kama miaka miwili nyuma).

    Basi bwana, muvi lilianza kunoga zaidi siku nne tano zilizoisha yule dem(mke wa mtu) alibeba ujauzito wa mchiz na mimba ilikuwa kubwa tu ya miezi kama sita hivi, kukatokea kutoelewana kati ya mchiz na yule dem.

    Yule dem akaamua kuitoa ile mimba, kile kitendo cha yule dem kuitoa ile mimba mchiz kikamkera sana, akamwita dem geto kwake kichapo alichompa nusu amtoe roho kama sio majirani kuvunja mlango kumuokoa yule dem.

    Dem kurudi kwake mumewe anamuona na majeraha, kuuliza vipi mkewe anajiumauma jamaa akajua aliyefanya hivi atakuwa mchiz.

    Akamfata mchizi geto kwake akamwambia sasa wangu ulipofikia hapo sipo,akamwambia mimi sio mjinga kama mke wangu alivyokwambia kwamba amenitengeneza hivyo siongei kitu.

    Ukweli ni kwamba mimi na mke wangu ni waathirika wa HIV kitambo sana ndio maana sikuwa na wasiwasi wala presha ya kukimbizana na wewe.

    Kama uliamua kutembea na mke wangu sio mbaya ila mambo ya kunipigia mke wangu mimi siyataki. Jamaa akamaliza kuongea akasepa zake.

    Baada ya jamaa kumfata mchiz na kumchana, jumatatu ya wiki hii akaenda kupima HIV bahati mbaya kweli akakutwa ameathirika.

    Basi kurudi home mchizi akaamua anywe sumu, (hapa nawaunganishia matukio ili mpate mtiririko mzuri, kwasababu sisiwenyewe tumejua yote haya baada ya jamaa kuacha ujumbe baada ya kujiua).

    Basi mchizi jumatatu (ya wiki hii) hajatokea skani, jumanne (juzi) akaja ila hakuwa yule tunayemjua, hakukaa sana akasepa.

    Jana nipo job mida ya tisa hivi napigiwa simu naambiwa mchizi amekunywa sumu, amegundulika kama amekunywa sumu baada ya majirani kumsikia anakoroma ile mbaya.

    Kuvunja mlango kuingia ndani wanamkuta jicho lishamtoka yupo kwenye hatua za mwisho,wakajaribu kumywesha maziwa ikashindika, wakambeba mpaka hospital wakamchomasindano mbili na dripu.

    Wakaambiwa wampeleke Lugalo kufika Lugalo wanaanza kumpa huduma mchiz akakata roho. Mchizi aliacha barua akaelezea sababu ya kuchukua maamuzi hayo mazito.

    Kubwa ni hilo la HIV, mchizi tumemzika leo mida ya saa 10. Hili ni tukio la pili sasa la kwanza lilitokea miezi kama mitatu au minne hivi iliyopita baada ya mjukuu wa mzee ruksa kujiua kisa kikiwa cha mapenzi. 

IVI NAPIGIWA WIFE NINI?

  1. Wadau mambo?ing well.

    Wandugu, kwa hizi miezi tatu mimi na wife tumekuwa na ugomvi sana, but kwa wiki tatu sasa tumemaliza hizo shida zote, we are happy as a family, and we are not fighting anymore.

    Wiki mbili sasa zimepita sikua na pesa hata a single coin, nika check kwa hand bag ya wife yangu niweze chomoa kile nitapata, sometimes kama sina pesa mimi huangalia bag ya wife kama kuna pesa let say kama kuna elfu kumi ziko kumi, mimi huchomoa elfu kumi 3 ya kuanzia siku, then nikikuja jioni nakuta amefura, narudisha elfu kumi sita, two times ya ile nilichukua.

    So siku hiyo nilikua nikitaka kuchukua pesa kwa bag yake kama nitapata ziko, surprisingly, nikaona suruali ile wababa tunavaaga ndani wanaita boxer, ziko tano ziko packed pamoja mpya kabisa, anyway i said to myself may be amenunua zawadi yangu pengine Jana alisaau kunipatia, so atanipatia jioni, unfortunately vile naongea leo ni two weeks tangu siku hiyo sijapewa hizo boxer, na haziko tena kwa bag hiyo or anywere in our room.
    So i decided to ask her about the boxers, my question caught her by surprise, and she had no immediate answer, akaniuliza uliona boxer kwa bag yangu? Nikaondoka bila kujibu lile swali.

    Baadae wife akanipigia simu, ooh may be rafiki yangu aliweka hizo boxers kwa bag yangu bila kuniambia na kesho yake akachukua, she was referring to a friend huko kwa vicoba,Jioni rafiki yake akanipigia simu, i think on my wife's instructions, akisema ya kwamba '' shemeji ni mimi niliweka hizo boxers kwa bag ya bibi yako nilikuwa napelekea husband yangu gift i didn't buy that lie, vile nafikiri ni kwamba wamepanga hiyo uongo.

    Naomba ushauri wenu tafadhari;

    (a) Could it be that my wife was taking those boxers to her lover as gift?

    (b) Is it possible that my wife's friend could put the boxers in the bag and then remove them the next day without my wife's knowledge?

    (c) Do you think my wife engaged herself in an illicit affair during the three months of fighting?

Jumanne, 28 Juni 2016

UNGA WA KONGO WANITIA MATATANI

Huku kuigaiga kumenitokea puani, ila ningejua mapema aisee ningechukua unga wa kutosha.

Imepita kama wiki mbili nipo kazini bandari nikakutana na mshikaji kaja kupakia mzigo katokea Kongo. Zikaanza story za hapa na pale mwisho akanipa vumbi la Kongo linaitwa “Kasongo Seven “nikiwa na dhumuni la kulitumia kwa mchepuko.

Kufika home nikasema nijaribu kwa wife. Dah msala ndo umeanzia hapo, yeye amenizoea bao langu moja baada ya dakika tano tu!. Siku hiyo nusu saa ilikatika bado nipo juu ya kifua, kuja kumaliza mbona nilipewa misifa.

Sasa mtiti upo hapa, kila siku naambiwa fanya kama siku ile na imeshakuwa tabu jamani !Yaani ni balaaa alafu unga wa Kasongo umeisha!Mkongo sijamuona tena!.

MUDA GANI WA TIMING YA KULA TUNDA NA WIFE?WATOTO WAPO MACHO!

Said :
Kama mjuavyo nina mke na watoto wawili mmoja miaka mitatu na mwingine ana  miezi 9 sasa, ila changamoto inakuja wakati nataka kumpa haki yake mama yao, watoto wanasumbua balaa yaani inabidi nijiibe fasta fasta yaani hata si-enjoy tendo.
Wadau nifanyeje ili nimpe mama watoto sege-mnege la maana mpaka akojoe (orgasm)?

Novatus:
Ha ha mkuu blessings sana eti unajiiba daah pole sana mkuu naelewa ugumu unaopitia maana watoto wadogo hawana usiku wala mchana, wao anytime wanalia/wanasumbua tu mara kunyonya/kujisaidia kama vipi muwe mnamuachia dada housegirl mnaenda gesti/lodge huko ndo mtifuane na mikelele ya kutosha mkisharidhika ndo mnarudi hom wepesiii.



Bonn :Sebuleni noma maana hapo kila mtu anaingia, jifungieni chumbani (na funguo), fungulia redio sauti kubwa tena wekeni CD/kanda ya reggae au Rose Muhando mnafilimbana mkimaliza mkaoge ki sha mnatoka kama vile hakuna kilichotokea

Jumatatu, 27 Juni 2016

BARUA YA WAZI KWA MICHEPUKO YOTE!

Na nyie mmezidi ,muda mwingine tukiwamwaga  msiwe mnatulaumu kwani ni uzembe wenu ndiyo unatusababisha.
Angalia, unajua kabisa Mimi ni Mume wa Mtu na nilishakueleza kila kitu na hadi kukupa mwongozo mzuri tu wa jinsi Mimi na Wewe tutakavyokuwa tunatenda " dhambi " zetu lakini bado hamsikii.
Nimekuambia:
1. Usinipigie Simu hadi Mimi nikupigie Wewe kwa makusudi kabisa unanipigia usiku Saa mbili na hata Saa 6 au Saa 8 usiku.
2. Tukionana barabarani kama nikiwa na Mke wangu badilisha njia au kama ni ghafla usinisalimu Wewe ukiniona tu na Mke wangu unanisalimu kwa " mashamsham " ya Kimahaba kabisa.
3. Ukimjua au kuonana na Mke wangu kama umeshamjua basi mpe heshima yake lakini Wewe ukionana na Mke wangu ndiyo unaanza " kumbinulia " domo lako utadhani Ndege aina ya kinega anataka kujisaidia.

Enyi Michepuko! kama mmekubaliana na sheria za mchezo basi jitahidi muwe mnazifuata kwani mmeshatukosesha wengine sasa Wake na sasa " kimenuka " huku. Mnataka tuwapendeje? Mnaturoga tunawavumilia na tunawapeni pesa za kutosha hamridhiki je tuwafanyeje?


Leo mmenipandisha kweli hasira na mlivyo na roho mbaya umeshaona " umelikoroga " kwa Mke wangu sasa unataka uhamie kwangu leo leo,Heh wee vepeeeee?. 

Jumamosi, 25 Juni 2016

AMENISINGIZIA KUWA NIMETEMBEA NA MKE WAKE WAKATI MIMI NI MCHUNGAJI


Wakuu nina jambo limenisibu siku ya jana naomba mawazo yenu kama watu wazima.

Jana muumini wangu mmoja alinipigia simu kuwa ana shida ya kuonana na mimi kwa ajili ya maombi binafsi. Unfortunately, Jumatatu huwa ndio siku yangu ya mapumziko, weekends nakua busy sana na huduma za kanisani, hivyo Jumatatu huwa napumzika sigusi kazi yeyote na sitoi huduma yoyote.

Hivyo nikamjibu yule dada kuwa leo sipo ofisini, ila kwa sasa nipo beach napunga upepo nikitafakari kazi za wiki nzima. Akanibembeleza sana aje beach tuongelee huko huko, nikakubali, akaja, ilikua ni saa tisa mchana, hakukua na watu kabisa zaidi ya wazungu fulani na mimi na yule dada.

Akanieleza ugomvi wake na mumewe ndio shida kubwa iliyomleta kwa maombezi. Anyway, wote na mumewe ni waumini wangu wazuri, tena wana vyeo hapo kanisani kwetu hivyo sikuwahi kujua wana ugomvi mkubwa kiasi hicho, basi nikamfanyia maombi hapo hapo tukiwa tumekaa, na baadae kumpa ushauri.

Nikaagiza chakula na vinywaji tukala huku tukiongea mambo mbali mbali, tulipomaliza kula tukaona tukaogelee, kwa nia njema tu, mimi nilikua nina pensi hivyo nikaingia majini moja kwa moja, yule mtumishi hakua na nguo za kuogelea zaidi ya gauni alilovaa, wahudumu wa ile hotel wakasema wanazo swimming costume za kukodisha @5000 nikawaambia haina shida nitalipia, akapewa.

Basi tukawa tunaogolea pamoja kwa nia njema tu, tulipochoka tukarudi kwenye viti na kuendelea kunywa vinywaji vyetu, ni hapo sasa ndipo mumewe akatokea na iron bar mkononi na kutaka kumpiga nayo mkewe kichwani akampata begani, sikujua nani kamwambia mkewe yuko hapo.

Akamvurumishia ngumi kana kwamba anapigana na mwanaume mwenzie, tukashirikiana na watu wa hotel kumdhibiti na kumpeleka kituo cha polisi, amelala huko hadi leo asubuhi, mkewe alitibiwa Jana na kurudi nyumbani, amefungwa bandage kwenye bega.

Leo asubuhi wote tulienda pale polisi kwa maongezi, maongezi hayo yameshindikana, mke kadai hamtaki tena mume kwa yote yaliyo tokea maana mbele ya mkuu wa dawati la jinsia na watoto yule jamaa amedai kuwa mimi natembea na mkewe, kwamba ametufuatilia siku nyingi, madai ambayo si ya kweli, na ninashangaa yametoka wapi, ni wazi kuna watu kanisani wanamtumia kutaka kuniangusha baada ya kuona ministry yangu imefika mbali, hii ni moja ya mbinu chafu ya watu hao.

Sasa hawataweza, huyu ndugu kesho atafikishwa mahakamani kwa shambulio la kudhuru mwili, ushahidi upo wazi, amemuumiza kwa kiwango kikubwa sana mkewe, amevimba uso na bega pia.

Wakuu, naomba kufahamu katika kulishughulikia hili suala. Je kuna sehemu nimekosea, nilipaswa nifanyeje instead?

BARUA YA WAZI WA WANAWAKE WOTE AMBAO BADO KUOLEWA

Mhhhm kama bado mna still struggling to find a husband at an old age...because you're looking for a perfect man, Mhhm I think something is certainly wrong with you...
Yani vigumu sana kupata yule unaye tegemea hana kasoro, na yule unaona ni bora kwako anaweza kuwa si kama unavyo tegemea...now let put this way;
 When a product is not doing well, the sales team doesn't blame the customers, they either blame the product or marketing strategy .
So ladies, have you being marketing yourself,...nakusudia ile unajitangazia wewe bado hujaolewa, na ungependa kuolewa na uko tayari kutoa ofa ya kitu flani, si mnajua tena kila ofa ikiwa nzuri ndo mnapata haraka good customers……eeeeh sijui kama mnanielewa?
Customer service is so important....msisahau!.

Ninakusudia wasio olewa ili wapate kuolewa...Lazima waseme hawajaolewa bado, na watoe toe  tu ofa kwa mfano kama binti  ana nyumbaau ana kibaruacha maana  itasaidia kidogo matatizo kwa vijana ambao wanatamani kuoa lakini unakuta mambo yao bado hayajakaa vizuri kiuwezo!

ILE NAINGIA TU OFISINI JAMAA ANAPIGA KOFI WOWO LA WIFE HUKU WIFE AKIFURAHIA SANA!

Jumatatu nilikwenda kazini kwa mke wangu kuchukua ufunguo wa nyumbani kuna kitu nilisahau nyumbani hivyo niliitaji kukirudia, yeye ndo huwa anawahi kurudi nyumbani so huwa anakaa na ufunguo, wangu nilipoteza kwenye pombe.Sikua nimempigia simu nilijua atakuwepo tu kazini.
Nilipofika pale nilielekezwa na watu wa mapokezi chumba cha ofisi anamofanyia kazi. Unexpectedly, nilipofungua tu mlango wa chumba hicho nikakuta jamaa mmoja staff mwenzie na wife akimpiga vibao wife kwenye wowowo nalopumzikia mimi huku wife akifurahia kitendo kile na staff wote mule wakifurahia. Yule bwana aliendelea na zoezi hilo huku wife amekinga wowowo na staff wakiendelea kufurahia tukio hilo.
Wakati huo mimi nimeganda mlangoni kwa mshangao mkubwa nikijiuliza hili lijamaa litakua halijapata kweli? Hadi kufikia hatua hiyo? Wife alipogeuka mlangoni akakutana uso kwa uso na mimi almanusura azirai, alitweta, jasho jingi lilimtoka, wale staff mle ndani hawanifahamu hivyo hawakujua kinachoendelea, nikafunga mlango taratibu na kuondoka kwenda kwenye lift, wife akawa ananikimbilia kwa nyuma kimya nadhani kwa kuogopa staff wengine wasijue chochote.
Nilipoingia kwenye Gari akaanza kuomba anielezee sikumpa nafasi hiyo nikawasha Gari na kuondoka nikarudi usiku wa manane home, nikamwambia park vitu vyako asubuhi pakikucha uondoke sikutaki tena alilia sana alikesha ananibembeleza nisimwache kwamba ulikua ni utani tu wa ofisini hawana uhusiano wowote na yule jamaa, kwamba tumpigie hata simu na wengine pia pale ofisini.
Nikamjibu kwamba sihitaji kuelezewa nimeona kwa macho yangu, na kwamba kuwepo na mahusiano au kusiwepo kwangu sio tija sana, linalonisikitisha ni mke wa mtu kukosa adabu kiasi kile na kujirahisisha kwa wanaume, kushindwa kujiheshimu na kuruhusu mwanaume mwingine akupige kofi kwenye makalio ndio dhambi kubwa katika sakata hili.
Kwa tabia hii wanaume wote office nzima watakutongoza wakiamini ww ni maharage ya mbeya, hivyo sikutaki tens
Nikamjibu hivyo. Amengangania kwangu tangu siku hiyo hataki kuondoka akiomboleza na kuomba msamaha, ingawa sisemi nae chochote tangu siku hiyo bado namvutia kasi.

Huyu mwanamke hatujafunga ndoa, ila tunaishi tu, nilimleta hili kum replace mke wangu wa kwanza tulieachana kwa talaka mahakamani kutokana na mimi kushindikana kwa uzinzi nina watoto na mtalaka wangu ambao tunasomesha pamoja
ni muda tangu tulipoachana ila haachi kusisitiza turudiane tulee watoto pamoja, anadai ndugu yake wakili ndie aliemchochea kuomba talaka miimi nilishindwa kurudiana nae kutokana na guilty conscience kwa matendo niliyomtendea

Sasa waheshimiwa huyu nilie nae sasa nilimwambia nakupa probation niweze kuiona tabia yako, maana katika mazingira yasiyoeleweka akawa akija kwangu anaacha nguo hadi kufikia begi mbili ndivyo tulivyoanza kuishi hivyo.
Kwa hili nililoliona si ameshindwa probation huyu? Maana nimeamua kuwa mtu mzuri na kuacha mabaya yote yaliyosababisha nishindwane na familia yangu.Hebu nisaidieni suluhisho

Way forward please!?

Fredy:

 1. Kushikwa makalio ndo alama ya wao kuwa na mahusiano?
2. Kushikwa makalio ndo alama ya kwamba atatongozwa na kila mu ofisini kwake? Kwani asiposhikwa hawezi tongozwa?
3. Kwanini hujampa nafasi ya kumsikiliza ili uwe fair kwenye maamuzi?
4. Unadhani kumtimua ndo suluhisho la hali unayopitia?
5. Haya, let us say umemtimua, una uhakika gani utakayemleta hatayafanya hayo au zaidi ya hayo?
6. Haya, let say umebadili wanawake mara kadhaa, na wee hujabadilishwa, do you think wenye matatizo ni hao wanawake au ni wewe? You know sometimes binadamu huwa tunakimbia vivuli vyetu... tunasahau kuwa jua likiwaka tu, kivuli hichooooooo....

Waza kwa kina hayo maswali... Utapata majibu!

SALUM:
Inategemea ulikutana nae wapi Mkuu; kwa utamaduni wa kiafrika ni aibu na fedheha kubwa kwa mwanamke potelea mbali mke wa MTU kushikwa makalio tena mbele ya hadhara ya watu! huo ni upungufu mkubwa wa Maadil! Acha uzinzi rudia mke wa zaman Mkuu

WANAUME ACHENI UBAHIRI!MJIONGEZE!

Aisee wanaume na nyie mmezidi hamtaki hata kujiongeza  mnapenda mitelemko tuu!
Sisi wanawake wote tunapenda sana wanaume wanaojiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono AAAH Mwanamke matunzo baba unaniona napendeza nanukia vizuri bado tu hutaki kugaramia ata kidogo!Nyoooo!
Mwanaume wa kweli  anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.

Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:

1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mpira au mieleka.
2. Vocha natoa mimi
3. Chumba change,kitanda changu, mashuka, mito yangu,mwili wangu n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa.
Keruuuu!
SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0


Ijumaa, 24 Juni 2016

WANAUME ZETU MNATUTIA AIBU,MTULIE

Naomba niongee nanyi waume zetu jamani, hebu tulieni na wake zenu maana cha zaidi mnachokitafuta ni aibu na magonjwa.
Nikiwa saloon (kama mnavyojua mambo ya saloon full umbeya hakuna siri) wadada wakawa wakiongea, mmoja anatembea na mume wa mtu akasema "yaani yule boya kweli mi nataka hela zake tu,kitandani hana kitu kabisa,yaani kimoja tu tena cha dakika moja tu yuko hoi,ananichafuaga lol na ule mtumbo wake anajiburuza tu kama nyoka. Namuonea huruma mkewe maana alivyo mzuri, bora mimi nina jamaa yangu wa kunikuna,sasa mkewe sijui anafanyaje masikini"!
Wakacheka wote kwa mkupuo na kuendelea kuwaongelea wanaume in general na wakitoa shuhuda zao za vituko wanavyokutana navyo.Sio siri nilijikuta naumia nafsi kama ndio mimi vile,nikawaza hiyo aibu.
Hivi mnajijua uwezo hamna,ni nini sasa mnachokitafuta?
Au ni kwamba hamyajui hayo madhaifu yenu,au mnataka nanyi muonekane vidume? au...... au...... najikuta tu nabaki na au au.
Na wanawake wenzangu tujitahidi kwenye masuala ya misosi na kuwashauri mazoezi,tusiruhusu hivyo vitambi vyao, mume wangu nimemtengenezea kabisa ratiba ya kula na bahati nzuri hapendi kitambi so na mazoezi anafanya japo mvivu sometimes, so huwa namsisitiza sana kuhusu mazoezi na ikiwezekana tunafanya wote.

Nanyi wanaume hebu mfunge zipu,majaribu yapo ila mshindeni shetani myashinde.

WANAWAKE:VAENI NGUO ZA KUSITIRI MIILI YENU

Sijui ni masifa au nini ila kwa kweli sio vyema kabisa unamkuta mdada kavaa nguo ndefu tu ila tatizo ni transparent zinaonyesha hadi chupi na sehemu nyingine za maungo yao kweli sio vizuri wanaume tunapata wakati mgumu sana kwani nguo zenu zinatuhamasisha kufanya ngono na vitendo vingine vya kichochezi.
Ni hali ngumu sana unapokatiza mjini/mtaani/shule/vyuoni/daladala unakutana na haya maafa kwa kweli wanawake mnatumaliza sisi wanaume.Nidhamu ya mavazi ichukue mkondo mavazi yenye kuonyesha sehemu za ndani yaachwe pia nguo zinazobana zinaonyesha hadi mistari ya chupi ziachwe nasema tena maana hamna namna hata hizi fupi zinazoonyesha mapaja na viuno mziache mwanamke vaa vazi kubwa la kufunika na kusitiri mwili wako wote.
Mi langu rohoni leo nalitua,ukweli nakereka na kujiskia aibu kwa hili.Yani unakuta mdada au hata mwanamke mtu mzima anafanya makusudi kuingia kwenye shughuli za watu za heshima zinazohitaji mavazi ya kujisitir angalau basi nguo iishie magotini na kuficha sehemu nyeti na kama matiti na mapaja...
Ye utakuta kaingia na kigauni utadhani cha mtoto wa shule ya msingi miziwa yote ipo nje nje..Mipaja yake nusu na robo ipo nje,sasa hapo hata akiangusha kitu sidhan kama ataweza okota!Alafu kihelehele uyoooo anaomba asevu high tabo!
Sasa hebu fikiria watu wanafanya shughuli ya kumuaga binti yao (send off) au harusi ukumbini..kule mbele kuna wazaz na wazee wetu wengine wa heshima,upande mwingne wamekaa wakwe..
Muda wa kucheza mziki unaingia pale mbele kwa mbwembwe zote shost unajimwaga ukiwa nusu uchi na kutuaibisha wanawake wenzio hadi tunaona aibu,mi nlishuhudia zaidi ya sherehe moja..
Tena mdada anawapa mgongo wazazi wa yule shogake anayeagwa uchezaji wenyewe wa kujibinua ka' mbuzi anetolewa kafara,huku nyuma mipaja yote nje bado sentimeta moja matako yaonekane,mama mzaz akainamisha kichwa pale kwa aibu ya anachoona.
Mi nnachoomba angalia dressing code yako kwa eneo husika,sio unavaa mradi kiende.Utavaaje kigauni cha klabu kwenye wedding reception zetu za kitanzania? halafu ukiangalia nyomi lote walovivaa unakuta ni ww au kuna mwingne pemben ndo mlovaa kiaibu tu..

Hata kama ni kwenda na fashion zingatien mahali mnakoenda hata kama hakuna wazaz au wazee wenu bado waliopo watawachukulia kivingine tu!


BOSS AFUMANIWA OFISINI MCHANA KWEUPE!

Wandugu habari za kazi,

Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.

Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii ni bone la haibu.

Kuna mdada nafanya nae kazi hapa ni mzuri mwenye mvuto  ameolewa na ana watoto wawili nan i mwenye kuipenda sana familia yake kwani kila wakati ni kumuongelea tu ofisini kuhusu mumewake tu.

Cha kushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini ghafla bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa kwani ilikua ni luch time. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi amemuinamisha yule dada wanapeana mautamu mchana kweupe ofisini.

Jamaa kuona vile alishikwa na butwaa kama dakika kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.

Kwa kweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea.. Jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake.
 Huku nyuma ameacha mtafaruku wa hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena,Boss nae amechanganyikiwa.
 Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.


WADADA WAZURI PUNGUZENI NYODO

Nakumbuka kuna siku nilikua nimekaa maeneo ya Mwenge naosha miguu kuna mdada duu nae akaja mzuri hatari t#ko kubwa full nyodo tuuu hatari hakusalimia wala nini akauliza tu kaka utatumia muda gani kummalizia huyu mdada?Akajibiwa pale akatulia akawa anachat na Galaxy baby mi nikamsalimia (kwasababu nilitaka kujua handbag yake amenunua wapi imekaa kiulaya ulaya na vitu alivyotupia kwa jicho la haraka unaona vimeshuka na ndege).
Bidada alininyali mpaka nikatamani Dunia ipasuke,tukaendelea kukaa alikua amevaa kimini cha rangi ya cream  na top nyekundu.Muda si mrefu si bleeding iyoooo!ikampata ana hahahaaaa utadhani nguruwe anataka kupandwa mi nikawa namwangalia tuu!
Tone jekundu hilo mmmh! nikaingiwa na imani kwa kweli maana hiyo sehemu wanaume kibao nao wapo ambao ni wasusi nikaona tutasemwa wanawake wote na sio yeye nikaingia kwenye mkoba nikampa mtandio na kumrushia mineno ya shombo akuamini mara dada naomba namba zako ili nikurudishie mtandio wako nikamwambia nim,ekupa bure !Yaani nikikutana nae barabarani full kujichekesha kwangu ,nimemdharau sana.

Jumanne, 3 Mei 2016

HII NDIYO DAWA YA KUZUIA KUCHEPUKA!

By George ,
Waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama mitatu tuu iliyopita mi na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki my wife kwani tangu tuowane nimeshapiga kama mademu kama kumi hivi kwa hesabu ya haraka haraka na ki ukweli si kwamba nakuwa nimewapenda NO!,Ni tamaa tu coz my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu ni mzigo wa haja kidogo basi nataka kuonja ikoje .
Na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.Sasa kiukwel imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda Bank moja kwa shughuli  za kikazi ghafla huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta mitego Fulani mingi ya kuni seduce baadae a kanipa namba zake za simu ki ukwel alikuwa mrembo Duh!uzalendo ukanishinda nikajikuta kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa Nduguzanguni wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
                                                                                            
By  john,
Polesana George,
Hii ndio dawa ya kutochepuka kaka!
1. Honor your spouse by honoring your marriage vow of fidelity.
2. Be aware of infidelity "danger zones."
3. Know yourself and create open lines of communication with your
spouse.
4. Make your marriage a priority.
5. Create a marriage vision.
6. Make time for doing fun
things in the marriage.
7. Having a good sex life and enjoying a sense of romance is an
important part of a good marriage.
8. Make time for meaningful conversation.
Kuna waliojaribu kukupa advice nzuri,wengine..... Now from the horses mouth!! Nami nilikua hivyo hivyo,wewe unasema wa 5 miaka mi 3! Hehe dude you are a saint. Mimi nilifanya hivi: 1. Rekebisha akili yako kutambua kua kufanya mapenzi nje ya ndoa SIO SIFA ni kujishusha thamani. 2.kama wewe mke wangu nampenda kuliko hao wote combined,nikaanza ku spendi  more time wit my baby at 1st nilikua kama nalazimisha baadae imekua ugonjwa.She is INTERESTING BEYOND wht i thot. 3. Epuka marafiki wanaume  malaya,tafuta vishughuli nje ya ajira vya kuku occupy na kufanya life na mke wako interesting.


WASIMAMIZI MSETO WA NDOA KUPEANA NAMBA!

  1. Nimejaribu kuangalia baadhi ya wanandoa mbalimbali na kuona kuna mengi sana yanayotokea hivi sasa
    naomba nieleweke sikutishi uoe ama kuolewa ila vyema kujua ndoa sio lelemama na unapoamua kuingia usitarajie msaada wa mamako ama babako.

    Ataa wanakula kiyoyozi ukahisi wako peponi kumbe mmoja wao anatukana kisisiri huyu polisi vipi anatuchelewesha nikammwage huyu nianze zangu.....sitaki ufanye hivi nasema kwa kukuonya muwe makini sana na ndoa tunazofunga

    Usifunge ndoa kwa ajili ya shangazi ama mjomba ama baba ama mama utalia..wengi wameingia kwenye sumu hii na kuishia kugawana pepo walizocchuma wakiwa duniani baada ya miaka kadhaa..mbaya zaidi hivi sasa unakuta babu na mvi zake ati anaenda mahakamani kuomba bibi ampe talaka laana ilioje...

    So ni kweli ukiwa single unakuwa na furaha ya kujiamulia mambo na kufrahi kwenda unapotaka lakini ukifika kwenye ndoa ndugu ujue kuna serikali ya NDOA..na mawaziri makatibu manaibu na diwani pamoja na wabunge woote ni wewe na mkeo na majukumu yote mwaitaji kuyafanikisha pamoja ili msikae vikao vya kusuluhishana....

    Mwisho nawatakia heri na fanaka kubwaaaa kwa wapendwa wetu walioamua kufunga ndoa Kanisani/MSIKITINI/BOMANI na sehemu mbalimbali maana nimesikia mbeya huko kuna wachungaji wanawawafwata wanandoa nyumbani na kuozesha..si haba hali wamependana...nawatakia harufu njema ya amani upendo na mzidi kuongeza dunia kama wazazi wenu wasivyokuwa wachoyo kuwaleta nyie dunian leo hii mnafunga ndoa......

    WASIMAMIZI

    Siku hizi kumekua na katabia ka kusimamia ndoa wasimamizi mseto!....yaani hili ni balaa jingine!Tafadhali ukiwa unatarajia kusimamia ndoa ya mtu jumamosi ijayo ama ijumaa mkiwa kama wasimamizi mseto jamani punguzeni ukaribu...sie wake zetu tunawaruhusu kwa kuwaheshimu wanandoa lakini naona hivi sasa mtu yuko mbele anajiachia uku akikumbatiwa na msimamizi mseto wakipeana namba fasta kwenye hai tebo baada ya hapo ni chating tu!....."baby ulikua wapi nilitakiwa nikuoe wewe  angalia jinsi ulivyojazia!"

    Hili tusingependa litokee kama si mkeo lishaneni keki mshibe muondoke si mambo ya umependeza oohh unajua angechelewa walahi ningekuwa na wewe toka hapa ulikuwa wapi siku zote!Itafika wakati inabidi wake zetu wakisimamia ndoa tuende na panga kwenye makoti yetu meusi kuleta heshima kwa wasimamizi hilo ni wazo...karibia na utani.

Jumatatu, 2 Mei 2016

NILIAMBIWA KAUKWELI ILA KANAUMA!

Nina kama miezi minne au mitano tukiwa na kaugomvi ka yeye kupigiwa simu, na pia kuna ka pub nje kidogo ya ninapokaa jamaa yangu mmoja aliniambia muda wa mchana humuona shem hapo na jamiaa wakati mimi nikiwa job.huyo jamaa yangu alikuwa akifikiri labda nani najua hilo labda huyo anayekuja kusalimiana na kusindikizana ni ndugu au mtu ninayemjua kumbe lah. sasa na simu ya wife nikaona anakuwa na wasi wasi nayo sana.

Nami ili kujua vizuri nikaona nisifikirie tu vibaya labda ni mtu wa nyumbani au ninayemfahamu kuna jamba labda la maana wanazungumza.nikamuuliza wife akakataa kabisa kutoka wala kwenda sehemu hiyo, hapo mawazo yakanizidi nikasema hivi jamaa yangu anaweza niambia uwongo kweli?mbona wife naye simu yake simuelewi elewi akienda kuoga yuko na simu na mara nyingi huongea na simu akiwa bafuni nikashangaa haikuwa kawaida.

sasa jmosi nikiwa home siku nikaona nisitoke leo nikae home tu nipumzike nikapiga supu pweza na kuanza kumpiga show ya utulivu na wife (watoto niliwawekea katuni ya Tommy and Jery sebuleni )nikapiga nikapiga yeye akafika kileleni akawa akitoa sauti ile ya kileleni huku mwili umekakamaa kalikunja shuka kwa mikono yake hajitambui muda huo nikazidisha mapigo tena akaanza kuongea mwenyewe " Ingiza yote mume wangu,Nisamehe mume wangu sitakusaliti tena yule John alinisumbua sana na shetani akanipitia" baada ya hapo akaanza kuhema kwa nguvu nami nikamwaga tui la nazi na kuinuka kwenda kuoga nikarudi kitandani nikawa natafakari,nikamuona na wife kama naye kakumbuka maneno yake na yeye kuanza kutafakari, huyo john namfahamu ni mtu wa mtaani baada ya siku mbili nikasikia huyo john kahama alikokuwa amepanga na kwenda g.mboto sio tunakaa ubungo external.


Sasa najiuliza huyu mwanamke kweli anafaa kuendelea naye kuwa ndani au nimfukuze kibabe ingawa kwao wamenizoea sana.maana kwa kweli ni jambo la kufedhehesha sana.

Ijumaa, 29 Aprili 2016

KUOA JOMBA NI SHUGHULI SI MCHEZO!

"Kuna thread moja inahusu michango ya harusi imenikumbusha mbali. Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, jiandae kwa mambo haya:

1.Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo mtarajiwa ukajitambulishe huko. Kama mfano mkeo anatokea Mwanza, na mnaishi Dar, andaa nauli ya watu wawili, malazi kwa siku mbili, na utagharamia shughuli hiyo ya utambulisho. Wewe tenga 500,000. Hapo tuna assume mkeo atajitegemea. Otherwise 800,000 itakutoka.

2.Kumtambulisha mkeo kwenu. Kama nyie nyumbani ni Arusha, utatakiwa umpeleke huko Ngarenanyuki. Sio umlete hapo Tabata mlipopanga. Hapo sio kwenu! Andaa nauli yako na atakaekusindikiza, nauli ya binti na mwenzie, na gharama za vinywaji na chakula siku hiyo. Utahitaji kama 700,000

3.Kifuatacho ITV ni kuwaalika wakwe zako nyumbani. Uwatoe watu kama nane Mwanza, uwalete Arusha. Wale, walale, wajisaidie, kwa gharama zako. Wewe acha ubishi, tenga 800,000 tu.

4.Kwani wewe wazazi wako wanajua unakooa? Sasa je? Wasafirishe kwenda Mwanza! Watu watano. Utahitaji kuwa na 500,000. Beba pia ATM card yako, kuna imejensi.

5.MAHARI ndio topic inayofuata sasa. Ukiwa mjanja, unganishia kwenye hiyo safari hapo juu uue ndege wawili kwa jiwe moja. Pamoja na hayo, itabidi ubebe 2,000,000.

6.Sasa kijana unaweza kumvisha mchumba wako pete. Nunua ya kawaida kabisa ya dhahabu. 350,000. Tukio lenyewe la kumvisha pete unaweza ita marafiki wawili watatu ukatumia 200,000. Au fanya sherehe kabisa. Mi simo

7.Oke, sasa unaweza kuitisha vikao vya harusi. Tengeneza kadi za mwaliko wa kamati kwa 200,000, kikao cha kwanza gharama zote ni juu yako. Andaa 500,000. Swali la kwanza kwenye kikao: "Wewe umejiandaa kwa shilingi ngapi?" Sema 1,000,000.

8.Utahitaji 100,000 ya sms na simu kukumbushia michango (Shukuru Mungu kuna cheka time)

9.Wakati vikao vinaendelea, utatuma 200,000 kwa m-pesa ili mambo ya kimila yaendelee kule nyumbani. Wewe unaelewa

10."Darling, sasa mie kwenye kitchen party nitavaa nini?" 300,000!

11."Darling, kuna mahali nimeona gauni zuri la send…" 400,000!

12."Baby, rafiki yangu alinunua gauni la harusi China yaaaani lilimpendeeeeeeeee….." 700,000!

13.Wakati huo wewe mwenyewe hujajua utavaa nini! Hujanunua pete za harusi, hujamvalisha best man na mkewe. Tuseme unahitaji kama 1,500,000 maana utalialia sana. Kumbuka, gharama hizi huchangiwi na kamati. Wala hutarudishiwa.

14.Siku ya sendoff lazima uende Mwanza tena. Utaenda mwenyewe? Nani kasema! Ndugu wawili watatu na mshenga 600,000. Kwenye sendoff utatakiwa kutoa sijui blanketi la bibi, vitenge vya mashangazi, na vikorokoro kibao. Nunua hivyo vitu 300,000 uende navyo ili kupunguza gharama. Beba 200,000 za wale mashangazi watakaoibuka ghafla na wala hawakuwa kwenye bajeti yako!


15.Mshonee baba mkwe suti 100,000 mama mkwe yeye atavaa gauni la 50,000.

16.Fotokopi hiyo hapo juu (namba 15) na kwa wazazi wako pia. 150,000

17.Watu watakaopenda kuvaa sare wajitegemee! Mimi sina hela! Ila utavishonea nguo vile vitoto kwa 80,000.

18.Siku mbili kabla ya harusi, utaanza kupokea wageni. Unatakiwa uwatafutie malazi na chakula. Kwa ujumla utahitaji kama 500,000

19.Jioni watoe auti mashemeji zako ambao hawajawahi kufika Dar ukawanunulie bia ili wakuone wa maana. 200,000

20.Siku ya harusi bibi harusi na mwenzie na watoto na maids watatakiwa wakapambwe saluni. 200,000

21.Wewe na mwenzio mtaenda kunyoa hapo kwa nanii. Ndevu na nywele 10,000

22.Siku ya harusi beba sadaka 10,000. Wakati huo umeshamtuma kijana akakulipie hoteli mtakayofikia baada ya harusi (Fungate hilo). Kamati haitoi hela hiyo, so utalipa malazi ya siku mbili 200,000

23.Kama mtaenda honeymoon sehemu yoyote nzuri nzuri nje ya mji, si chini ya 800,000 kwa angalau siku 5.

24.Wakati uko huko honeymoon, huna hata kumi, mwanakamati mmoja ambae hakuchanga anakupigia simu " Sasa tunavunja lini kamati?" Pesa yote iliyochangwa ilitumika kwenye harusi, sasa gharama za kuvunja kamati ni za nani?? 500,000!

25.SASA MNAANZA MAISHA YA UNYUMBA. 14,150,000 poorer.

Jamani kama ndo maisha ya Bongo basi tunapoteza mtaji mkubwa sana kabla ya kuanza maisha,hizi gharama nazo ni jipu!