Kama mjuavyo nina mke na watoto wawili mmoja miaka mitatu na
mwingine ana miezi 9 sasa, ila
changamoto inakuja wakati nataka kumpa haki yake mama yao, watoto wanasumbua
balaa yaani inabidi nijiibe fasta fasta yaani hata si-enjoy tendo.
Wadau nifanyeje ili nimpe mama watoto sege-mnege la maana
mpaka akojoe (orgasm)?
Novatus:
Ha ha mkuu blessings sana eti unajiiba daah pole sana mkuu
naelewa ugumu unaopitia maana watoto wadogo hawana usiku wala mchana, wao
anytime wanalia/wanasumbua tu mara kunyonya/kujisaidia kama vipi muwe
mnamuachia dada housegirl mnaenda gesti/lodge huko ndo mtifuane na mikelele ya
kutosha mkisharidhika ndo mnarudi hom wepesiii.
Bonn :Sebuleni noma maana hapo kila mtu anaingia, jifungieni
chumbani (na funguo), fungulia redio sauti kubwa tena wekeni CD/kanda ya reggae
au Rose Muhando mnafilimbana mkimaliza mkaoge ki sha mnatoka kama vile hakuna
kilichotokea
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni