Jumanne, 28 Juni 2016

MUDA GANI WA TIMING YA KULA TUNDA NA WIFE?WATOTO WAPO MACHO!

Said :
Kama mjuavyo nina mke na watoto wawili mmoja miaka mitatu na mwingine ana  miezi 9 sasa, ila changamoto inakuja wakati nataka kumpa haki yake mama yao, watoto wanasumbua balaa yaani inabidi nijiibe fasta fasta yaani hata si-enjoy tendo.
Wadau nifanyeje ili nimpe mama watoto sege-mnege la maana mpaka akojoe (orgasm)?

Novatus:
Ha ha mkuu blessings sana eti unajiiba daah pole sana mkuu naelewa ugumu unaopitia maana watoto wadogo hawana usiku wala mchana, wao anytime wanalia/wanasumbua tu mara kunyonya/kujisaidia kama vipi muwe mnamuachia dada housegirl mnaenda gesti/lodge huko ndo mtifuane na mikelele ya kutosha mkisharidhika ndo mnarudi hom wepesiii.



Bonn :Sebuleni noma maana hapo kila mtu anaingia, jifungieni chumbani (na funguo), fungulia redio sauti kubwa tena wekeni CD/kanda ya reggae au Rose Muhando mnafilimbana mkimaliza mkaoge ki sha mnatoka kama vile hakuna kilichotokea

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni