Jumatatu, 12 Februari 2018

WANAWAKE WENYE TABIA HII WANATUMIKA SANA NA WATAENDELEA KUTUMIKA WASIPOBADILIKA

Straight kwenye mada wakuu. Kuna aina ya wadada flani ambao akili zao ziko upside down sana. Unaweza kumdate, ukapewa burudani Mara moja au zaidi, sasa kichekesho ni pale mmepishana jambo dogo tu anakwambia basi tuachane bhana. Wanawake mnaosoma huu uzi, nawakumbusha kwamba thamani yenu hua kubwa endapo hamjatoa burudani ila ukishatoa burudani basi usipende kutishia kuachana na mwanaume kwa sababu wakati huo mwanaume hua hana cha kupoteza kabisa, hata Kama alikuelewa sana kunako 6*6. Wanaume tulio wengi wetu hua tunahesabu vichwa tu, sasa ukishajua umetumika punguza jeuri maana utatumika sana tena sana. Hakuna siku mwanaume atampenda mwanamke jeuri labda kwa limbwata. Ukimtishia mwanaume kuachana ilihali ushampa burudani ujue umempiga chura teke, tegemea kuongeza idadi ya waliokuonja na utaendelea kuonjwa. Utakua used sana We endelea kuchukulia poa kuachana na kila mwanaume. Hasara ya mwanaume kuachana nawewe nipale anapokua hajakupata(hujampa burudani), Kama kashakupata aisee mwanaume hana hasara, utaendelea kutumika sana tu. Mapovu yanaruhusiwa hapa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni