Huku kuigaiga kumenitokea puani, ila ningejua mapema aisee
ningechukua unga wa kutosha.
Imepita kama wiki mbili nipo kazini bandari nikakutana na
mshikaji kaja kupakia mzigo katokea Kongo. Zikaanza story za hapa na pale
mwisho akanipa vumbi la Kongo linaitwa “Kasongo Seven “nikiwa na dhumuni la
kulitumia kwa mchepuko.
Kufika home nikasema nijaribu kwa wife. Dah msala ndo umeanzia
hapo, yeye amenizoea bao langu moja baada ya dakika tano tu!. Siku hiyo nusu
saa ilikatika bado nipo juu ya kifua, kuja kumaliza mbona nilipewa misifa.
Sasa mtiti upo hapa, kila siku naambiwa fanya kama siku ile
na imeshakuwa tabu jamani !Yaani ni balaaa alafu unga wa Kasongo umeisha!Mkongo
sijamuona tena!.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni