Mimi ni kijana umri miaka 26,naishi jijini Dar es Salaam nafanya kazi katika hizi
benki kubwa hapa nchini nina mchumba
wangu anafanya kazi katika kampuni moja hivi ya mitandao ya simu ,japo
hatujaoana lakini tuna kawaida ya kutembeleana mara kwa mara,yeye anaishi
Kinondoni Mkwajuni mimi naishi Ubungo Riverside.
Weekend hii ya sikukuu ya Pasaka nilienda kumtembelea
akanipa simu yake nimwekee vocha nikiwa naweka vocha nikashangaa sms inaingia
"honey uko wapi".
Sikumwambia chochote na wala sikuifingua iyo sms ila
niliweza kuisoma coz simu yake ni smartphone aina ya Sumsung Galaxy
yaani sms ikitumwa uwa inapita kwa juu unaweza kuisoma yote.Nikajikaza
kiume niliamuua kufungua whatsapp yake nikaanza kupitia baadhi ya chatting zake
moyo ulitaka kupasuka pale nilipokutana na chatting moja amechat na mwanaume
nilijua ni mwanaume kwasababu
niliangalia profile picture yake na sms zao zilinitisha sana jamaa kuna
sms anasema " Juzi nilifurahi mno ulivyonipa
tamu tamu yako!"
halafu mchumba wangu
ali sms akajibu." Mwenzio sijazoea huko umeniumiza!".
Kuna sms nyingine
jamaa alituma akisema,
"Mwezi wa sita
inabidi nikutie mimba".
Mchumba wangu akajibu tena kwa madoido
“Unajua kuingiza tu mimba tu kulea huwezi,kwa jinsi ulivyo kuwa mbaili
wewe!hahah niache usinipandishe nyege mimi sasa!”
Jamaa akajibu “ Mtoto atalea Banker”
“ Haya bana ila kukuacha wewe siwezi!Lol!”
Daah niliishiwa pozi nikakausha na kulamba konyagi kubwa
sasa hang ove r imekata natafakari!
Naombeni ushauri wenu