Jumapili, 31 Januari 2016

HIZI NDIZO DALILI ZA KUCHOKWA NA MPENZI WAKO

DALILI ZA KUCHOKWA NA MPENZI WAKO:

1. Hupigiwi simu hadi umpigie,

2. Hutumiwi sms hadi umtumie.

3. Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi.

4. Ukimpigia simu anakwambia yupo bize wakati mwingine hapokei pia anaweza kuikata simu yako.

5. Ukimpigia simu usiku anakwambia anataka kulala au simu haina chaji, lakini ukikaa kidogo ukipiga tena unakuta inatumika.

MKUKI KWA NGURUWE MTAMU!KWAKO JE....?

Embu jiulize hivi mwanaume unapokua unagegeda mke wa mwenzio, unamgeuza geuza na kumbinua unavyotaka kama chapati, unamkunja na kumkunjua, jasho linakutiririka tu uku unafurahii mwenyewe uroda unaoupata unadhani mkeo atabaki salama?

Piga ua galagaza lazima ujue kuwa ipo siku kuna mjanja wako pia kama wewe ulivyo mjanja kwa mwingine, mkeo ataliwa vizuri tu tena mastaili yoteee anatoa....najua hamtaki kusikia ili ila ndo hivyo.

Majuzi juzi nikakutana na njemba moja baadae niligundua kuwa kazi yake ni kupia “gea” kwenye “gusi” njia ya Ubungo- Kariakoo  jamaa linajisifia hatari ni dume tu la makamo umri unatosha kupewa shikamoo, simu yake inaita wee anapokea anajibu nakuja mama anakata, sekunde tatu nyingi simu inaita tena anajibu nimekaribia yani zilikuwa ni simu mfululizo mwisho akaona aongee "dah huu mchepuko unasumbua sana nishauambia nakuja hauelewi, huyu mwanamke ana ny*ge hadi zinamwagikia bla bla" 

Nikamwambia nenda kampe haki yake jamaa, ndo kuanza story huyu mwanamke nilimuonjesha mara moja yani kaniganda sikutegemea, anataka kila siku nimbandue sijawahi kukutana na mwanamke mwenye ny*ge kama huyu, kisa mashine yangu kubwa mme wake anayo ndogo basi akiishika hadi huwa anatetemeka (ha ha ha wanawake wabaya ndo nini sasa kutangaza ukubwa wa machine ya mmeo kwa mchepuko).

Bado nasimuliwa huu mchepuko unaniambia nije haraka  atanipa hela ambazo ningezipata (yaani hesabu ya tajiri) huwa nampa dozi vilivo hadi ananipa hela, yani hapo najua kishaloana (baba aliongea yule hadi nikahisi aibu sasa).. .

Nikamuuliza ukisikia nawe kuna jamaa anamshughulikia mkeo hivo utajisikiaje ha ha ha eti "mama angu ntaua mtu" nikajisemea tu Kimoyo moyo nyokooo wewe, we mbona unakula wa mtu nani kakuua..... akatokea mwanamama na dera lake masikini mali ya mwanaume inaenda kutafunwa.

Kavuruge mke wa mwenzio na wako avurugwe!!!!!!

UTAVUMILIA MUMEO AWE OFISI MOJA NA HAWALA WA ZAMANI?

Kabla ya uhusiano wako wa ndoa Alex,alikua na Jackline kwenye uhusiano wa mapenzi.Jaclin anafanya kazi pamoja na Alex benki kwenye tawi moja.Wewe ulipofika  Dar kutoka mkoani mlikutana na Alex benki na akakutangazia ndoa ukamkubalia kuolewa naye,baada ya miaka miwili kwenye ndoa wapambe wakakunyetishia kuwa kabla yako Jackline ndo alikua bebi wa Alex wa kupika na kupakua kasolo tu Alex alikua hawala tu kwa Jacklini kwa sababu Jacklin mumewake alikua nje masomoni tu sasa wakati mnakaribia kuoana mumewe alika amesharejea nchini kutoka nje .Baada ya kufanya uchunguzi ukagundua kuwa ni kweli,kumbuka hawakuachana kwa ugomvi bali Alex nae alitamani kuwa na familia yake baada ya mume wa Jaclini kurejea nchini.

UNAJUA MANENO YA UWONGO YA WANAWAKE?

Hapa chini nitaeleza baadhi ya vijimambo vya wanawake vinavyodhibitisha udhaifu wao wa kutokuwa wakweli:

(1) Tangu kukua kwangu nimewahi kutembea na mwanaume mmoja tu maishani mwangu,-Hahaaaaaa!labda tu niwashauri wanaume waachane na hili jambo la kutaka kujua mwanamke anayemtongoza au aliye na uhusiano naye aliwahi kuwa na mahusiano na wanaume wangapi, atadanganywa tu.


(2) Yaani mpenzi wangu nime enjoy sana siku ya leo, kwa mara ya kwanza nimefika kileleni, wewe ni hodari kweli – Mh, labda kama kweli umepiga game la kufa mtu, lakini kama ulipiga famba, basi hapo jua amekutukana sana kimoyomoyo huku akikusanifu kwa maneno ya ulaghai ili ujione kidume lakini wapi atakudharau sana

(3)Mimi sijawahi kuwa na mahusianao na wanaume wawili kwa wakati mmoja katika maisha yangu na sijawahi kukusaliti hata mara moja – Kwa wanawake mara nyingi kama yuko kwenye uhusiano ambao haujaota mizizi, lazima kutakuwa na mwanaume mwingine amewekwa kiporo ili mambo yasipokuwa mazuri ana pa kukimbilia, hapa ndipo ulipoibuka ule msemo wa kiingereza usemao “friend with benefit”.

(4) Nitakuwa tayari baada ya dakika sifuri tu- Ha ha ha ha haaaaa thubutu, hapo jiweke tayari kusubiri kwa muda wa saa nzima kama mna mtoko, wanawake hawajui kutunza muda hilo linajulikana na hata wao wenyewe wanajua kuhusu jambo hilo. Waje hapa wabishe……..

(6) Kwa kawaida huwa sitoi namba yangu ya simu hovyo kwa wanaume, lakini sijui kwa nini nimekuamini na kukupa namba yangu kirahisi hivi – Kama unataka kujua ukweli kwamba aliwahi kuwapa namba yake ya simu wanaume wangapi, basi kwa taarifa yako wewe utakuwa ni mwanaume wa 77 kukupa namba yake ya simu. Kwa hiyo usijione kama wewe ni kidume mwenye bahati sanaaa, thubutuuu!


(7)Ndiyo kwanza nimetimiza miaka 24 – Hapa ongeza mingine mitano kupata umri sahihi

(8)Wewe ni mwanaume wenye moyo wa upendo sijapata kuona –Hapa jiulize mara mbili, maana kwa mwanamke kukuona una upendo wakati mwingine ni vile anavyokupelekesha na wewe unajiendea tu kama zezeta

(9)Sihitaji kuwa na mahusiano na mwanaume kwa sasa- kauli hii hutolewa na wanawake walioumizwa kimapenzi, hivyo wanaogopa kuumizwa tena.

SHEMEJI SHEMEJI!

Juzi nilitoka job mapema  nikaamua nipitie bar na kupata "monde" kidogo, nilipofika home niliamua kujibanza nyuma ya ukuta kidogo ili nikojoe nashangaa kumkuta shemeji mdogo wa wife kachuchumaa chini nae anakojoa,yaani ilikua ni changamoto!

Nilikaza roho huku nikiendelea kumkodolea macho na hata hivyo kilichonivutia zaidi ni wowowo  hatari la huyu binti, maama alikua amelikusanya gauni lote na kulishikia juu kiunoni hivyo kuacha makalio yote nje, nilichanganyikiwa kwa kweli, mapigo ya moyo yalienda kasi, nilijawa na mate mdomoni, nilipata mfadhaiko mkubwa, nikabaki nimeikodolea macho sehemu hiyo ikiongozwa na mtari wa nyuma, ambapo aligeuka na kunikuta nimeshindwa kuondoka.

Hadi sasa nimeshindwa kumtoa binti huyu moyoni, Ingawa kila nikipishana nae koridoni anaangalia chini kwa haibu huku akicheka cheka najaribu kukazaa roho nahisi inakataa kwa kadri iwezekanavyo.Nomba ushauri wadau,
 nijilipue?

WANAWAKE MNALIJUA HILI?

Kwa sababu mbalimbali ,mwanamume anaweza kuhisi kwamba,mkewe hampi heshima yake kutokana na matatizo yake mbalimbali.Kwa mfano mume ameanguka kimapato,mwanamke anapoonesha kwamba hajaridhishwa na jambo hilo kiasi kwamba,inaonekana kama anamlaumu mumewe,uwezekano wa mume huyo kutoka ni mkubwa.
  Anatoka kwa sababu anataka kwenda kuthibitisha huko nje kwamba,bado anamudu ,ana nguvu na uwezo,tofauti na mkewe anavyofikiria.Mara nyingi huenda kuchukua wasichana wadogo sana ukilinganisha na mkewe.Kuchukua huku wasichana wadogo sana ni nia yake(bila mwenyewe kujua) kujithibitishia kwamba,anayo thamani, kwani anapendwa na wasichana wadogo.Hivyo ndivyo inavyokua.Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba ,mkewe anamdharau kwasababu ati hajamudu kufanya mambo ya maendeleo kama wenzake ofisini kwake.Alinambia kwamba,hajali jinsi mkewe anavyomdharau kwa sababu kuna wasichana wabichi na warembo ambao wanamheshimu na kumpenda kikweli!

Jumatatu, 25 Januari 2016

KAMA UMEANZA KUCHEPUKA ACHA......UNAJUA HILI?

Tafiti nyingi zinaonesha kwamba,ndoa sita katika kila kumi huvunjwa na wanaume au wanawake baada ya kuchepuka.Lakini inaonekana pia kwamba wale wanaotoka nje ya ndoa zao,wengie ndiyo ambao huacha au kuacha.Ni karibu ndoa nane katika kila ndoa kumi,ambazo hufikia ukomo kutokana na kuchepuka.
Wanawake ambao wako chini ya umri wa miaka 30 ,ndio wanaoongoza kuchepuka kwa kiwango cha karibu sawa na wanaume.Umri huo ndiyo hatari sana kwa wanawake kutoka nje.Inaonesha kwamba,bado dini haigopwi sana linapokuja suala la kutoka nje.Waumini na viongozi wengi wa dini mbalimbali wanadaiwa kutoka nje kwa kiwangi kikubwa kuliko inavyodhaniwa.
Karibu wanawake wawili katika kumi na wanaume watatu katika kumi,huwa wametoka nje ya ndoa zao katika maisha yao hapa duniani.
Uhusiano mwingi wa kiuzinzi hudumu kwa  miaka mitatu tu na wapenzi huachana au kuachanishwa kwa kufumaniwa.Lakini mwingine hudumu maisha,ingwa na madhara yake nayo hudumu maisha.
Ni mwanaume mmoja kati ya kila kumi,ambye huwaacha mke wake na kuoa nyumba ndogo.Wengi hubaki na wake zao huku wakiwa na nyumba ndogo,au kuwaacha wake zao lakini hawaoi nyumba ndogo.
Hata hivyo ,wanane kati ya kila kumi miongoni mwa wale wanaowaacha wake zao na kuoa "nyumba ndogo" nao huja kuachana na nyumba ndogo hizo.Kwa hiyo,ni wawili tu kati ya kumi ambao hudumu na "nyumba ndogo" walizoziona baada ya kuachana na wake zao kwa sababu ya "nyumba ndogo".
Halafu wanane kati ya kumi ya kila aliyevunja au kuvuruga uhusiano wake na mume au mkewe kwasababu ya hawara,huja kujuta baadae.Ni waili tu kati ya kumi,ambao uvurgaji wa uhusiano wao kwa sababu ya hawara,hawaji kujuta.Hawa ni wale ambao  ndoa zao zilikuwa tayari na mashaka makubwa.
Huchukua mwaka mmoja mpaka mitau kwa ndoa ambayo "ilitingishwa" na fumanizi,wanandoa kuanza kuelewana tena kaka mawali.Hapo uhusiano huwa imara kuliko awali,au huingia mashaka ya "sirisiri".

TUFANYEJE BAADA YA FUMANIZI?

Kama ni mara ya kwanza unamfumania mpenzi wako au hata kama ni mara ya pili .lakini hukuwa unategemea kwamba,jambo hilo lingetokea tena,kwa kawaida,huwa kuna maumivu makali sana ya kihisia.Uamuzi unaoweza kuuchukuawakati huo unaweza usiwe wa busarasana.Kwa hiyo,baada ya fumanizi,inabidi utulie kwanza.Ni kweli kwamba utakuwa na mshtuko mkubwa ambao utakuumiza kihisia,ambapo,unaweza kukufanya uchukue uamuzi usio muafaka wakati mwingine katika hali ya kuchanganyikiwa.
Utulivu ni muhimu sana katika wakati huu wa mshtuko.Njia nzuri ya kupata utulivu ni kujitahidi kujiambia kwamba,huyo mpenzi wako mlikutana mkiwa watu wazima na kila mmoja akiwa na tabia na mienendo yake.Lakini ni kujitahidi kuwa mkweli kwa kutambua kwamba,binadamu ni dhaifu.Uamuzi wa ufanye nini unatakiwa utolewe baada ya kipindi cha mshtuko kupita.Hapa lazima ujiulize kama ni kweli mtaweza kuishi vizuri baada ya tukio hilo,hasa kwa kuzingatia hali ya uhusiano wenu kwa ujumla hata kabla ya kufumaniwa.
Mwanamke mmoja ambaye alimfumania mumewe akiwa anafanya mapenzi na binti aliyekuwa akiuza duka lao la maua,aliwahi kuniambia kwamba,kuna wakati inakuwa vigumu."Mimi nilikua naamua kwamba .ninaondoka ,siweiz,lakini baadaye najiambia ngoja nikae tu.Baadaye tena nabadili mawazo,nasema naondoka"!
Ni kweli hii huweza tokea ila unachotakiwa kufanya ni usikubali uongozwe na hisia, bali uongozwe na nafsi.Isikilize nafsi yako zaidi kuliko hisia.
Ni hatari sana kwa kipindi hiki kama kuwasikiliza ndugu au marafiki,wazazi au watu wengine ambao tunaamini kwamba ,wanaweza kutusaidia kimawazo.

Inabidi mfumaniaji akae chini na mfumaniwaji na kuangalia kama anadhani kuna haja ya kuendelea kuishi pamoja baada ya tukio hilo na amuulize anavyohisi yeye (mfumaniwaji)  ua aangalie namna mfumaniwaji alivyolichukulia hilo tukio.
Ila kuuliza kwa upendo baada ya tukio husaidia sana mtu kujua ukweli.
Kuna wafumaniwaji ambao huwa wanasema  wanachofikiria.Kama wanaona hawana haja tena na wapenzi wao husema ukweli na kama wanaamini bado wanawahitaji,husema hivyo na nia na dhati ya maneno yao huweza kupimika kirahisi.  

Jumapili, 24 Januari 2016

KINACHOTOKEA BAADA YA FUMANIZI

Ukweli hakuna maneno marahisi ambayo yanaweza kuelezea namna mtu akimfumania mpenzi wake anavyojisikia .Kuna ambao wameripotiwa wakisema kwamba,kufumania ndilo jambo lililokuwa gumu kwenye maisha yao kuliko jambo lingine lolote.
Baadhi ya watu wanasema kwamba wakati wa kufiumania wengine walipata ukichaa kwa muda fulani,wengine  walihisi kufa  au kutamani kufa.Kwa vyovyote iwavyo,bado ni wazi kwamba ,tukio la kufumania lina maumivu mengi kwasababu kila mmoja wetu ana namna alivyofundishwa kuhusu kupenda,ana namna anavyoweza kuhimili usaliti wa kimapenzi na ana kiwango chake cha kujiamini ambacho ni tofauti na cha mwenzake.
Baada ya kufumania watu wengi hupoteza kumbukumbu,hajui kwa muda fulani ni wapi wanakwenda au nini wanachofanya.Hupata hisia ya kuvunjiwa heshima na kujiona wamewekwa uchi hadharani.Wanahisi pia kusalitiwa,kutumiwa ,kukataliwa au kuonekana kama gurudumu la akiba au "rubber stamp" tu!Hujina wamedharaulika na wapenzi wao kupita ukomo wa dharau.Baada ya kufumania,wengi hunyang'anywa hata uwezo wao wa kuwaamini wapenzi wengine watakaofuata.
Mawazo ya mtu aliyefumania hutangatanga na kunakuwa na ugumu wa kudhibiti vitendo vyao kutokana na hasira za ziada zinazowavaa wakati huo.Mawazo yao hujazwa kwa picha za wapenzi wap wakiwa na huyo "mchepuko" waliomfuma naye,akiwa anafanya nae mapenzi.Hii huzidisha hasira dhidi ya mpenzi na pengine dhidi yake mwenyewe.
Wapo waliofumania wamepoteza maisha kutokana na mshtuko baada ya kujua kuwa watu waliowaamini sana katika maisha yao walikua wakitoka nje,tena kwa njia ya kufadhehesha (aina ya mapenzi aliyokuwa akifanya).Kuna wapenzi au wanandoa wengi,ambao baada ya kufumania wameanza kuwa nyondenyonde wa afya hadi wakalala kitandani moja kwa moja pasipo kuamka tena.Kiukweli ni kwamba vifo vyao vimetokana na miili yao kuathiriwa vibaya na hisia zao baada ya tukio la kufumania.
Tunaposhtuka sana miili yetu huafanya mabadiliko mengi.Kwa mfano mshtuko au woga na pengine furaha huweza kusababisha mtu akafa kwasababu ,mwili unaweza kuzalisha kemikali nyingi ambazo zisizotakiwa mwilini ambazo huwa sumu kwa mwili.Wakati mwingine mabadiliko ya msukumo wa
damu na upelekaji wa hewa safi ubongoni hufanyika kwa nguvu sana au kusimama kabisa,jambo ambalo huweza kumdhuru mtu.(Inaendelea toleo lijalo...) .

Alhamisi, 21 Januari 2016

MR ALITUPA SIMU YAKE CHINI!

Kuna siku moja Mr. katoka kuoga simu yake ni Galaxy ina password kumbe siku zote anavyoandika na kuingiza password huwa najaribisha kukariri huku nikimwangalia kijanja bila ya yeye kujua.Aliacha simu kaenda kuoga,ile anarudi tu simu ikaingia meseji nikachukua na kusoma meseji nikamwabia kuna mtu katuma ujumbe anadai kamisi mambo ya jana........akajua ni utani tu si sijui password,nikamwabia chukua phone.
Alivyoifungua na password na kusoma akatupa simu yake chini...jasho likimtoka yaani ilibidi nicheke tuu wala sikununa ,hahahaaa sasa mtu anatupa simu na kukanasio yake!

FIXSI HIZI ZA WANAUME BALAA!

Kunasiku moja ilitokea kali ya mwaka,Chifu alisafiri kueleka Younde,Cameroun alikua na simu tatu na line tatu......sasa mi nikajua kaondoka nazo zote nikawa nimebaki tuu home sasa kupekuapekua na usafi kwenye kabati la nguo nikakuta simu mbili zimesahaulika kaondoka kaziacha.
Nikazichukua nikaziwasha meseji zikaanza kutiririka,nikaanza kusoma meseji weee!Zilikua za mademu wake ila hajasevu majina nikaanza kumsevu mmoja nikamsavu kama honey,wa pili nikamsavu kama darling na watatu nikamsevu kama baby.Zilikua ni meseji za wadada watatu tofauti.Alikaa wiki tatu akarudi wala sikumwabia neno lolote na simu zake alizikuta mezani tena na sio kbatini...alivyorudi hata hakuuliza kitu alikaa kimya tu.Nadhani baada ya kuanza kuzisoma meseji kwa muda wake mwenyewe akaanza kujichekesha tuu kama vile bar nedi kapata bwana mpya,mara ooh baby nikununulie gari  mpya hii unayotumia imeshachoka nikaka kimya tu.Mara oooh baby chukua hela hii watumie wazazi kule kijijini!

Hahaaa men....your full of suprises kwakweli!.

UONGO WA WANAUME KAA MACHO!

Acha kabisaa wanaume ni kichomi weeh!Kuna hili boya nimezaa nalo yaani najuta ni bom! bom! kabisa na namshukuru mungu bora nimeachana nalo!
Si ni siku moja ghafla ndo nikagundua kumbe lilisha zaa kabla nami na mtoto alikuniambia!

Siku hiyo ilikua ni farthers day kampeleka mtoto Ndege Beach tukiwa wote then baadae akamrudisha kwa mamake,mimi sikufahamu aliona vipi.Yule mtoto nikamwambia msalimie mama mwambie unasalamiwa na anti,kweli mtoto ariporudi home akafikisha salamu.Bidada akaanza nafikiri sijui ni ugomvi ulianza mara meseji hiyooo!nakumbuka niliiona meseji "huyo dada ni muuza mashuka nimemzoea tu..........."sasa akili ikawaza fasta hiyo meseji unasema muuza mashuka unamaanisha mimi au?Huyo ni mzazi mwenzako mnagombana?
Kwanza akabisha.Akakataa baadae akakukbali eti baby mi sitaki maneno nae nimemwambia tuu hivyo kuepusha maneno tu!
  Na ilo jina la mzazi mwezake nilijuasiku nikiwa nae Mwanza kula bata ,kwenye simu kwa mbali niliona anachati na mdogo wake anamwambia "Bro!afuu Jane analalamika una mkwepa sana.......
Nikamuuliza Jane ni nani hasa?
Akajibu ni hause gelo wa home nikamuuliza sasa analalamika vipi huyo hausi gelo wa nyumbani na kwa kusema una muavoid?
Eti akijua niko Zenji ataomba nimpeleke zawadi nami sitaki .
Bwana baada kama mwezi nikafanya tena upeplelezi nikagundua mzazi mwenzie ndo Jane...............
Nilicheka nikaklumbuka niliitwa muuza mashuka huyui kaitwa house gelo.
Hahahaaaa men!men!men!They will never size to sap-rise me.

Jumatano, 20 Januari 2016

KWA NINI WANAUME HUTOKA NJE?

Leo naomba tuchambue wote kwa pamoja kuhusu ni sababu gani zinazowafanya wanaume kutoka nje ya ndoa yaani "kuchepuka".Hizi sabau ni tofauti na zile zinazosababisha wanawake kutoka nje ya uhusiano ambazo tutaweza jadili siku zijazo:

Kuridhisha mwili kwanza:Kimaumbile inaelezwa kwamba mwanamume hahusishi tendo la ndoa na kupenda mtu.Kwa mwanaume  kupenda ni jambo jingine na la tendo la ndoa ni jamba lingine.Hii ni tofauti na wanawake ambao wanaonekana kuunganisha tendo la ndoa na kupenda,

Katika uhusiano wa kawaida wanawake huumia zaidi linapokuja suala la kusalitiana kwa sababu wao wanaposhiriki tendo la ndoa na mwanaume huwa wamempenda mwanaume huyo kutoka moyoni kabisa.
Lakini mwanaume anaweza kudai kwamba amempenda mwanamke na hata kufikia kumwoa au kumpa kila kitu ,wakati ukweli ni kwamba ,amevutiwa na mwili wake,anataka tu kufaidi mwili wake .Kwa mwanaume ,hivyo ni vitu viwili tofauti kupenda ni kitu kimoja na tendo la ndoa ni kitu kingine.

Ndio maana wanawake wanaojiuza mitaani usiku hupata soko kutoka kwa wanaume .Siyo kwamba wanaume wanaowachukua wanawake wale wamewapenda,hapana.Huwachukua ili kuridhisha tamaa zao za mwili.Ndiyo maana wakishamalizana,hawana kuuliza "kesho tutakutana wapi", kwasababu wamewapenda,HAPANA!Yule ameuza mwili wake na huyu amenunua mwili,hakuna kupendana.

Kuna wakati inatokea watu wanapokutana kwenye semina au kongamano na wakashawishika kugegedana na uhusiano huo ukaishia hapohapo na kusahaulika kila kitu hapohapo,hakuna kupendana kuna kutamani na kuonja,Waingereza wanaita "One Night Stand".

Kupenda kubadili mboga:
Hili linategemea na malezi na watu wanaomzunguka huyo mwanaume kwani wapo wanaume wanaoweza vumilia kuwa na uhusiano na mwanamke mmoja na wapo wanaume wanaoamini kuwa wao ni lazima wabadilishe wanawake tofauti tofauti kila  baada ya muda.Na wanafanya hivyo kwa sababu wanawake wapo na wanapatikana kiurahisi!
Ndiyo maana inadaiwa kwamba,wanaume wasiotoka nje ni wale ambao wana shughuli nyingi sana,wagonjwa au ambao hawana nafasi ya kuweza kutoka,vinginevyo ,kila mwanaume yuko kwenuye hatari ya kutoka na mwanamke hapaswi kumsemea mumwewe au mpenzi wake,kwamba hawezi kuchepuka.

Udadisi juu ya umbile la mwanamke:
Wanaume wana tabia ya kujiuliza maswali kuhusu aina fulani ya wanawake.Siyo tu suala la tamaa,bali ni suala la kutaka kujua zaidi kuhusu umbile fulani,kwa mfano makalio makubwa inakuaje au umbile la urefu sana kama twiga inakuaje kwney ukle "mtanange" wa sita kwa sita.Kwa kiasi fulani nao wanawake wana tatizo hilo lakini wanaume ni zaidi sana.Mwanaume kinachoenda mawazoni mwao ni kutaka kujua inavyokuwa kushiriki na mwanamke wa aina fulani,siyo kupenda ni kutaka kukata kiu ya udadisi wa kimwili.

Kupunguza hisa za kutojiamini na msongo wa mawazo:Mtu ambaye hajiamini anaweza kujaribu kujificha au kutafuta kujipandisha kupitia pombe,fedha magari ya kifahari na vitu vingine vya kifahari.Lakini pia anaweza kujihusisha na ngono za hovyo katika kujaribu katafuta nafuu yaani "relief".Baadhi ya wanaume kwa kutoka nje wanadhani wanahisi ahueni na kupanda kithamani.Kwa kadiri wanavyotoka nje ndivyo wanavyohisi penog na ndivyo wanavyozidi kutoka.Na hapa wanakua wanazidi kutengeneza tatizo la kisaikolojia katika nafsi zao.

Kutoridhishwa ndani:Mwanaume huchukulia kufanya mapenzi kama kitu kimoja na kupenda kama kitu kingine.Anapojikuta haridhishwi na mkewe huamua kwenda kutafuta ridhiko nje,anaweza kuwa bado anampenda mkewe,lakini mwili wake haujaridhishwa na kwa sababu kupenda kwa upande wake hakuna maana sawa na tendo la ndoa ,hutafuta mwili mwingine.

Kutojua kusudi la maisha:Hali hii huwakabili wanaume ambao wana fedha au hata umaarufu.Kwasababu walitafuta fedha au umaarufu bila ya kujua ni kwa sababu gani hasa na nini kinatakiwa kifuate baada ya kupata fedha au umaarufu ,huchanganyikiwa na kama akiwakatika mazingira ya kukutana na warembo basi kubadilisha wanawake inakua sehemu ya "life style" kwasababu hakujua itakuwa ivyo,na hakujiandaa kwa namna ya kuzikabili changamoto mbalimbali zinazosababishwa na iyo hadhi au "status" aliyopata muda huo.

NDOA YAVUNJIKA MKE AKIWA SEMINA!

Ilikua hivi:
Roswita ni mfanyakazi wa Shirika moja kubwa la simu nchini akiwa ameenda kwenye  semina mkoa wa Arusha kwa wiki moja ilimkuta bahati mbaya.Amekua na mazoea mazuri ya kuchat na mumewe kabla ya kulala.Kwa bahati mbaya kama vile kwake ilikua ajali alijikuta akimpa mumewe information zaidi ya mategemeo yake!

"Honey nipo kwa hotel room,soon mi nalala my hubby"

"Nitumie picha basi love japo hata nikuote tu my wife,si unajua huku Mbeya baridi sana!"

 Roswita kama kawaida yake alivua nguo na kuaza kupiga picha huku akiwa amebaki na nguo za ndani yaani bra na bikini tu.

"Baby umependeza!Ila nani kakupiga hizo picha love?"

Kabla hajajibu likafuata swali la pili.

"Who is with you in the hotel room?"

"Jimmy!What are you talking about?niliseti camera kwenye timer,honie"

"Stop lying Roswita,najua haupo alone in the hotel room!"

"Yes.I am!I swear baby unajua siwezi cheat!"

"Haya,kwanini kuna buti za kiume za Timberland katika picha yako ya pili?"

"Heeeemmm! tell me!?"

"Naita mshenga,besti man na matron ukirudi fikia kwa wazazi wako nitakukuta,asante"

Simu ilikata.........


JE WAJUA KUWA WANAUME WANAPENDA KUOGESHWA?

Utafiti usio rasmi uliofanywa katika saloon mbalimbali za kiume katika Wilaya ya Kinondoni mjini Dares Salaam inaonesha kuwa wanaume wengi hufurahia tendo la kuogeshwa na wanawake zao zaidi bila ya wanawake kuwa na taarifa hiyo kuwa wanaume kupenda kuogeshwa kama watoto wadogo.Inaonesha kuwa idadi kubwa ya wanaume wateja katika saloon mbalimbali baada ya kunyolewa nywele hufurahia sana kitendo cha kuoshwa kichwa na kufutwa futwa na taulo na mdada zaidi wa saloon kuliko mwanaume mpaka hujikuta wakianza kupata kausingizi katamu hapo saloon.Wengi wao uchelewa kuinuka kwenye kiti huku wakiendelea kuzubaazubaa baada ya kupakakwa mafuta kichwani na usoni!

Jumanne, 19 Januari 2016

Kijembe Cha Leo

Women fall in love by what they hear.Men fall in love by what they see.That's why women wear make up and men lie.

Ijumaa, 15 Januari 2016

HII NI CHANGAMOTO!NILIYUMBA!

Mimi na baby wangu tulikua tunapendana sana.Tulikuwa tupo kwenye uhusiano yapata kama miaka mitano hivi,hivyo tukaamua tuoane.Ila kulikua na jambo moja dogo tu lililokuwa linanichanganya sana kichwani,yaani mdogo wa kike wa mchumba wangu aliyekua anaitwa Digna ambae kiukweli alikua mzuri sana kuliko wife.
Huyo binti(shemeji yangu) alikua na umri wa miaka 23 hivi,na muda wote alipendelea sana kuvaa sketi fupi fupi,fulana nyepesi au brauzi nyepesi na matiti yake kifua yalikaa mithili ya embe mbili dodo zilizoiva mtini zinangoja kuanguka tu chini na mbaya zaidi alikua havai sidiria!Alikua na kiuno chembamba kilichobeba hips na makalio mfano wa kubinuka  hivi.
Tatizo ni kwamba mara nyingi binti alipokuwa akiniona alikuwa na tabia ya kujipitisha na kuinama mbele yangu ili kunionesha mtaji wake.Ilikua balaa siku nyingine akiwa amevaa sketi inaonesha ramani unaona mpka ndani rangi ya bikini!Kusema kweli nilikwa navutiwa sana na uzuri wake,na pia nilijua alikua ananifanyia makusudi maana alikuwa hafanyi hivyo kukiwa na watu wengi,bila shaka alikua ananitaka.
Sikumoja binti huyo alinipigia simu niende nyumbani kwake nikaangalie kadi za mialiko ya sendoff ya dada yake(my wife) alizochapisha.Nilipofika (wakati naingia ndani) akaninong'oneza kuwa ananitamani muda mrefu sema alishindwa kunianza na kamwe hawezi jizuia tena!Akaendelea kunieleza kuwa anahitaji tufanye fasta kwani nyumbani hamna mtu hata mmoja na ana hamu sana!Nilipatwa na bumbuwazi na hasa kutokana na hizo nguo za  nusu uchi alizokuwa amevaa.Kabla sijasema lolote akawahi na kuniambia "mimi natangulia juu(nyumba yao ni ghorofa) kwenye chumba changu,kama unahitaji nikupe kitu kitamu njoo fasta nimeshalowa kabla mashetani yangu hayajapoa!"
Akageuka na kukimbilioa chumbani.Haraka nikageuka na kuelekea kwenye mlango mkubwa wa kutoka nje kuelekea kwenye gari yangu.
Daah!.......Kwa  mshangao mkubwa nikaona pale nje familia yote imekusanyika ghafla sijui walikua wametokea wapi,waliponiona nikitoka wakapiga makofi na vigelegele kwa furaha,huku wengine wakitokwa na machozi ya furaha.
Baba mkwe akanambia "Tumefurahi sana kwamba umeshinda mtego mdogo wa familia tuliokua tumeuandaa kuhusu uaminifu ulioandaliwa na familia!
Ila kiukweli unajua ni nini hasa kilikuwa kinafuata...?
Ukweli mda ule natoka kule ndani nilikua naenda kufuata condom katika gari yangu!

USHAURI WA BURE KWA WANAUME WOTE WABAILI!

Ningependa leo kuwapa ushauri wa bure wanaume wote wabaili katika mambo ya msingi haya yafuatayo:

Ujue tofauti ya kuchunwa na kuhudumia,unapokuwa na mpenzi ujue ni jukumu lako kumpendezesha anapopendeza watu watajua wewe ndio kidume uliemwezesha!
ANGALIZO:hatusomeshi wachumba!tunasomesha mke tu!

Sio mpaka akuombe ndo umpe jaribu kumfahamu hali ya maisha na kipato chake ujue kukisia cha kumpa kwa matumizi yake.

Acha kutumia pesa nyingi sehemu ya starehe.Kuna watu wanaenda mpaka hotel ya five star kustarehe akitumia zaidi ya laki tano.Cha ajabu baada ya kutoka hotel anamwachia mpenzi wake elfu ishirini ya bajaji tu!

Tenga at 10% ya mshahara mpe baby aangalie kama kunakitu cha kurekebisha.

Tusiwe wataalamu sana wa kutafuta G spot na kwenda chumvini sana wakati ukiombwa ata sh 50,000.00 tu,unanuna sana na kupiga chenga hata simu hupokei!Mapenzi ni pamoja na kupunguziana makali ya maisha na kumbuka ukishindwa kutatua tatizo la kifedha la mwanamke,kamwe hutoweza kutatua tatizo kwenye moyo wake!Jomba starehe gharama.

AKA KATABIA KANAKERA MNOOO!

Nimeingia Club nakuona kwa mbali,Demu mzuri umetupia vitu hatari unawakawaka na kunyemka vizuri kwenye dancing floor,Watu wote wanakutumbulia macho huku ukiendelea ku dance kwa haiba ya aina yake.
Naendelea kuangaza macho kulia na kushoto nakaza moyo nakupotezea na kuamua kupanda ngazi kuelekea kaunta ya juu.Baadae tunakutana tena umekaa kaunta ya chini unakunywa Ndovu Lager,Tunasalimiana naomba kukaa karibu nawe unanikubalia,namwita weita hakusikilize unaamua kuagiza Dompo!Najisemea moyoni aiseee hii atalipa mwenyewe tuu,kwasababu hamna namna nyingine yeyote!Nilishamwambia weita kuwa nitalipa Ndovu lager pekeyake.
Vinywaji vinakuja namlipa weita arafu nakuomba excuse kuwa gari limepaki vibaya nje lakini ndo nasepa sasa!

WANAUME WOTE PITIA HAPA USIFELI!

Angalia dume zima  unajisifia kuwa upo vizuri kwenye sita kwa sita alafu hamna kitu mnaboa sana tu.
Unakutana na mkaka very handsome full mvuto,ana kazi nzuri,kifua cha mazoezi msuli mkubwa yaani kila ukimwangalia vyupi inatekenya!Unavuta hisia kuwa mmmh nikimpa mzigo huyu jinsi atakavyokuwa anaimanua vizuri namimi nikijichetua kwake!hahaaaa!hatareeee!
Unazugazuga ukijifanya huna habari nae huku moyo ukiuma na kujiuliza mbona hanianzi?Nimkubalie haraka!
Siku ya siku unajitegesha tena kwake (labda kaja tena ofisini kwako na wiki nzima umemuwaza) ili akuanze ata kukuomba tu namba ya simu!Baada ya kuchat sana na meseji tamu tamu unaamua kulegeza uzi JAMAA HUYO MZIMA MZIMA unaamua kumpa mambo!
Jamaa anapiga mayowe dakika tatu tu ameshamaliza wakati ulioga na kujipodoa saa nzima kwa ajili yake tu!
Unajiuliza "What is this man doing on top of me".Mbaya zaidi baada ya kukubana kwenye tendegu la kitanda na kibano kisichokuwa na tija yoyote kwako(dakika tatu tu) na unapakwa shombo la maana na kuwa disappointed,lol!
Jamaa linabaki na kukuuliza "How do you feel baby?"was it good?"
Hapa wanaume lazima tuwape jibu la kisiasa tu "it was fine and great" hahahaaaaaa!
Alafu ninanyanyua gagulo yangu na kuelekea bafuni uku nikwa bado na manyege yangu kibao,nikirudi tu utasikia"Honey, i think we should go,nimekutya missed call za Mum"
HUPEWI TENA JOMBAAAAAA!
Ukiona umepewa mara 1 alafu ukiomba tena unazungushwa kama vile unafuatilia TIN namba kule tiaraei  ujue ULIFELI DAY 1 kaka!Hauna jipya upewe ili iweje?
Ukipewa pakua haswaaa!
ukimaliza mtu akalale kwao masaa mawili akiskilizia mtanange ulivyokua.Gegeda sana ikiwezekana mpaka mrembo asahau vyupi kitandani!
Sio mtu unakaa dakika tano anachukua taulo uyoo bafuni,Hujafanya kitu Broo!Umetegea kulima!
Angalia sana bodaboda na wapakaa kucha rangi watasaidia majukumu kaka!.
ANGALIZO:
Kula vizuri msosi na pumzika ili uwe na nguvu za ziada wakati wa mgegedo!

Alhamisi, 14 Januari 2016

NOGESHA PENZI!

Leo hii Shangazi yenu Zuu Shanga ukipenda niite shangingi wa zamani nakuja na mada motomoto iitwayo Nogesha Penzi!Mapenzi ni sayansi na sanaa mumo kwa mumo!Jiongeze bibi ayaangalii una Masters ngapi!
Shosti ngojangoja uumiza matumbo naomba niende moja kwa moja kwenye somo,mwanamke ukishikwa legea basi kidogo,sio unakakamaa kama mtoto wa kiume!
Kuna maeneo tofauti yanayotuzunguka ukiyatumia vyema basi kama ni penzi utakuwa umeweka kachumbari na kumfanya mwenza wako azidi kukuona mupya kila siku!Sio kila siku mmeng'ang'ania chumbani hukohuko kitanda kikiangalia mashariki na dirisha kusini.mtoto wa kike uwe na haya!mambo gani hayo!
Tukisema mwanamke mazingira sio tu usafi wa mwili wako na chumba!ni pamoja na kubuni mazingira gani Chifu umpe mgegedo!
Kama juzi ulimpa chumbani basi leo buni mazingira mapya mnyeshe bia ufukweni,hukohuko unamfanyia suprise!
Kwa mfano ukaamua kwenda jikoni unapika chakula na watoto wameenda shule uku ukimtega tega Mista na vinguo vya transparent ataingia kingi tu mwenyewe hukohuko jikoni!Una mpa mgegedo huku chakula kikiendelea kuiva na kale kajoto joto kanaleta msisimko fulani tu,ata akikaa kazini akikumbuka lazima aweweseke pekeyake!umeonaa?
Bafuni  ni sehemu nyingine nzuri sana  na inaleta sana muhemko pale mnapokua mnaendelea huku bomba la maji ya mvua likiririka kwenye!
Kwenye floor (sakafu) tena sanasana ya kwenye korido kabla ya kuingia chumbani(alipopazoea kila siku Mr) napo pako poa!Kumbuka katika mgegedo hakikisha Mista wako asikukariri!yaani asizoeee kuwa ikitoka hapa inaingia gia namba mbili.Mchezeshe kuwa inaweza azia gia namba 4 ala ika  moja then ikaja 8!Jitahidi kile ulichofanya juzi kiwe tofauti na leo.
Ukutani  nayo ipo poa sana,kuna kwenye sofa vilevile.Meza ya kulia chakula Dinning table ni zaidi ya kulia chakula nayo inaweza tumika vyema kuleta muhemko mpya kwa mpenzi wako.
ANGALIZO:
Kwenye gari inapendwa sana na wanaume bahili anaona shidasana kutoa angalau 30,000.00 au 40,000.00 alipie hotel ndomaana wanang'ang'ania sehemu hizo na mara nyingi inakua bila ya kinga!

NYIE WADADA CONDOM ZINAWAFANYAJE?

Kumezuka wimbi la wadada wengi kuwa na katabia ka kutopenda wanaume wao wavae condom,huku katabia ka watu kuwa na michepuko kakiota mizizi!
Utasikia "ooh!baby baomba umwagie nje tu,please usimwagie ndani!nitashika mimba!"
Baadhi ya akina dada wamekua wakipinga kufanya mapenzi na condom wakisingizia kuwa utamu unapungua,ooh wengine wakisingizia condom inasababisha wao kuwashwa,Wengine wamekua wakienda mbali zaidi kwa kusema hazisaidii kitu,kama ukimwi utapata tu.

Sasa nyie wadada nashindwa kuwaelewa hamjui kuwa UKIMWI upo?Ebu tuwekane sawa hapa!

Jumatano, 13 Januari 2016

MASWALI YA KIJINGA YA MCHEPUKO

Mimi na mkeo unampenda nani zaidi?
Lini utahamia hapa kwangu rasmi?
Lini na mimi utanitambulisha kwa ndugu zako baby?
Unajifanya upo kimya sana au upo bize na limke lako tu?Poa!
Natamani nikuzalie matunzo ya mtoto juu yangu na sitokusumbua tena!
Sisioni siku zangu itakuwaje?
Lini na mimi utaninunulia Vits kama ya mama Derick?

YALIYONIKUTA BIBO HOSTELI

Ilikua siku ya Ijumaa nikiwa maeneo ya Buguruni  kwenye bar fulani karibu na kituo cha polisi baada ya kupokea "boom" la bodi ya mikopo nikiwa chuo kikuu Dar es Salaam kama mwanafunzi wa degree ya sheria maisha ya hosteli hayakuwa magumu na nilikua naishi Hosteli za Mabibo zikijulikana kama Bibo Hostel.Baada ya kuanza kuonja bia tatu hivi nilizidi kuchangamka na kuanza kuchangia stori za mambo ya uchaguzi na mdada mrembo aliyekaa meza ya jirani nami nae nilimrushia bia mbili za haraka haraka huku nikimuonesha ishala kama anaweza jumuika kwenye meza yangu.
Baada ya nusu saa mdada alijumuika kwenye meza tukaendelea kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na jotolake,ndipo tukaanza kufahamiana kwa undani na yeye alijitambulisha kama mwandishi wa habari wa chombo kimoja maarufu  nchini na mimi nikaona haitakua vyema kujitambulisha kama mwanafunzi wa Udsm kwani ataniona sina hela niliamua kujitambulisha kama "Ofisa Usalama wa Taifa".Kadli bia zilivyozidi kumiminika mezani kutokana na maelekezo niliyowapa wahudumu ndivyo uzuri wa binti ulivyozidi kuongezeka na kuwa mrembo sana tuliendelea na mazungumzo uku mara mojamoja tukiinuka na kusakata rhumba  mpaka tukafikia muafaka wa kwenda kulala pamoja huku tukiitana baby.
Siwezi kumbuka kilitokea kitu gani lakini  asubuhi ya siku iliyofuata niliamka nikiwa na shati,suruwali tu sina saa,walet iliyokuwa na Tsh 350,000.00 taslim,I-pad wala viatu.
Niliamka kama  saa tano asubuhi uku nikisikia maumivu makali kichwani nahisi aliniwekea madawa ya kulevya kwenye chuchu zake zilizokua zimeiva kama embe dodo mtini.Niliwaomba uongozi wa lodge waniazime kandambili nivae ili nirudi Hosteli kwani nilikua sina viatu wala pesa ya kuwalipa kwa ajili ya kulala. Nilijikonoja kwa miguu kutoka Buguruni mpaka Tabata relini kwani nilikua sina ata nauli ya Daladala!Nilipofika hostel niliwadithia wanafunzi wenzangu mkasa ulionikuta wakanichangia harambee ya sh 5,000.00 kila mmoja na walikua kama 50  nilipata kama tsh 250,000.00.
Siku azigandi ilipita siku wiki atimae mwezi huku sura ya yule dada niliyelala nae siku ile kule Buguruni haikuweza nipotea kichwani.
Kuna siku moja nilikua napita kwenye sehemu ya Miadhala ya Kijamii nikamuona mtu kama yeye akiwasilisha pepa mbele nikasimama na kuanza kumwangalia  mmmmh! nikaona mbona anafanana na yule binti niliyelala nae kule Buguruni!Nikavuta subira kwanza ili amalize muadhala.
Baada ya muda wanafunzi wakaanza kutoka kwenye Hall nikabana mlangoni nikiangalia mtu mmoja hadi mwingine mlangoni!Mara ghafla uyoapo mlangoni nikamvuta mkono na kumuuliza unanikumbuka?
Akajibu hapana sikukumbuki na sikujui nipo bize sasa!
Nikamvuta mkono tena na kumkata mtama mlangoni!wanafunzi wakataharuki!
Nikamuuliza tena unanikumbuka?
Akajibu nakukumbuka kausha bwana!
Nikamjibu kama unataka niokaushe lete walet yangu pamoja na hela Tsh 350,000.00 viatu I-pad na simu zangu mbili!
Wakati hayo yote yanafanyika baadhi ya wanafunzi waliwatonya askari wa pale chuoni kuwa kuna ugomvi kwaiyo ndani ya robo saa tukawa tumeshazingirwa na polisi wa chuoni!
Baada ya kujieleza tulienda mguu kwa mguu mpaka kwenye chumba alichokua amepanga yule dada mrembo maeneo ya Msewe na kukuta kwenye sanduku lake ana line za simu kama mia moja hivi.Niliweza fanikliwa kupata simu yangu ,i pad,pamoja na hela zangu taslim tsh 350,000.00
Ama kweli kutojua jambo ni sawa na usiku wa giza!

AMTWANGA TALAKA MKEWE BAADA YA KUGUNDUA KUWA ALIKUA ANAZICHAPA NGUMI KUGOMBANIA BWANA STENDI!

Songombingo na vuta nikuvute lilitokea huko Arusha maeneo ya Kijenge Juu baada ya bwana mmoja(jina tumelihifadhi)kumtwanga talaka mkewe punde baada ya kugundua kuwa wife alizichapa kavukavu na kabinti kwenye standi ya basi kisa ni kugombania bwana!Sakata ilo la video ya bure ya kuchaniana skirt mpaka blauzi lilitokea katikati ya Stendi ya mabasi mchana kweupe ilifanya wapiga debe wazidi kushangilia na kupiga miluzi badala ya kuamulizia huo ugomvi.
Kwa mujibu wa mpasha habari hizi inasemekana kwamba hiyo siku mamsapu huyo wa "muheshimiwa fulani"aliaga kuwa anasafiri kwenda kwao Tengeru kwa ajili ya kicheni party ya shoga yake mtaani kwao.
Na siku ya tukio ndio ilikua siku ya miadi kati ya mke wa mtu na serengeti boy anaejulikana kwa jina la Dani ambaye kazi yake ya kujipatia ujilia wa kila siku ilikua ni kupaka rangi kucha akina mama.Muda ulipotimia inasemekana simu ya Dani ilikua haipatikani hivyo kusababisha mke wa "muheshimiwa" kupandwa na ghazabu ya hali ya juu.Baada ya muda mamsapu aliwasha Alteza na kuanza kupiga "doria bubu" sehemu zote alizohisi Dani anaweza kuwepo pasipo mafanikio.
Baadae mamsapu aliamua kusimama karibu na stendi ya mabasi ili anunue vocha ndipo video ilipoanzia hapo,kwani alimkuta Dani ndo kwanza anapanda ki Ford akiwa ameambatana na binti mwenye shepu nzuri makalio makubwa makubwa kuliko ya "mke muheshimiwa".Hapo ndipo presha ilipompanda "mama muheshimiwa" na kuwasha gari na kuanza kuifukuzia Kiford na ku block kwa mbele mithili ya ana ugomvi na dereva wa hicho ki Ford.
Alishuka kwenye gari uku dereva wa ki ford akishikwa na bumbuwazi Jjuu ya kosa gani alilofanya ndipo mke wa mtu alienda mpaka dirishani akimwamuru Dani ashuke kwenye basi na uyo "malaya" wake!
Mdada aliyekuwa na Dani hasila za mkizi zilimpanda na kumjibu kuwa "mimi si malaya!malaya ni wewe umeacha mmeo kazini,unachepuka tu!huna shukurani kwa mmeo subiani mkubwa!"Watu wote waliokua kwenye basi wakaangua kicheko na mke wa mtu akamzaba kibao mdada ndipo timbwili timbwili lilipoanzia hapo watu wote wakabaki midomo wazi!
Kwa mujibu wa mpasha habari za udaku huu rafiki wa "muheshimiwa" alikua katika pitapita zake za hapa na hale baada ya kumuona shemeji akizichapa kavu aliwasha simu yake na kurekodi video ya bure kisha akamtumia chifu video na kichwa cha habari "Una habari mkeo anazichapa ngumi kugombania bwana stendi?".    

INGEKUWA NI WEWE UNGEFANYAJE?

Unaishi na mme wako Jackson,ana kazi nzuri handsome wa ukweli,kutokana na u bize wa maisha ukaamua kuajili house gal ambaye nae ni mnene lakini amejazia sana makalio.Ghafla unagundua kuwa Mr amekua na ukaribu wa kawaida na uyo House maid na unaanza kumshuku vibaya ukihisi labda ameanza nae urafiki wa mapenzi,unaamua kutegesha mtego kwa kumtuma house maid mbali mkoani kwa wazazi wako ili kesho arudi.Usiku unaamua kujibanza na kulala kwenye chumba cha House maid!Mara ghafla usiku wa manane unahisi mkono wa mtu unakupapasa papasa kimahaba na unaamka na kuanza kumkumbatia huku muhemko na mashamsham ya mahaba niue yakiwa juu kwani unahisi huyu ni Mr na leo nimemkamata!unazidisha mbwembwe uku mkiendelea kugegedana na mara ghafla anataka kuingiza kinyume na maumbile unaruka,kwa ghazabu unapayuka!"Baba nanii umeanza tabia gani hiii!" unawasha taa ili uanze kumsuta kwa tabia mbaya ya kumnyatia house maid mara unakuta kumbe ni mlinzi!Ngosha!na wewe ndo mama mwenye nyumba ungefanyaje?

Alhamisi, 7 Januari 2016

KUMBE MUME WANGU SHOGA!

Timbwili timbwili patashika nguo kuchanika lilitokea Shinyanga mtaa wa Nguzo nane karibia na soko baada ya mama mmoja anaejulikana kwa jina la Mama Sakina kudai talaka kwa mme wake(jina tumelihifadhi) baada ya kumfumania mumewe akifanya vitendo vya kishoga kinyume na maadili ya kiafrika.
Kwa mujibu wa mpasha habari hizi dume hilo ambalo kwa muonekano wa kawaida ni "gentleman" lilifumwa live kwenye gesti moja(jina tumelihifadhi) likipelekewa moto huku likikata mauno na kulalamika kimahaba na jamaa mmoja fundi wa kuchomelea mageti apo mtaani Nguzo nane anaejulikana kwa jina la Saidi au "Side mnyamwezi"!
Picha ilianza hivi baada ya Gentleman kurudi nyumbani akitokea kazini mamsapu alikua amemwandalia maji ya moto ya kuoga na msosi ukiwa tayari  mezani.Mista baada ya kufika nyumbani alienda kuoga huku simu akiacha kwenye chaji mezani.Wakati bado hajatoka bafuni ujumbe kwenye simu yake uliingia kama ifuatavyo:
 "honie nina nyege basi njoo na yale mafuta yako!"
Mama Sakina alipoona ujumbe na hana kawaida ya kukagua simu ya mmewe alisita kwanza lakini akawaza kuwa kukagua simu ya mzee sio mbaya ata mara moja kwa mwaka.Akainama na kuikagua lakini ikawa imefungwa inaitaji password akafikiria akaingiza jina la mwisho la mista ikagoma akaingiza kwa mara ya pili tarehe ya kuzaliwa ya mr ikagoma akaingiza jina la mtoto Sakina ikakubali na baada ya kusoma ile meseji presha ikampanda mama Sakina,akawaza ujumbe wa pili ukaingia tena:
"Honie nitakupa mambo ya hatari hujapata tangu uzaliwe fanya haraka basi!njoo pale pa siku zote"
Mama Sakina akajiongeza akajibua sawa nipo na wife,poa nakuja!alafu akafuta ile meseji yake ya sent item.
Baada ya muda njemba ikatoka bafuni na Mama Sakina akamjulisha kuwa kuna meseji imeingia kwneye simu.
Kwakuwa simu ilikua na password jamaa alijiamini akachukua simu na kueleka chumbani kujifuta na taulo.Baada ya kusoma meseji alibonyeza simu na kumpigia jamaa na kumtaarifu kuwa nakuja hamna noma!
Mara ghafla baada ya kujifuta alivaa nguo na kumwambia mama Sakina kuwa anaenda kuna mkutano na mwezake wanaongelea biashara moja ya mpakani Silali Tarime.
Muda huohuo mama Sakina   alimpigia dereva wa bodaboda wake aje mpaka karibu na nyumbani kwake kama nyumba ya tatu nje awe tayari kwa safari.
Baba Sakina alitoka nje na kuwasha gari yake aina ya mark two  baada ya dakika moja mama Sakina nae akavaa baibui na kupadna bodaboda huku akimpigia simu shoga yake achukue bodaboda amfuate uelekeo wa maeneo ya Majengo hapa Shinyanga.
Mama Sakina aliiendelea kuifuta gari ya mumewe kwa mbali mpaka akafika kwenye Gesti moja jina tumelihifadhi,akamuona mzee ameshuka kwenye gari na kukaa bar meza moja na jamaa huyo wa kuchomelea mageti anayemfahamu hapo mtaani kwao.
Kwakua giza lilikua limeshaanza kuingia mama Sakina na lile vazi la baibui aikua rahisi kutambulika kiurahisi na mumewe aliingia bar na kukaa kwenye kona upande mwingine huku akiwa na shauku ya kujua mumewe anamchukua mwanamke gani huyo anaemwagiza mpaka aje na mafuta!
Punde si punde shogayake mama Sakina ambaye ni askari nae alifika mpaka kwenye eneo la tukio wakiwa na hamu ya kumpa kichapo na kumzodoa huyo mwanamke anaetaka kuvunja ndoa za watu.Ilipofika saa mbili Baba Sakina na jamaa yake waliingia ndani na kuchukua chumba.baada ya nusu saa hivi mama Sakina na mwenzake walifika resepsheni na kutaka kujua hayo madume mawili yamechukua  chumba gani?
Mama Sakina alitoa noti ya sh 10,000.00 ili aoneshwe mlango tu wa chumba mhudumu akawaonesha na wao wakajongea mlango na kugonga!
Nani?
Muhudumu!
nimesahahu taulo na sabuni kuwaletea!
Njemba ya kuchomea mageti ikafungua mlango hamadi uso kwa uso na mama Sakina!wakatimba ndani huku baba Sakina akiwa amelala kitandani na kwenye makalio kukiwa na michilizi ya manii !
Mama Sakina alimwambia mumewe NAOMBA TALAKA YANGU!nilizani na mume kumbe nawewe ni mwanamke mwenzangu!
Valangati liliendelea na kufanya mama ntilie na wasukuma matololi wanayoizunguka iyo Gesti kujaaa huku njemba ya kuchomea mageti ikipata upenyo na kutokomea kusikojulikana gizani!
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari mpaka sasa Baba Sakina aliporudi nyumbani kautana na begi lake la nguo barazania ameambiwa aondoke amuachie nyumba Mama Sakina kwani nyumba ni ya watoto!    

SHEMEJI KWA SHEMEJI WAFUMANIANA LIVE!

Ilikua ni siku ya ijumaa nilipopokea simu kutoka kwa jamaa yangu wa Dar es Salaam kuwa bwana wikiendi hii tunakuja Mwanza na Fast Jet kula bata, kwakuwa nipo Wilayani Meatu nijitahidi wikiendi jioni tukutane Golden Crest pale Counter,nikamjibu hakuna shida.Nikajaza gari yangu mafuta full tank na kumpigia jamaa yangu mwingine aliye Shianyanga kwa jina anafahamika kama Alex kuwa asogee mpaka Mwigumbi ili tukutane njia panda kwa ajili ya kunipa kampani long drive kuelekea Mwanza.
Ilipofika saa moja usiku mimi na Alex tulikua tumeshafika Mwanza tukapata mahali pa kulala na kuamua kuanza kupata moja moto moja baridi katika ukumbi wa Villa Park uku tukijadili mambo ya hapa na pale kuhusu joto la uchaguziwa raisi na wabunge.Nikamjulisha jamaa yamgu wa kutoka Dar es Salaam kuwa nipo Villa Park na sio Golden Crest Hotel kwani  mida ilikua bado mapema.Yeye akanijibu kuwa muda si mrefu anakuja yupo na jamaa zake wawili aliombatana nao kutoka Dar es Salaam.
Mimi paoja na Alex tuliunganisha meza tatu pale karibu na counter na kuonezea viti na kufikia kama viti sita hivi.Punde si punde jamaaa yangu huyoo kwa jina anaitwa Gosbert ,na wenzake wawili wakatu join kwenye meza huku vinywaji vikiendelea kufurika mezani.Kumbuka kuwa huyu jamaa yangu wa Shinyanga hawa jamaa zangu wa Dar es Salaam hawafahamu na wao hawamfahamu kabisa.Baada ya kutambulishana wote tukaendelea kunywa uku mziki wa rhumba tukiusikia kwa karibu kabisa.Wadada wote waliokaaa karibu na meza yetu waliikodolea macho kwa tamaa ya kutaka kupata walau salamu tu kumbuka meza yetu tulikua tumekaa wanaume tu.Basi baada ya nusu saa jamaa mmoja kati ya wale walikuja kutoka Dar es Salaam John ambaye alikua ni bwana harusi kama mwaka mmoja umepita alimpungia mkono dada mmoja alikaa meza ya jirani kumpa ishara ya ukaribisho katika meza yetu iliyokua imefurika vinywaji vya kila aina.Dada alikua ameumbika kwa sura na shepu alikaribia meza yetu akakaa na kuendelea na mazungumzo ya kunong'onezana na mwenzetu aliyekua amemkaribisha.Baada ya saa moja hivi mwezetu alituomba radhi kuwa anaenda hotel kuna jambo akatafakari kidogo pamoja na huyo dada aliyemkaribisha mezani kwetu!
Tulimruhusu akatokomea gizani.Baadae kidogo kama dakika arobaini hivi walirudi tena mezani yeye na yule dada tukaendelea kutafuta kinywaji.
Huyu rafiki yangu wa Shinyanga,Alex ni mwanajeshi na amelelewa na baba yake mdogo kule Dar es Salaam na mwaka mmoja uliopita alienda kozi ya kijeshi hakuweza kuudhuria harusi ya mtoto wa mwisho wa baba yake mdogo aliyekua anaolewa na mume wa uyo dada yake hawafahamiani kwani tangu alipotoka kozi hawajaonana.
Baada ya kinywaji kuzidi kukolea ilibidi utambulisho uanze upya kama kawaida ya walevi wanavyokua sasa ikagundulika kuwa Alex na huyu jamaa aliyetoka na mchepuko ni mtu na shemeji yake yaani jamaa aliyetoka na mchepuko wife wake ndo yule dada aliyeolewa wakati Alex yupo kozi!
Ilibidi John azungushe tena raundi mbili mezani kama faini kwa ajili ya kufumaniwa na shemeji yake!

Jumatano, 6 Januari 2016

WIFE BAADA YA KUUFAHAMU MCHEPUKO KANIPA BIG UP

Chrismass ya mwaka uliopita kwangu ilikua balaa sikusherehekea vizuri kutokana na kukutwa na kimeo ndani.Ilikua hivi yaani mkesha wote wa Krissmass niliishia usiku mzima kumbembeleza wife anisamehe kutokana na kusoma meseji za malavidavi toka kwa mchepuko wangu.
Alilia sana ghafla akanyamaza akaniuliza nakosa nini kwake,nikamjibu hakuna,
akaniuliza tena huo mchepuko unakitu gani au kivipi kumzidi yeye mpaka nimsaliti,asije akawa analia kumbe mchepuko wenyewe unasura ngumu alafu mbaya tu!
Nikamjibu ni wa kawaida tu ,ila moyoni najua ni mkali kumzidi yeye!
Akaniambia nikitaka suluhu basi auone na niuambie mbele yake kwamba its over between mimi na yeye(mchepuko).
Nilibisha bisha at last kwasababu nampenda kikweli kweli my wife nikaona isiwe tabau ngojea niokoe ndoa yangu na familia yangu.Simu yangu ikaendelea kushikiliwa na wife.
Jana asubuhi nikaupigia simu chini ya uangalizi wa wife on loud speaker nikauomba tuonane pale maeneo ya Villa Park Mwanza mida ya saa kumi na mbili kabla band haijaazna kupiga mziki.Ilipofika saa kumi na moja na nusu mimi na wife tulikua tumeshafika eneo la tukio,niliagiza bia kwa kujikaza kiume tu lakini kooni ilikwama kwani sikuwa na hamu nayo nilikua nawaza reaction za wife dhidi ya mchepuko itakuaje?
Nikiwa kwenye dimbwi zito la mawazo mara mlengwa huyo aliingia getini na kuanza kuangaza macho,wife ndo alikua wa kwanza kumuona akauliza ndio huyo?Nikamjibu kwa kichwa tu huku mapigo ya moyo yakiongezeka na kujisikia tumbo la kuhara,mate mdomoni yalikauka!
Mchepuko ukiwa umejikwetua na mini  skirt yake alijivuta moja kwa moja upande niliokua nimekaa huku akisindikizwa na macho ya watu wengi nadhani kwa anayepafahamu Villa Park palivyo atakubaliana na mimi,alifika kwangu uku akiwa na smile kubwa usoni ata mimi sikutaka kumwangalia usoni.
Kifupi ni mzuri kwa sura  na umbile lake ni shida!tako kubwa ukichanganya na miondoko akipita barabarani watu wazima lazima wageuke, yaani ni changamoto!
Nikajua leo nimekwisha.Cha kushangaza wife akanipa ishara kuwa anainuka nimsalimie mchepuko then nimfuatye pale kwenye gari.(wife alikua amekaa meza ya jirani kunichora).
Nikabaki nimepigwa na butwaa na uamuzi wa wife nikajikaza kisabuni nika upa hug bubu nikamwita muhudumu amletee Saint Anna,nilimwomba akae nakuja,then nikamfuata wife.
Kufika nakuta kwenye gari wife amekaa juu ya boneti ana smile,akaniambia weeeeew mshenzi malaya mkubwa unajua kweli kuopoa,ulimpata wapi huyu?
Kabla sijajibu akanimbia alisoma nae chuo na enzi hizo alikua miongoni mwa mademu watano wakali chuoni (top five hotiest gals).
Kwa kunishangaza zaidi akaniambia una bahati nimemkubali ingia kwenye gari tuondoke!

Akachukua simu yangu akampiga mchepuko akimwambia asinitafute tena!
Usiku wa kuamkia leo nilikua honey moon nimepewa mahaba na wife yaani first grade!haijapata kutokea!Hahahaaaa hatare!

MKE WANGU ALITAKA KUNIBAMBIKIA MTOTO!

Wadau,Mimi na mke wangu tumekua na ugomvi wa muda mrefu kuhusu nani amfuate mwenzake,maana tunafanya kazi katika mikoa tofauti mimi nikiwa Kigoma na yeye akiwaDar es Salaam.Suala la uhamisho lilishindikana kutokana na mahali anapofanyika kazi wife kutokuwa na Ofisi katika Kanda ya Ziwa.Solution ilionekana ni wife kupiga kazi chini ili tuweze kuishi pamoja.Na kutokana na changamoto za maisha ilikua ni gharama sana kupanda ndege isitoshe umbali wa Kigoma to Dar kwa basi ni kama siku moja na nusu na ukikata tiketi ya ndege ya bei nafuu lazima uwe umefanya booking hata wiki nne kabla ya safari na huku huwezi jua kama iyo ruhusa utapata ofisini au la.
Ikafika mahali tunamaliza hata miezi minne mpaka saba bila ya kuonana na mama mkwe wangu alikua anambembeleza sana wife akubali kuacha kazi ili anifuate Kigoma tuishi,na kwamba ndoa za mbali matatizo huwa hayaishi lakini wife aliendelea kushikilia uzi kwa kusema ajila yake ndio mume wake wa kwanza!
Baada ya kuendelea kusimamia misimamo yake ilibidi nitafute mtu wa karibu anayeweza kunipa taarifa za kiintelijensia kuhusu wife  na kumbuka muda wote huo alikua anaishi nyumbani kwa wazazi wake,nilimweka kwa ukaribu sna binamu yake wa kike awe ananipa taarifa za kilasiku sana sana wikiendi anarudi saa ngapi nyumbani.
Mojawapo ya taarifa nilizokuwa napata ni mwenendo wake wa kupenda kujipamba sana wikiendi na kutoka outing na kurudishwa mida mibaya na mtu asiyejulikana akisingizia partyie za ofisini na mikutano ya mara kwa mara.Kilichonishtua zaidi ni mwenendo wake wa kuvaa nguo fupi ghafla tena wikiend ambapo haikua sehemu ya tabia yake.Siku za kazi alikua anarudi saa nne usiku akisingizia foreni .Hata ivyo sikuwa na papara  kwa taarifa hizo kwani kugoma kwake kuhamia Kigoma nilichukulia kwa uzito mkubwa nikidhani kutakua na  sababu za  msingi labda za kifamilia ukweni .Nikajisemea moyoni siku za mwizi therathini na tisa ya arobaini udakwa tu.
Katikati mwa mwezi wa kuminambili mwaka jana wife alinipigia simu kuwa amekubali kuacha kazi kunifuata Kigoma,tena anataka kuja ndani ya wiki tu,nilishangaa imekuaje muda wote alikataa mbona ghafla kabadilisha mawzo!Nikawaza sana nikasema haiwezekani kuna kitu tu!Nikainua waya na kumpigia shushu wangu cousin wake,lilikua jipu hatari!Aliniambia mkeo ana mimba changa,anataka aje akupe mara moja mbili aseme ni ya kwako!kitu ambacho ni kwelie maana wife alikua na haraka mno ya kuja tena kwa kukata tiketi ya ndege yeye mwenyewe!
Lakini wakati yote hayo yanatokea wiki hiyohiyo likizo yangu ikapita kwa bosi nikaruhusiwa,niliomba December iligoma wiki ya kwanza ya January ikakubaliwa nikapewa wiki mbili wakati wife anajiandaa kuja nikachukua fast jet jioni nipo Sinza kwao.
Nilipofika tu nikaanzisha kesi mbele ya wazazi wake kuwa twende wote mguu kwa mguu tu kacheki mimba hospitali ambapo ni mtaa wa nyuma tu kutoka kwao,akagoma na kuanza kulia,mama mkwe alikua ameina tu chini.
Wote walikua wanajua kuwa mimi na wife tuna mwaka bila ya kuonana hivyo hiyo si mimba yangu na mama mkwe alilijua hilo na akavunja ukimya hapohapo kwa hasira na kumwambia mwanae kuwa "si nilikwambia uache kazi umfuate mumeo ukaniona mimi wa zamani,siwezi kushiriki dhambi yako kumbambikia huyu bwana mtoto,maadamu keshastuka mwache ajue tu,baba ni kweli ana mimba huyu kama ulivyosema".
Ndoa yetu ikawa imeishia hapo,taarifa zilizopo ni kwamba aliitoa mimba hiyo na bado yupo kwao,ingawa haendi kazini sijajua kilitokea nini,hadi sasa ameshatuma waze wengi kuja kwangu kuzungumza turudiane,wakiwemo ndugu zangu,ila bahati mbaya nimeshamfuta  mazima moyoni,ataisomaga namba.  

Jumanne, 5 Januari 2016

UZURI WA MWANAUME NI NINI?

Leo Shangazi nataka nikupashe upashike mtoto wa kike,eeh!mwari wangu hakuna kitu muhimu ndani ya nyumba kama kuandaa chakula cha mmeo kwa utulivu ili aamini cha nyumbani ni kitamu kuliko cha mama yake,siyo kulipua tu kama cha kwa mama ntilie!Jamani mtoto wa kike unapoamua kumpikia mumeo ,tuliza akili yote kwenye chungu kuhakikisha nyanya na vitunguu vinaiva,si kumtengenezea kachumbari ya kuchemsha nyanya vyake,vitunguu vyake!
Hayo yalikua ni kuwekana sawa hapa kazi tu!ukilemaa tu shoga yako akijua weekness zako lazima ajitegeshe kwa mumeo!kitu hot pot ndo habari ya mujini!hahahahaaaa kaogeeeee!
Nikupashe!Ivi unajua uzuri wa mwanaume nini nini?Bibi uzuri wa mwanaume ni Pochi!hahaaaa!kitu wallet!
Mi mwanaume akisema ooooh sijui nakupenda tabia zako siju nimeona tutaendana eeeeeeeh weweeeeew!ishia hapo hapo!Naona hapo ni mwendo wa kukopwa tu!mali kauli!Namwambia babu nenda Tandale sokoni au Kariakoo kwenye magunia uache mzigo kama ni nyanya !mali kauli!
Wanaume hawajui magic words kama "nimekupenda ulivuvyo nataka nikuboreshehe maisha mpaka watu wote waseme na washike adabu zao ukipita mahali waseme demu wa Chifu!"
Wengine utasikia na visingizio vyao vya kibahiri ooh baby vumilia najenga nyumba!Mwanaume akiwa bahiri hapati vitamu!kwani wewe ni mama yake?
Shosti hii gia ni kubwa hakuna mwanamke anayeweza kuchomoa mbele ya "ugali mwekundu" kitu noti mamaa!
Angalia mwanaume wako handsome alafu hana hela!oooh nipo chuo nasoma sijui!Mwanamke anahitaji matunzo na matumizi babu!Kitu shoping maramoja pale Splash Mliman City,tumechoka vya mitumba vinaharibu ngozi,jipige jipige babu gari huna basi hata ya bajaji jikaze nani apande bodaboda!Heeh huyu vipi?katoka wapi?

IVI NI KWELI NAIBIWA MKE WANGU?KERUUUUU!

Wadau muda si mrefu nimeingia hapa Ubungo River Side Bar kupata mupe mruke mupatie ili nipunguze makali ya foleni ya mataa ya Ubungo namkuta jamaa yangu macho yamemtoka kama vile kapata taarifa za msiba!Nilivuta kiti na kumsabahi hakuitikia,kwa gadhabu alikita meza kwa mkono na kuguna kwa kichaga,Keruuuu!
Nikamwambia kulikoni Chuwa kuna msiba?Akasema hapana ila wife wake kamfumania!
Nikamuuliza umemfumania wapi?Gesti au nyumbani?
Akasema hapana amefuma meseji kwenye simu yake alitumiwa na wife kimakosa.
Text ilisema ivi
"Sorry mi nilitaka tukae tu sehemu for story mambo fulani siko fit leo,lol pole!Nilikua kwa watu thus why sikutaka kukwambia kwa simu!"
Chuwa alivuta pumzi kwa nguvu uku akinikazima macho utadhani mimi ndo mgoni wake,
"Nashindwa kuelewa Meku maana huyu mlengwa sio mimi na sikuwa na chati nae!"
Niliagiza kinywaji cha Serenegti ya uvuguvugu nikiendelea kumsikiliza Chuwa kwa umakini nikaanza kumpa ushauri nasaha ili asije akasababisha madhara kwenye familia yake.
"Sikiliza Mangi,ingawa ni kweli sms inatia shaka lakini mkuu kubalia kuwa haipo "conclusive"
mfano je kama shem yupo na rafiki yake wa kike na wana mazoea ya kununuliana bia na kitimoto
alafu shem anatuma text "vipi wee bata umeshatoka kazini,mi nshatoka na sina ishu hapa home,tutoke kidogo,unaoonaje?"
Rafiki yake anajibu "poa wangu,mi nshatoka...vipi wataka twende kwa Swai?Upo njema?....maana leo ipo ya kukausha wangu,mi wallet tupu,na nilipokupigia mbona hukueleweka?"
Meku wife wako ndo akajibu"Sorry mi nilitaka tukae tu sehemu for story ,mambo flani siko fit leo lol pole!nilikuwa kwa watu thus why sikutaka kukwambia kwa simu".TATIZO LIPO WAPI JOMBAAA!Kunywa bia punguza hasira!

UZURI WA MWANAMKE SI SURA WALA TABIA

Haya wadau katika pitapita yangu mwisho wa mwaka,nikampata shemeji yenu(mchepuko) ni mzuri balaa,mtoto umbo namba nane!mashallah uzuri wa nyumba ni choo!akitembea kama anapiga "rivasi" kazi nzuri "tiaraei" elimu level ya "masters" nikaona mambo si haya!Stori stori huku nipo busy na Ipad nimechomekea vizuri mkanda nje swaga kidogo mtoto akajaa kingi!
Baada ya wiki kuchati sana na mtoto akanipromise atinge gheto wikiendi kwa ajili ya mgegedo!Mtoto huyu akapiga oni nje naona Harrier nyeusi mpaka ndani,tukacheki movie kidogo nimeweka Saint Anna mezani uku nikijishindiria Konyagi ndogo mtoto kaanza kulegea!Sasa romance kidogo kianza huku nikimfungua zipu ya jeans mpaka kitandani ilikua balaa!.......sikuendelea tena!
Yaani ilikua ni full team kisima alafu arufu kali kwa karibu ikabidi nimwambia ngiri imenibana.Wadau uzuri wa mwanamke ni "mgegedo" wake kwanza hayo mengine ni "bonus" tu!Msi ni mind, ni mtizamo tu!Alamsiki!

MSHENGA AMFUMANIA BIBI HARUSI!

Poleni na kazi najua wengi macho na masikio yenu yapo kwenye mifuko mkitafakari namna mlivyotumia pesa vibaya wakati wa msimu huu wa sikukuu za Chrissmass na mwaka mpya.Jana mida ya saa moja jioni nikiwa na ka mchepuko kangu tunaingia Sisimka Gesti House ili kujipumzisha na kupunguza stress za maisha baada ya kulipia chumba na kumwacha "mgeni" wangu chumbani nikatoka nje ili kuagiza mhudumu vinywaji atuletee.
Nikiwa koridoni nakutana uso kwa uso na mke wa rafiki yangu akitoka kwenye chumba kimojawapo na jamaa flani sura ngeni simjui anaonekana sio mweneji wa maeneo haya ile kuniona tu shem akastuka sana!
Jamaa alimuuliza kaulikoni jakujibu kitu zaidi ya kuondoks kuelekea nje,mi nikarudi chumbani na kuendelea na mambo yangu.
Usiku mida ya saa tatu kanitumia sms hii  "shem nakuomba sana usimwambia mtu ulichokiona leo!"
"Please naomba fanya tuonane kuna kitu nataka kukuambia naomba kesho ukiwa free nambie,nikukute wapi,nisaidie kwa hilo shem nami nitajitahidi kwa lolote".
Sikumjibu kutu leo asubuhi tena kanitumia meseji,"hi!shem huwezi amini usiku kucha sikulala nawaza mme wangu akijua nimekwisha!"
"Najua upo bize kazini nambie saa ngapi nikutafute tuongee wawili kiutu uzima jamani!"
Nikamjibu asijali siwezi kumwambia rafiki yangu vinginevyo ningeshampigia tangu hiyo jana.
Sasa shem ameendelea kukomaa anataka tuonane eti tuongee kikubwa!
Ni mzuri kaumbika mpaka mi mwenyewe udenda uwa unanitoka nikimuona sema tu mke wa mtu ni sumu!Alafu mme wake ni rafiki yangu tangu shule na ni mimi niliyekua mshenga wake!Naogopa kumwambia mshikaji kwani nahofia kuvunja ndoa yao ambayoa hata mwaka haijamaliza.Kinachoniuma zaidi ni kuwa mmewe ni Gentleman namjua fika hanaga tabia ya kuchepuka tangu zamani!
Najua lengo la huyu shem anataka kuonana na mimi ni nini.Mpaka sasa mdada anapiga simu eti nimjibu tukutane wapi na saa ngapi.
Sijamjibu bado natafakari nichukue uamuzi gani.