Jumatatu, 12 Februari 2018

MABINTI/WANAWAKE HUU UZUZU.

Utakuta binti/mwanamke umezalishwa na mume wa mtu,halafu unatamba mitaani eti unapendwa sana na Baba Naniliuu, angekupenda si angemwacha mkewe akakuoa wewe?akishajua uzuzu wako anakugeuza kiwanda cha kuzalishia watoto anakuongeza mimba ya pili mpaka ya kumi, na hakuoi katu,kibaya zaidi anakupa masharti usiolewe au usiwe na mwanaume mwingine yeyote la sivyo atasitisha huduma kwa watoto wako,miaka inaenda anakuja kuwachukua wanawe,na anakwambia atawalea wanawe ila hawezi kuwa na mke zaidi ya mmoja ukipata mume olewa ,tayari umezalishwa watoto wawili watatu subiri uolewe na mzee mane wa miaka 70 ukalee wajukuuze. Ukikosa mume ni bora uzae na mseja sio mume wa mtu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni