Sisi wanawake wote tunapenda sana wanaume wanaojiongeza, anakujali,
anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono AAAH Mwanamke matunzo baba
unaniona napendeza nanukia vizuri bado tu hutaki kugaramia ata kidogo!Nyoooo!
Mwanaume wa kweli anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia
pesa zake.
Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:
1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako
nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale,
aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mpira au mieleka.
2. Vocha natoa mimi
3. Chumba change,kitanda changu, mashuka, mito yangu,mwili
wangu n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua
kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia
pesa.
Keruuuu!
SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni