Alhamisi, 4 Februari 2016

SIJAMUELEWA WIFE JUZI!

Nimefika kazini mapema leo kama kawaida yangu,najitahidi kufanya kazi yaani hata mambo hayaendi nashika hiki mara naacha naenda uani haja haipo narudi naangalia computer yaani  hakuna kinachosegea!mawazo tele moyoyni!Sasa nikiwa katika kutafakari kuna jambo nimelikumbuka limenichanganya kidogo....
Huwa tuna kawaida ya kila weekends mimi na mke wangu kufanyiana usafi ikiwemo kunyoana nywele za chini na makwapani. Huwa tunafanya hivi weekends...
Sasa imepita kama mwezi hivi nilikuwa busy sana sikumnyoa. Sasa jana usiku nimetoka kazini akaning'ang'ania nimnyoe na hakutaka kabisa kusubiri weekend. Mzee mzima nikachukua kinyoleo nikaanza kazi huku namtania tania na kumtekenyaa hapa na pale..
Sasa kinachonichanganya ni hiki. Wakati namyoa nikabakisha vinywele flani nikamtania kuwa hivi tuviache nitamalizia weekend. Akanijibu..
                                                                     
"Mmmh malizia baby  si nitaonekana kituko mie"

Nikashtuka kidogo alafu nikapotezea  kwa kubadilisha stori nyingine, nikammalizia, tukaoga tukalaa. .Sasa wakati natafakari mambo yangu hapa job ndo nikaimbuka ile statement yake.

"Mmmh malizia baby si nitaonekana kituko mie"

Hivi sijui alimaanisha nini...ataonekana kituko na nani?

Mbaya zaidi nampigia hapatikani na nimeondoka simu yake ina chaji full maana alitumia chaja yangu usiku mzima...

Sijui niombe ruhusa naumwa nirudi nyumbani?

Au shetani tu ananiletea mawazo mabaya?

Hivi inawezekana kweli mke wangu akawa anagegedwa nini?Keruuuu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni