Jumatano, 10 Februari 2016

SHEMEJI KAKOMAA HALIPI DENI!

Nina jamaa yangu wa karibu sana tangu tukiwa hatujaoa kimaisha bado yeye mambo kumnyokea kama mimi imekua namsaidia sana kwa kumkopesha hela azunguishie kwenye biashara yake alafu mwisho wa mwezi unirejeshea n aka riba kidogo.
Sasa mkewe ni mfanyabiashara, na nna ukaribu nao wote wawili, watu wa mkopo sijui ni sijui BEY POTII  walikuja saloon kwake kukamata vitendea kazi kwa kua hakupeleka marejesho, ndipo akanipigia simu nimsaidie, 400,000/= ili wasichukue vitu, kuwa atanirudishia, nikamtumia hapo hapo kwa M_pesa
Basi siku moja akaniita nyumbani, nikaenda nikijua mshikaji nae yupo, na pia nikajua naenda kupewa hela, nasikitika kufika pale bila ya kusita alinikaribisha kinywaji (anajua natumia kunyagi kubwa na nyama choma bar ya jirani )huku akinambia nimsubiri rafiki yangu anakuja atanipa hela.
Kwakuwa tulikua tuna lamba kinywaji kunyagi kubwa ilipobaki robo mara shemeji aliinuka kuelekea jikoni mtandou  dhambi, ila nn yy ndie alinirubuni na kunishawishi, mm sikua na nia hiyo, nilimkuta kajifunga mtandio aliouvaa ukadondoka na kajazia ila balaaa!yaani ni lawama tu!Nikaona kyupi tu!Akaangua kicheko!
Akarudi uku akiomba msamaa kiuongo uongo  tukaendelea na kunywa kinywaji  mara ya pili akainua tena na kwenda nje mtandio ukaangua tena chini akiwa mtupu bila hata ya kufuri!Nikajikuta nimeanguka kwenye dhambi nae!Tukamalidha nikaamua kuondoka jamaa asinifume!
Tumeshatenda dhambi kama mara tano hivi, na sasa hivi kasema nikiwa namuhitaji niwe namueleza tu tunaenda sehemu tunamalizana ila hela yeye hela  hana, kwamba hadi nitakapochoka mwenyewe au nitakapoona hela imeisha.
Sasa wadau kwa hali hii nitapataje hela yangu na mimi nimeitoa kwenye mzunguko wa biashara, mshikaji analijua hili deni maana siku watu wa mikopo walipoenda kukamata vitu vya mkewe yy ndie alimshauri anijaribu mm, sasa hivi nikimkumbusha mshikaji deni anasema nimwambie mwenye deni mwenyewe.

Sasa hizi ndugu zangu si lawama? Au niendelee tu kupumzika na mkewe hadi nitosheke?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni