Hiki ni kisa cha muda kidogo, wakati huo nilikua bachela
nimeshamaliza chuo naishi kwa kaka yangu Kigamboni Dar es salaam. Jirani yetu
kulikuwa na binti ambaye alikuwa ni mke wa mtu, yule mwanamke alikuwa kicheche
sana. Na mume wake alikuwa ni dereva wa gari, hivyo muda wake akitoka saa 11
asubuh kurudi saa 6 usiku. Alikuwa na mazoea sana yakuja hapo nyumbani kwa
brother kupiga story na shemeji yaani
wife wa bro.
Siku moja nimekaa ilikuwa Jumapili bro na shemeji walikua
wameenda kanisani, akajipitisha
nikamuita nikarusha mistari, akasema ngoja kama nusu saa hivi nitakujibu.
Mwanaume nikatulia aijapita dk kumi huyo, akasema nimekubari lkn uwe mwangalifu
siunajua mi mke Mtu? Nikamwambia usijali nitakuwa mwangalifu.
Siku hiyo hiyo majira saa 12 jioni nikamshitua binti akasema
tukafanyie wapi, nikamjaribu kwako hapo si pako poa, akasema ni wewe tu. Maana
alikuwa anakaa peke yake na mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka 2. Basi mi
mtu mzima nikajitupa kwenye mjengo, nikampa mtoto 200 ya pipi akasepa kwenda
kucheza na wenzake, nikabaki na mama yake ndani. Akanivutia fasta chumbani
kwake tukaanza kusuguana ngozi, dah! Gemu lilikuwa hatari nilipiga viwili lakini
vya hatari. Binti alisifia akasema mume wake toka amekuwa nae hajawahi kumkuna
kiasi hicho, amekuwa hakimpa kimoja tu tena cha dk 5 kachoka na harudii tena
mpaka baada wiki. Mi nikajiona kidume cha mbegu.
Binti akanikabidhi moyo wake ikawa kama mazoe, binti
akanipenda sana kila muda anataka akunwe. Kama mwezi ulipita tunakunjana tu,
mpaka shemeji alishitukia hilo dili lkn
alikuwa ameishachelewa mapenzi yameishanoga kwa mke wa mtu. Akienda Kariakoo
ananinulia shati safi analeta baaada ya kubana matumizi ya nyumbani kwake ,
pesa ya vocha napewa, ilikuwa raha kweli.
Siku moja, majira ya saa kumi jioni akaniita kwenda kumkuna
kama kawaida yetu, Mara nyingi anapokuwa na mm anavaa kanga peke yake bila hata
chupi. Nimefika nikamkuta yuko kwenye kanga Kama kawaida yake akamtoa mtoto
akacheze. Tumeingia chumbani tumeanza kushikana pale akashusha kanga akawa
utupu, sasa Mimi roho yangu siku hiyo ikawa nzito sana, nikawa mzito kuvua
nguo, nilivua kwa shigo upande. Wakati naigiza dudu washa ndani mlango wa nje
ukafunguliwa alikuwa ameegesha tu. Huku ndani tulianza kuhaha, ila yeye
akanitoa hofu kwamba kuna binti alimwambia aje hamsuke yawezekana ni yeye,
akavaa nguo zake kaenda. Kufika sebuleni kumbe ni shemeji yake Kaka yake mkubwa
na mume wake. Balaa kubwa hilo, kaanza kutetemeka, akaja chumbani akaniambia
Leo tumekwisha maana atajua ndani kuna mume kwa sababu viatu nilikuwa nimeacha sebule
ni. Huku ndani nilitafuta pa kutokea sikupaona, niliingia uvunguni Mwa kitanda
nikatulie huko natetemeka kweli. Na shemeji yake ni mtu wa Tarime yaana kurya
man panga njenje, Nikasema Leo nikitoka salama sirudii tena kutembea na mke wa
mtu.
Sasa yeye akabaki sebuleni na shemeji yake, shemeji
anamuuliza kwani viatu hivi vya nani? Ndani humu kuna nani? Maana mume wako
yuko kazini sasa aliyomo humu ndani ni nani? Kadri ya maswali yalivyozidi mi
natetemeka tu. Gafla wanabishana akaingia yule binti ambaye alimwambia aje
hamsuke, Binti yule alikuwa ni mzuri sana na shemeji yake aliishawahi
kumtongoza binti akakataa. Shemeji yake alipomuona yule binti akatilia kama
barafu. Binti akaingia ndani wakakaa, sasa yule shemeji yake mke wa mdogo wake
ndio akapata njia ya kusolve tatizo fasta, akamkonyeza yule binti aliyeingia
ndani kwa sababu yule binti alikuwa anajua mi ndie nakula mzigo na alipoingia
akakuta viatu vile akajua nimo ndani. Ikabidi sasa mke wa shemeji yake
afunguke, akamwambia shemeji ni kweli humu ndani kuna mtu alikuwa anamsubiri
huyu binti. Nilikuwa nakukatalia kwamba humu hakuna mtu kwa sababu ningekubari
ungesema ni wangu tu. Kosa langu shemeji nikuruhusu hawa watu wakutane hapa,
nisamehee shemeji yangu. kwa sababu jamaa alikuwa amemzimikia yule demu
alipoteza network akasema hamna shida, lakn umefanya vibaya kumficha chumbani.
Yule mke kanifuata ndani akasema mambo yako poa, nikatoka kwa kupotezea
nikamkubatia yule binti, binti alijua hili ni gemu akusita kunikumbatia na
yeye. Jamaa kuona hivyo akamwita shemeji yake nje akamwambia Mimi huyu binti
nampenda sana, Sasa jamaa kamchukua unanisaidiaje? Mi taratibu nikatoka na yule
binti nimemkumbatia lile jamaa likabaki likiachama mdomo tukatokomea. Toka
siku.hiyo mke wa mtu marufuku.