Jumanne, 18 Oktoba 2016

UNAIJUA DAWA YA MIGOGORO YA NDOA?KWA WANAUME TU!

Kwa wanaume ambao wapo kwenye ndoa na kila siku ugomvi ndani ya nyumba hauishi nimegundua dawa ambayo itarudisha amani na upendo ndani ya nyumba.

Ofcoz huitaji kwenda kwa waganga wala wapiga ramli cha msingi ni kuongeza mke wa pili, nakuhakikishia mke wa kwanza ataonyesha upendo ambao hujawai ona huku akikupa kauli nzuri nzuri ambazo hazikeri, lakini hujue hayo ni mashindano kila mmoja atafanya hivyo ili kuhakikisha unampenda yeye tu hivyo mitafaruku katika nyumba kutokuwepo.


Kama utabisha nenda Usukumani, Newala, Kigoma, Umasaini, Zanzibar, Tanga nk, utagundua kuwa kote huko wenye wake wawili wanaishi maisha ya amani zaidi kuliko mwenye mke mmoja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni