Kwa wanaume ambao wapo kwenye ndoa na kila siku ugomvi ndani
ya nyumba hauishi nimegundua dawa ambayo itarudisha amani na upendo ndani ya
nyumba.
Ofcoz huitaji kwenda kwa waganga wala wapiga ramli cha
msingi ni kuongeza mke wa pili, nakuhakikishia mke wa kwanza ataonyesha upendo
ambao hujawai ona huku akikupa kauli nzuri nzuri ambazo hazikeri, lakini hujue
hayo ni mashindano kila mmoja atafanya hivyo ili kuhakikisha unampenda yeye tu
hivyo mitafaruku katika nyumba kutokuwepo.
Kama utabisha nenda Usukumani, Newala, Kigoma, Umasaini,
Zanzibar, Tanga nk, utagundua kuwa kote huko wenye wake wawili wanaishi maisha
ya amani zaidi kuliko mwenye mke mmoja.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni