Juzi mchana kutwa
nilichepuka na kabinti kamoja mwaka wa pili Chuo fulani hivi huko pande za Moro.
Jana mida ya saa mbili
na nusu usiku akanitumia
"text" kwa ajili ya kunipongeza kwa kutoa mgegedo mtamu haijapata
kutokea kwake kwani mgegedo ulikidhi mahitaji
yakeya kimwili na kiakili!, lakini pia alinipa taarifa kuwa mapaja
yamechubuka na alishindwa kwenda “prepo”
kujisomea kwa ajili ya University Exams yaani "UE" ya J'3 na hajui itakuwaje!
Pamoja na kuifuta
text hiyo kwenye simu yangu, iliendelea kuja kila baada ya dakika 30 ama baada
ya saa moja na nusu hivi. Sasa jana saa sita usiku ilijirudia tena
na WIFE akafanikiwa kuinasa.
Mke amesepa kwao: Nadhani mpaka muda huu yupo kati ya Chalinze na
Morogoro kama basi linatembea vizuri, maana anarudi kwao Iringa!Ana hasira kiama sijui nifanyeje
wadau!naombeni ushauri!?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni