IVI NAPIGIWA WIFE NINI?
Wadau mambo?ing well.
Wandugu, kwa hizi miezi tatu
mimi na wife tumekuwa na ugomvi sana, but kwa wiki tatu sasa tumemaliza
hizo shida zote, we are happy as a family, and we are not fighting
anymore.
Wiki mbili sasa zimepita sikua na pesa hata a single coin, nika
check kwa hand bag ya wife yangu niweze chomoa kile nitapata, sometimes kama
sina pesa mimi huangalia bag ya wife kama kuna pesa let say kama kuna elfu kumi
ziko kumi, mimi huchomoa elfu kumi 3 ya kuanzia siku, then nikikuja jioni nakuta
amefura, narudisha elfu kumi sita, two times ya ile nilichukua.
So siku
hiyo nilikua nikitaka kuchukua pesa kwa bag yake kama nitapata ziko,
surprisingly, nikaona suruali ile wababa tunavaaga ndani wanaita boxer, ziko
tano ziko packed pamoja mpya kabisa, anyway i said to myself may be amenunua
zawadi yangu pengine Jana alisaau kunipatia, so atanipatia jioni, unfortunately
vile naongea leo ni two weeks tangu siku hiyo sijapewa hizo boxer, na haziko
tena kwa bag hiyo or anywere in our room.
So i decided to ask her about the
boxers, my question caught her by surprise, and she had no immediate answer,
akaniuliza uliona boxer kwa bag yangu? Nikaondoka bila kujibu lile
swali.
Baadae wife akanipigia simu, ooh may be rafiki yangu aliweka hizo
boxers kwa bag yangu bila kuniambia na kesho yake akachukua, she was referring
to a friend huko kwa vicoba,Jioni rafiki yake akanipigia simu, i think on my
wife's instructions, akisema ya kwamba '' shemeji ni mimi niliweka hizo boxers
kwa bag ya bibi yako nilikuwa napelekea husband yangu gift i didn't buy that
lie, vile nafikiri ni kwamba wamepanga hiyo uongo.
Naomba ushauri wenu tafadhari;
(a) Could it be that my wife was taking those boxers to her lover as
gift?
(b) Is it possible that my wife's friend could put the boxers in
the bag and then remove them the next day without my wife's
knowledge?
(c) Do you think my wife engaged herself in an illicit affair
during the three months of fighting?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni