Nina jamaa yangu wa karibu sana tangu
tukiwa hatujaoa kimaisha bado yeye mambo kumnyokea kama mimi imekua namsaidia
sana kwa kumkopesha hela azunguishie kwenye biashara yake alafu mwisho wa mwezi
unirejeshea n aka riba kidogo.
Sasa mkewe ni mfanyabiashara, na nna
ukaribu nao wote wawili, watu wa mkopo sijui ni sijui BEY POTII walikuja saloon kwake kukamata vitendea kazi
kwa kua hakupeleka marejesho, ndipo akanipigia simu nimsaidie, 400,000/= ili
wasichukue vitu, kuwa atanirudishia, nikamtumia hapo hapo kwa M_pesa
Basi siku moja akaniita nyumbani,
nikaenda nikijua mshikaji nae yupo, na pia nikajua naenda kupewa hela,
nasikitika kufika pale bila ya kusita alinikaribisha kinywaji (anajua natumia
kunyagi kubwa na nyama choma bar ya jirani )huku akinambia nimsubiri rafiki
yangu anakuja atanipa hela.
Kwakuwa tulikua tuna lamba kinywaji
kunyagi kubwa ilipobaki robo mara shemeji aliinuka kuelekea jikoni mtandou dhambi, ila nn yy ndie alinirubuni na
kunishawishi, mm sikua na nia hiyo, nilimkuta kajifunga mtandio aliouvaa
ukadondoka na kajazia ila balaaa!yaani ni lawama tu!Nikaona kyupi tu!Akaangua
kicheko!
Akarudi uku akiomba msamaa kiuongo
uongo tukaendelea na kunywa
kinywaji mara ya pili akainua tena na
kwenda nje mtandio ukaangua tena chini akiwa mtupu bila hata ya kufuri!Nikajikuta
nimeanguka kwenye dhambi nae!Tukamalidha nikaamua kuondoka jamaa asinifume!
Tumeshatenda dhambi kama mara tano hivi,
na sasa hivi kasema nikiwa namuhitaji niwe namueleza tu tunaenda sehemu
tunamalizana ila hela yeye hela hana,
kwamba hadi nitakapochoka mwenyewe au nitakapoona hela imeisha.
Sasa wadau kwa hali hii nitapataje hela
yangu na mimi nimeitoa kwenye mzunguko wa biashara, mshikaji analijua hili deni
maana siku watu wa mikopo walipoenda kukamata vitu vya mkewe yy ndie alimshauri
anijaribu mm, sasa hivi nikimkumbusha mshikaji deni anasema nimwambie mwenye
deni mwenyewe.
Sasa hizi ndugu zangu si lawama? Au
niendelee tu kupumzika na mkewe hadi nitosheke?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni