Jumanne, 28 Juni 2016

UNGA WA KONGO WANITIA MATATANI

Huku kuigaiga kumenitokea puani, ila ningejua mapema aisee ningechukua unga wa kutosha.

Imepita kama wiki mbili nipo kazini bandari nikakutana na mshikaji kaja kupakia mzigo katokea Kongo. Zikaanza story za hapa na pale mwisho akanipa vumbi la Kongo linaitwa “Kasongo Seven “nikiwa na dhumuni la kulitumia kwa mchepuko.

Kufika home nikasema nijaribu kwa wife. Dah msala ndo umeanzia hapo, yeye amenizoea bao langu moja baada ya dakika tano tu!. Siku hiyo nusu saa ilikatika bado nipo juu ya kifua, kuja kumaliza mbona nilipewa misifa.

Sasa mtiti upo hapa, kila siku naambiwa fanya kama siku ile na imeshakuwa tabu jamani !Yaani ni balaaa alafu unga wa Kasongo umeisha!Mkongo sijamuona tena!.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni