Jumanne, 29 Machi 2016

VITUKO VYA BINTI WA MWENYE NYUMBA

Wakuu hapa nilipo panga kuna mtoto wa mama mwenye nyumba yupo kidato cha tano, ni binti mrefu, mweupe na mpole, ana shingo ndefu hivi ila amejazia hatari!
Anadai anapenda sana kusoma ila somo la namba “math” zinamsumbua hivyo Mama yake amekua akiniomba niweze kumsaidia hasa katika somo la pure mathematics na nimekuwa nikifanya hivyo, sasa siku hizi anasema akisoma usiku ndo anaelewa zaidi hivyo akirudi anapumzika na kufanya shughuli ndogo ndogo saa tatu  ananiita nimfundishe, juzi kati akasema taa ya chumbani kwangu ndo inafaa kusomea sasa akija anakaa kitandani na nguo fupi sana iko juu ya magoti,huku kajipulizia perfume ya secret  muda wote ana cheka cheka tu.
Alhamisi kaja na khanga imeloa maji halafu anasema hajisikii kusoma ila anataka tupige story na kuangalia nae tamthilia  mpaka nipate usinngizi ndo ataondoka, moja kwa moja nikaona hii ni “Divisheni zero hiyooo”!
Kuna siku nilikuwa namfundisha mara akaweka mkono juu ya suruali yangu halafu akacheka mpaka akanilalia kifuani ila mi nikawa nakomaa na pindi kama sipo vile huku mapigo ya moyo yakinienda mbio na mama mwenye nyumba anamwamini sana binti yake,na mimi tunaheshimiana sana na huyu mama.
Huyu binti imekua ni muda mrefu nashindwa kumuelewa  kwani kila akifua nguo zake kamba ambayo inatizamana na dirisha langu lazima aanike “vyupi” vyake tena karibu na dirisha langu na nguo zingine anaanika upande mwingine! Matatizo na changamoto za kuishi servant corter!
Nimekaa hapa kwa takribani miaka miwili sasa cha kusangaza ni tabia hii aliaza mwezi uliopita,akifua nguo anaanika vyupi vyake kwenye kamba iliyopo jirani na dirisha langu tena anazisogeza upande wa nyumba ninayoishi usawa wa dirisha,wakati upande we nyuma ya nyumba yao kubwa kuna kamba za kutosha za kuanikia nguo,yeye anakuja kuanikia upande wangu,wakati mwingine utakuta chupi mbili kazitandaza pembezoni kabisa jirani na dirisha. Leo nimetoka kazini mapema kidogo ili niwahi kufua cha kushangaza ile nafika nakuta kamba imejaa vyupi na blazia mpaka ikabidi niahirishezoezi la kufua nguo. Nimevumilia nimeshindwa naomba ushauri wakuu nifanyeje,maana nguo nyingine anaanika kwenye kamba nyingine lakini zake za ndani na hasa bikini lazima aanike jirani na dirisha langu.
Nimechoka wakuu.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni