Jumatatu, 12 Februari 2018

FUMANIZI JINSI LILIVYOFANYIKA

habari zenu Leo nimeweza kufanya fumanizi nililopanga ila kabla sijafanya hayo nimepitia hatua zifuatazo A. Nimearika watu wa heshima 1.mchungaji 2.Kaka yake mke wangu ambaye yupo mtaa wa karibu 3.Shemeji yangu yaan mke wa huyo anayetembea na mke wangu 4. Kaka yake huyo mwanaume anayetembea na mke wangu 5. Mwenye hoteli amehusishwa dakika za mwisho sana ilikuwa saa tatu asubuhi leo hii nikazuga nasafiri, mke wangu amenisindikiza hadi napopata usafiri na kuhakikisha nimepanda gari, sikutaka kutumia gari la Nyumbani maana safari ni ya mkoa mbali mno, na nilipofika eneo kituo kimoja mbele nikashuka nikaelekea sehem ambako wamepanga kukutana , kwa mazungumzo yao ilikuwa wakutane saa Saba mchana , hivyo kuanzia saa nne nikaanza kuwasiliana na hao waarikwa bila kujua kwanini nimewaita mahali husika , na nimemwambia ndugu yangu mmoja awapitie kila mmoja kwa usafiri na kuwaleta sehem husika maana ningeanza kuwapigia simu ishu inge leak mapema, Baada ya watu wote kufika eneno huskia nikafanya suala moja kuanza kuwaonesha screen shot nilizovhukua za chatting za mke wangu na huyo rafiki yang, wwakashtuka sana sana , nikawapa mpango mzima ulivyo , nikaona kama kaka yake mke wangu anataka kuzuga kwenda chooni kumbe anataka awape alert nikasema nakuheshimu naomba simu zote zibaki hapa jamani msiharibu huu mpango maana ntakuwa mpuuzi kuja hapa na kutoka hivi hviv Baadae nikampigia simu mwenye hoteli akaja mpaka sehem tulipo nikamueleza tukio zima na nadhamiria nini, kwanza alisita kutoa ushirikiano lakini baadae aklakubali kwa masharti 1.Hataki ugomvi pale hotelini kwake 2.Hataki camera yeyote pale, 3. hataki silaha yeyote pale 4. Tukiwafumania twende kusovia matatizo nje ya hoteli au nje ya eneo la hoteli yake, SAA SABA NA NUSU IKAFIKA KWAKUWA NIMESHADHAMIRIA KUFANYA JAMBO SIKUWA NA HARAKA KABISA JUU YA JAMBO ILI, Nikaandamana na hawa walengwa niliowaarika wakabaki nje ya hoteli, mi nikaingia ndani nikamuambia reception anipe maelekezo chumba namba **** kilipo akagoma akasema si utaratibu wa kazi yake, ikawa shida mpaka hapo alipopopkea simu toka kwa meneja wake maana sisi tulivoenda kufumania yeye aliondoka kuendelea nashughuli zake na kuhaid kutupatia ushirikiano wa kutosha sana juu ya suala ili hapa, Nikaepewa maelezo juu ya chumba hicho nikaenda kwa kunyatia kwanza nikaanza kusikiliza maongezi yao kwa taratibu , huku receptionist akiwa amenifuata kuangalia nitafanya nini, niasikiliza maongezi yao wanavyoongea taratibu, baabae sauti ikapanda kama wanapandishiana kuna jambo hawakuelewana alafu kuna sentensi kwamba "MAMA ****GEUKA NAUKU NYUMA BWANA KIDOGO, mke wangu akajibu "SIJALETA MAFUTA NYUMA HAPANA LEO NTACHUBUKA SITAKI FANYA TUENDELEE NA MBELE" nimepigwa na butwaa, yule receptionist akashika kichwa kabisa akashangaa, NIKAINGIWA NA MACHUNGU baada ya machungu kupanda huku nasweti sana na mikono yote inasweti ikabidi aisee nigonge mlango taratibu , wakasema nani nikakausha dada yule akasema ni mimi hapa , naomba samahni kidogo. wakafungua alikuja kufungua mke wangu , nikazama ndani nikakuta wako uchi wa mnyama walikuwa wameshafanya round kadhaa, nikainama tu, mi nimwanaume ila nimetoa machozi kwa mara ya kwanza, hapo uko nje wanadhani tutauana nao wakaingia ndani, lakin sikusema chochote nikamwambia mke wangu shika nguo zako vaa twende Nyumbani, akalia akaogopa yule jamaa akawa na wasiwasi akidhani nitafanya jambo baya nikakaa kimya, Tumefika Nyumbani na wazee na wageni nikawaambia wanangu wawili wanede kutembea kwam marafiki , alafu nikamwambia mke wangu ajieleze kwa kila kitu kabla sijaweka ushahidi mezani, akaanza kueleza kwamba wako kwenye mahusiano na huyo jamaa kwa miez minne sasa na wamekuwa wakikutana hapo na wamekuwa wanasubiri nikipata safari ndo wanakutana, MAAMUZI YANGU, 1.Nimeagiza ndugu zake waje, ,NATAKA KUFANYA JAMBO AMBALO NI SO STRANGE KABISA YULE SHETANI ALOJIFANYA RAFIKI YANGU NIMEMKAUSHIA KWANZA JAPO KAWA MDOGO KAMA PILITONI, nipo nakunywa pombe kwa mara ya kwanza maishani mwangu, si vema kufukuziana kufuatiliana kwa simu lakin kama humpendi mtu si unamwambia kuliko kumcheat??? sijui nimfanye nini huyu,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni