Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo
ya taifa letu.
Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka
dakika hii ni bone la haibu.
Kuna mdada nafanya nae kazi hapa ni mzuri mwenye mvuto ameolewa na ana watoto wawili nan i mwenye
kuipenda sana familia yake kwani kila wakati ni kumuongelea tu ofisini kuhusu
mumewake tu.
Cha kushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini ghafla bila
taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna
aliyejua alipokuwa kwani ilikua ni luch time. Baada ya sisi kumjibu jamaa
hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae
nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi amemuinamisha yule dada wanapeana
mautamu mchana kweupe ofisini.
Jamaa kuona vile alishikwa na butwaa kama dakika kadhaa
akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa
akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi
ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje
kushuhudia uchafu ule.
Kwa kweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima
imejionea.. Jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda
zake.
Huku nyuma ameacha
mtafaruku wa hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa
tena,Boss nae amechanganyikiwa.
Nitawajuza
kitakachojiri baada ya hapa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni