Wakuu hapa nilipo panga kuna mtoto wa
mama mwenye nyumba yupo kidato cha tano, ni binti mrefu, mweupe na mpole, ana
shingo ndefu hivi ila amejazia hatari!
Anadai anapenda sana kusoma ila somo la namba “math”
zinamsumbua hivyo Mama yake amekua akiniomba niweze kumsaidia hasa katika somo
la pure mathematics na nimekuwa nikifanya hivyo, sasa siku hizi anasema akisoma
usiku ndo anaelewa zaidi hivyo akirudi anapumzika na kufanya shughuli ndogo
ndogo saa tatu ananiita nimfundishe,
juzi kati akasema taa ya chumbani kwangu ndo inafaa kusomea sasa akija anakaa
kitandani na nguo fupi sana iko juu ya magoti,huku kajipulizia perfume ya
secret muda wote ana cheka cheka tu.
Alhamisi kaja na khanga imeloa maji halafu anasema hajisikii
kusoma ila anataka tupige story na kuangalia nae tamthilia mpaka nipate usinngizi ndo ataondoka, moja kwa
moja nikaona hii ni “Divisheni zero hiyooo”!
Kuna siku nilikuwa namfundisha mara akaweka mkono juu ya
suruali yangu halafu akacheka mpaka akanilalia kifuani ila mi nikawa nakomaa na
pindi kama sipo vile huku mapigo ya moyo yakinienda mbio na mama mwenye nyumba anamwamini
sana binti yake,na mimi tunaheshimiana sana na huyu mama.
Huyu binti imekua ni muda mrefu nashindwa kumuelewa kwani kila akifua nguo zake kamba ambayo
inatizamana na dirisha langu lazima aanike “vyupi” vyake tena karibu na dirisha
langu na nguo zingine anaanika upande mwingine! Matatizo na changamoto za
kuishi servant corter!
Nimekaa hapa kwa takribani miaka miwili sasa cha kusangaza
ni tabia hii aliaza mwezi uliopita,akifua nguo anaanika vyupi vyake kwenye
kamba iliyopo jirani na dirisha langu tena anazisogeza upande wa nyumba ninayoishi
usawa wa dirisha,wakati upande we nyuma ya nyumba yao kubwa kuna kamba za
kutosha za kuanikia nguo,yeye anakuja kuanikia upande wangu,wakati mwingine
utakuta chupi mbili kazitandaza pembezoni kabisa jirani na dirisha. Leo
nimetoka kazini mapema kidogo ili niwahi kufua cha kushangaza ile nafika nakuta
kamba imejaa vyupi na blazia mpaka ikabidi niahirishezoezi la kufua nguo.
Nimevumilia nimeshindwa naomba ushauri wakuu nifanyeje,maana nguo nyingine
anaanika kwenye kamba nyingine lakini zake za ndani na hasa bikini lazima
aanike jirani na dirisha langu.
Nimechoka wakuu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni