Jumatatu, 12 Februari 2018

FUMANIZI JINSI LILIVYOFANYIKA

habari zenu Leo nimeweza kufanya fumanizi nililopanga ila kabla sijafanya hayo nimepitia hatua zifuatazo A. Nimearika watu wa heshima 1.mchungaji 2.Kaka yake mke wangu ambaye yupo mtaa wa karibu 3.Shemeji yangu yaan mke wa huyo anayetembea na mke wangu 4. Kaka yake huyo mwanaume anayetembea na mke wangu 5. Mwenye hoteli amehusishwa dakika za mwisho sana ilikuwa saa tatu asubuhi leo hii nikazuga nasafiri, mke wangu amenisindikiza hadi napopata usafiri na kuhakikisha nimepanda gari, sikutaka kutumia gari la Nyumbani maana safari ni ya mkoa mbali mno, na nilipofika eneo kituo kimoja mbele nikashuka nikaelekea sehem ambako wamepanga kukutana , kwa mazungumzo yao ilikuwa wakutane saa Saba mchana , hivyo kuanzia saa nne nikaanza kuwasiliana na hao waarikwa bila kujua kwanini nimewaita mahali husika , na nimemwambia ndugu yangu mmoja awapitie kila mmoja kwa usafiri na kuwaleta sehem husika maana ningeanza kuwapigia simu ishu inge leak mapema, Baada ya watu wote kufika eneno huskia nikafanya suala moja kuanza kuwaonesha screen shot nilizovhukua za chatting za mke wangu na huyo rafiki yang, wwakashtuka sana sana , nikawapa mpango mzima ulivyo , nikaona kama kaka yake mke wangu anataka kuzuga kwenda chooni kumbe anataka awape alert nikasema nakuheshimu naomba simu zote zibaki hapa jamani msiharibu huu mpango maana ntakuwa mpuuzi kuja hapa na kutoka hivi hviv Baadae nikampigia simu mwenye hoteli akaja mpaka sehem tulipo nikamueleza tukio zima na nadhamiria nini, kwanza alisita kutoa ushirikiano lakini baadae aklakubali kwa masharti 1.Hataki ugomvi pale hotelini kwake 2.Hataki camera yeyote pale, 3. hataki silaha yeyote pale 4. Tukiwafumania twende kusovia matatizo nje ya hoteli au nje ya eneo la hoteli yake, SAA SABA NA NUSU IKAFIKA KWAKUWA NIMESHADHAMIRIA KUFANYA JAMBO SIKUWA NA HARAKA KABISA JUU YA JAMBO ILI, Nikaandamana na hawa walengwa niliowaarika wakabaki nje ya hoteli, mi nikaingia ndani nikamuambia reception anipe maelekezo chumba namba **** kilipo akagoma akasema si utaratibu wa kazi yake, ikawa shida mpaka hapo alipopopkea simu toka kwa meneja wake maana sisi tulivoenda kufumania yeye aliondoka kuendelea nashughuli zake na kuhaid kutupatia ushirikiano wa kutosha sana juu ya suala ili hapa, Nikaepewa maelezo juu ya chumba hicho nikaenda kwa kunyatia kwanza nikaanza kusikiliza maongezi yao kwa taratibu , huku receptionist akiwa amenifuata kuangalia nitafanya nini, niasikiliza maongezi yao wanavyoongea taratibu, baabae sauti ikapanda kama wanapandishiana kuna jambo hawakuelewana alafu kuna sentensi kwamba "MAMA ****GEUKA NAUKU NYUMA BWANA KIDOGO, mke wangu akajibu "SIJALETA MAFUTA NYUMA HAPANA LEO NTACHUBUKA SITAKI FANYA TUENDELEE NA MBELE" nimepigwa na butwaa, yule receptionist akashika kichwa kabisa akashangaa, NIKAINGIWA NA MACHUNGU baada ya machungu kupanda huku nasweti sana na mikono yote inasweti ikabidi aisee nigonge mlango taratibu , wakasema nani nikakausha dada yule akasema ni mimi hapa , naomba samahni kidogo. wakafungua alikuja kufungua mke wangu , nikazama ndani nikakuta wako uchi wa mnyama walikuwa wameshafanya round kadhaa, nikainama tu, mi nimwanaume ila nimetoa machozi kwa mara ya kwanza, hapo uko nje wanadhani tutauana nao wakaingia ndani, lakin sikusema chochote nikamwambia mke wangu shika nguo zako vaa twende Nyumbani, akalia akaogopa yule jamaa akawa na wasiwasi akidhani nitafanya jambo baya nikakaa kimya, Tumefika Nyumbani na wazee na wageni nikawaambia wanangu wawili wanede kutembea kwam marafiki , alafu nikamwambia mke wangu ajieleze kwa kila kitu kabla sijaweka ushahidi mezani, akaanza kueleza kwamba wako kwenye mahusiano na huyo jamaa kwa miez minne sasa na wamekuwa wakikutana hapo na wamekuwa wanasubiri nikipata safari ndo wanakutana, MAAMUZI YANGU, 1.Nimeagiza ndugu zake waje, ,NATAKA KUFANYA JAMBO AMBALO NI SO STRANGE KABISA YULE SHETANI ALOJIFANYA RAFIKI YANGU NIMEMKAUSHIA KWANZA JAPO KAWA MDOGO KAMA PILITONI, nipo nakunywa pombe kwa mara ya kwanza maishani mwangu, si vema kufukuziana kufuatiliana kwa simu lakin kama humpendi mtu si unamwambia kuliko kumcheat??? sijui nimfanye nini huyu,

Maoni 2 :

  1. 🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

    Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

    Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.co

    JibuFuta
  2. Ushuhuda

    Nilivunjika moyo kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza mpenzi wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dkt. Dawn, na kila kitu kikabadilika.
    Kwa wema, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alirudisha upendo niliodhani ulikuwa umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
    Dkt. Dawn aligeuza machozi yangu kuwa furaha kweli.

    Dkt. Dawn Anaweza Kukusaidia Kwa:

    ✅ Uchawi wa Mapenzi
    ✅ Uchawi wa Mimba
    ✅ Kurejesha Ndoa / Uhusiano
    ✅ Tiba za Mimea kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Matatizo ya Moyo, Maambukizi, na zaidi

    📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
    📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159

    Usiteseke kimya kimya. Dkt. Dawn anaweza kurudisha furaha maishani mwako!

    JibuFuta