Alhamisi, 21 Januari 2016

MR ALITUPA SIMU YAKE CHINI!

Kuna siku moja Mr. katoka kuoga simu yake ni Galaxy ina password kumbe siku zote anavyoandika na kuingiza password huwa najaribisha kukariri huku nikimwangalia kijanja bila ya yeye kujua.Aliacha simu kaenda kuoga,ile anarudi tu simu ikaingia meseji nikachukua na kusoma meseji nikamwabia kuna mtu katuma ujumbe anadai kamisi mambo ya jana........akajua ni utani tu si sijui password,nikamwabia chukua phone.
Alivyoifungua na password na kusoma akatupa simu yake chini...jasho likimtoka yaani ilibidi nicheke tuu wala sikununa ,hahahaaa sasa mtu anatupa simu na kukanasio yake!

Maoni 1 :

  1. Huu ni lazima ushuhudia usomaji na kila mtu, nipo hapa kuruhusu ulimwengu wote kujua kuhusu mtu aliyeokoa uhusiano wangu na mtu huyu mkuu anaitwa Dr IZOYA. Hakika alifanya kazi nzuri kwangu kwa kumrudisha mpenzi wangu wa zamani ambaye aliniacha na kuahidi kamwe kurudi kwangu tena. Kwa hili, nimekuja kutambua kuwa kutoa maelezo ya Dk IZOYA kwa ulimwengu utafanya mengi mazuri kwa wale walio na nyumba zilizovunja au uhusiano kwa ajili yake ili kukusaidia kurekebisha uhusiano huo uliovunjika au ndoa yako. Unaweza kumfikia kupitia anwani yake ya barua pepe: drizayaomosolution@gmail.com au kumwita moja kwa moja kwenye [+12098373537]. Kuwasiliana naye na kuona jinsi tatizo lako litatatuliwa ndani ya 24hours. Pia mtaalamu katika mambo yafuatayo ...
    (1) Unataka kurudi nyuma yako.
    (2) Unataka kukuzwa katika ofisi yako.
    (3) Unataka wanaume / wanawake kukufuate.
    (4) Unataka mtoto.
    (5) Wewe ni mjasiriamali na unataka kushinda mikataba
    (6) Unataka mume wako awe wako milele
    (7) Unahitaji msaada wa kiroho.
    (8) Umeshambuliwa na unataka kupona fedha zilizopotea.
    (9) Weka talaka
    (10) Kualika kwa mila ya fedha
    (11) Chagua uchaguzi

    JibuFuta