Mwanamke mjinga:-
1. Anamkomoa mumewe.
2. Analala mapema kabla ya mumewe.
3. Anachelewa kuamka kabla ya mumewe.
4. Mbishi, anahisi kuonewa mda wote.
5.Anadhani kumnyima mumewe unyumba ni kumkomoa
6. Mmekaa sebuleni anahadithia tu mafanikio ya familia za
watu wakati yeye ndo kigezo cha kero.
7. Hataki kuzungumzia mshahara wake.
8. We unajenga familia ye anajenga kwao
9. Mkikaa anaanza umbea ama kuponda ndugu na majirani.
10. Haridhiki (mwanaume unatoa jasho, ila ye anakudiscourage
wakati Ye akishuka kwenye kochi anakaa Kwenye jamvi na baadaye anelekea saloon
kupiga umbea. kuhusu lara 1 kafumaniwa gesti.
11. Nyumbani housegirl hapumziki. 1
12. Anajali ajira yake tuu na hataki kufuatiliwa mambo yake.
NOTE: Akikutana na mwanaume kichwa ngumu anamrudisha kwao
ameshazalishwa watoto 3, anaenda kwa mwingine anaongezewa watoto 2,
anazinguliwa anapigwa toto lingine na wajanja wa mtaani, unakuta kazaa na kila
familia mtaani baadaye anaishi ghetto au kwao.
Mwanamke mwerevu;
1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya
kuoga yapo bafuni" (mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini, nguo zishapigwa pasi (jamani
hiyo kazi kafanya saa ngapi? unajikuta unaenda kazini upo kwenye daladala
kimoyo moyo unamwambia "I love u honey"
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi, hujui hata atazifua
saa ngapi maana huwa hujui anazifua saa ngapi?
4. Umejipumzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia
mgongoni anakufanyia masaji mgongoni, ( alijuaje unataka ufanyiwe masej?
Unaishia kusema Thanks baby).
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia na
unaweza kumpa mtaji mana ni mkweli (ni baraka kwenye familia)
6. Anapenda ndugu zako (siyo mama mkwe akija anasimamisha
pua juu kama nyati anatafuta maji)
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu, mf: umefukuzwa kazi
anakushauri (baby hayo ni maisha tu, usijali utafanikiwa kama vipi tusimamie
ule mradi wangu mpk uajiriwe).
NOTE: Hawa ndio type ya kuoa na kunyenyekea maana
wanajielewa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni