Jumanne, 18 Oktoba 2016

WADADA ACHENI HIZO!

Hii tabia ya watoto wa kike kuvaa kanga moko na juu blauzi bila bra ndani  yaani ni balaaa mnatuumiza jamani!
Yani unakuta bidada  kajiachia njiani na kanga moko ndani hana chu**pi tu kalio tentemete!linatikisika kufuata miondoko ya bidada! siku hizi mnatembea kwa madaha na kujishebedua na unajua kabisa niko nyuma yako mkanda nje naelekea ofisini, ndo kwa makusudi unaregeza kanga halafu unaifungua hili uikaze eti, huku mjomba nimeshasoma ramani  yote kuanzia milima mpaka mabonde,masihara hayo!
Mna mpango madhubuti wa  kutupima mihemko yetu sisi wanaume marijari na wenye familia zetu tena hasa pale mnapojifanya mnaenda dukani , sokoni au saluni.
Mnatutesa jamani!unakuta mtu nimeokoka vizuri tu mnaanza majaribu! majaribu!
Hii tabia imeongezeka sana bila kujali maslahi ya watu na ndoa zao!
Mtuache sisi wengine ni waume za watu na tunaheshimu sana ndoa zetu hata kama zina migogoro!
Mtuache tuishi kwa amani hii migogoro ya ndoa ipo tumeizoea!
Mihamala imekata!

Mkome!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni