Hii tabia ya
watoto wa kike kuvaa kanga moko na juu blauzi bila bra ndani yaani ni balaaa mnatuumiza jamani!
Yani unakuta
bidada kajiachia njiani na kanga moko
ndani hana chu**pi tu kalio tentemete!linatikisika kufuata miondoko ya bidada!
siku hizi mnatembea kwa madaha na kujishebedua na unajua kabisa niko nyuma yako
mkanda nje naelekea ofisini, ndo kwa makusudi unaregeza kanga halafu unaifungua
hili uikaze eti, huku mjomba nimeshasoma ramani yote kuanzia milima mpaka mabonde,masihara
hayo!
Mna mpango
madhubuti wa kutupima mihemko yetu sisi
wanaume marijari na wenye familia zetu tena hasa pale mnapojifanya mnaenda
dukani , sokoni au saluni.
Mnatutesa
jamani!unakuta mtu nimeokoka vizuri tu mnaanza majaribu! majaribu!
Hii tabia
imeongezeka sana bila kujali maslahi ya watu na ndoa zao!
Mtuache sisi
wengine ni waume za watu na tunaheshimu sana ndoa zetu hata kama zina migogoro!
Mtuache
tuishi kwa amani hii migogoro ya ndoa ipo tumeizoea!
Mihamala
imekata!
Mkome!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni